Marian Schools huduma ya chakula, usafi ni ovyo sana

Marian Schools huduma ya chakula, usafi ni ovyo sana

Nimefuatilia kwa muda mrefu ubora wa shule za Marian hasa Marian Girls iliyopo Bagamoyo nikagundua kuwa ubora wao upo kwenye Masomo tu. Kuhusu huduma ya chakula ni duni sana Kulinganisha na Fedha wazazi wanazolipa ni mwendo wa harage mwanzo mwisho, chakula wanachokula hakina tofauti na wanachokula Tabora boys.

Pili ni kuhusu suala la USAFI, kwa kweli Marian girls wanatakiwa kuhakikisha Mazingira ya wanafunzi yanaendana na sifa ya Shule, kiukweli mazingira hayaridhishi hasa mabwenini na kwenye vyoo.

Halafu pamoja na kwamba watoto wanatakiwa kufundishwa usafi lakini isiwe ndio shule imefanya hao watoto kuwa ndio resources za kufanyia kazi, mzazi anapoamua kulipa fedha nyingi kwa ajili ya mtoto mjue pia anategemea kuwa maisha yake ya shuleni yatapata urahisi fulani, hii ya kuwatumia watoto 100% kusafisha vyoo sio sahihi, ni kwanini msiajiri watu kama wanavyofanya Precious blood, Bright future nk.

Kumbe ndio maana watu wanasema Marian haina kitu kikubwa zaidi ya umaarufu tu.
Umelazimishwa kupeleka mtoto huko?,Kwamba wewe unataka usafi watoto wafanyiwe?,hii ni ajabu sana,hivi huyo mtoto atakuwa mgeni wa nani?.Je,huku si kuja kuwa na Watu ambao ni useless ktk Taifa letu?!.Wazazi wapumbavu km wewe ni heri wafungiwe jiwe shingoni watupwe baharini.

Sent from my V1901A using JamiiForums mobile app
 
Nimefuatilia kwa muda mrefu ubora wa shule za Marian hasa Marian Girls iliyopo Bagamoyo nikagundua kuwa ubora wao upo kwenye Masomo tu. Kuhusu huduma ya chakula ni duni sana Kulinganisha na Fedha wazazi wanazolipa ni mwendo wa harage mwanzo mwisho, chakula wanachokula hakina tofauti na wanachokula Tabora boys.

Pili ni kuhusu suala la USAFI, kwa kweli Marian girls wanatakiwa kuhakikisha Mazingira ya wanafunzi yanaendana na sifa ya Shule, kiukweli mazingira hayaridhishi hasa mabwenini na kwenye vyoo.

Halafu pamoja na kwamba watoto wanatakiwa kufundishwa usafi lakini isiwe ndio shule imefanya hao watoto kuwa ndio resources za kufanyia kazi, mzazi anapoamua kulipa fedha nyingi kwa ajili ya mtoto mjue pia anategemea kuwa maisha yake ya shuleni yatapata urahisi fulani, hii ya kuwatumia watoto 100% kusafisha vyoo sio sahihi, ni kwanini msiajiri watu kama wanavyofanya Precious blood, Bright future nk.

Kumbe ndio maana watu wanasema Marian haina kitu kikubwa zaidi ya umaarufu tu.
Hoja yako ni ipi hasa?
 
Nimefuatilia kwa muda mrefu ubora wa shule za Marian hasa Marian Girls iliyopo Bagamoyo nikagundua kuwa ubora wao upo kwenye Masomo tu. Kuhusu huduma ya chakula ni duni sana Kulinganisha na Fedha wazazi wanazolipa ni mwendo wa harage mwanzo mwisho, chakula wanachokula hakina tofauti na wanachokula Tabora boys.

Pili ni kuhusu suala la USAFI, kwa kweli Marian girls wanatakiwa kuhakikisha Mazingira ya wanafunzi yanaendana na sifa ya Shule, kiukweli mazingira hayaridhishi hasa mabwenini na kwenye vyoo.

Halafu pamoja na kwamba watoto wanatakiwa kufundishwa usafi lakini isiwe ndio shule imefanya hao watoto kuwa ndio resources za kufanyia kazi, mzazi anapoamua kulipa fedha nyingi kwa ajili ya mtoto mjue pia anategemea kuwa maisha yake ya shuleni yatapata urahisi fulani, hii ya kuwatumia watoto 100% kusafisha vyoo sio sahihi, ni kwanini msiajiri watu kama wanavyofanya Precious blood, Bright future nk.

Kumbe ndio maana watu wanasema Marian haina kitu kikubwa zaidi ya umaarufu tu.
Kwanini unampeleka hapo Marian wakati zipo shule ambazo hazina hizo kazi? Waacheni wazazi wanao taka watoto wao wafundishwe skill za maisha hao wakwenu wakulelewa kwenye masinia msiwapeleke hapo acheni unafiki, kwani umelazimishwa?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nimesomea Marian, Ile shule wamenifanya niape nikiingia mtaani nisile maharage . Yani mnakula maharage mchana na jioni mwaka mzima ? Ile shule ni wabahili balaa. Ada haiendani na services za pale . Wali una chuya za kutosha. Yani utafikiri mnalipa milioni Moja. Bado mnachangishwa laki laki Kwa ajili ya kusupport walimu. [emoji706][emoji706]. But Kwa elimu wako poa.
Tupe matokeo yako yalikuwaje yaani uanze mwaka 1-4 unalalamikia maharagwe kwanini wazazi wako wasikuhamishe?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hiyo ndo vizuri vijana wajifunze na kujitegemea

Kuna kijana kaenda Marian boys, karudi amekonda kimebaki kichwa tu.

Alikuwa bonge nyanya, now kanyooka swafi kabisa.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Walioko huko nao wanalalamika kwamba zile mashine za kufulia wanachanganya nguo wakati wa kufua. Na unakuta wanafunzi wengine wanakojoa, so nguo zote zinatoka zinanuka mikojo.

Kufuatia kadhia hiyo A level karibu wote wanajifulia kwa mikono.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Ft. Bayo hana shida ila kuna mtu mmoja tu ndiye anayeihujumu Marian hadi inazidi kuporomoka katika rank za shule bora. suala la uchafu wa vyoo na wanavyolazimishwa kufanya usafi wao wenyewe ilibidi nimpeleke shule nyingine ambayo wapo serious na Usalama wa Afya za wanafunzi.

Kwanini St Francis ya Mbeya wawe wasafi sana na chakula kizuri, kwanini Precious Blood au Maria goret ziwe vizuri kwa Milo na usafi.
Watoto wa Marian kila wanaporudi ni kutibu UTI tu. Yaani ada inayolipwa na wazazi ni zaidi ya mara 3 ya shule zingine halafu mnashindwa kuajiri watu wa usafi. Hopeless
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Eti kutibu UTI tyuuh
 
Watoto wa Marian kila wanaporudi ni kutibu UTI tu.
Usiseme watoto wa Marian, sema mtoto wako ndiyo anapata UTI kupitia ukahaba wake halafu unasingizia Marian.

Huyo mwanao atakuwa anagawa hapo mtaani kwako halafu mzazi hujitambui unadanganywa.
 
Shule nyingi ni wezi wakubwa, wanatoza ada kubwa halafu vijana wanalishwa chakula cha hovyo wakirudi wamedhoofika kama escape from Sobibor, kuna mijitu mijinga ina chuki za kipumbavu inataka watoto wa wenzao wateseke tu, kwa chakula kibovu sijui kama tutatoa wanasayansi wenye ubongo wa kuleta viwanda vya wazawa, kila siku tutawaliwa na wazungu.
 
Usiseme watoto wa Marian, sema mtoto wako ndiyo anapata UTI kupitia ukahaba wake halafu unasingizia Marian.

Huyo mwanao atakuwa anagawa hapo mtaani kwako halafu mzazi hujitambui unadanganywa.
Naona umepaniki. Shule yenu ni nzuri lakini ndezi kama wewe ndio mnaoiharibu . Useless
 
Back
Top Bottom