Maridhiano njia panda: Mbowe na Lissu wampa tahadhari Rais Samia

Maridhiano njia panda: Mbowe na Lissu wampa tahadhari Rais Samia

Chadema muda unawatupa mkono
Maridhiano ni waste of time
Njooni muungurume Dar Dodoma Mbeya na Ruvuma waliolala wataamka
 
Mh Mbowe

Kuna maandiko yanayosema ' Heri ya wale wanaoamini kwa kusikia kuliko wanaosubiri kuona''

Mbowe, hivi hukuambiwa? Hukutahadharishwa?

JokaKuu Pascal Mayalla
Maridhiano tayari yameshakwama, Ccm sio wakuwaamini kabisa, wamejaa hila, hadaa na udanganyifu tu, angalio walichomfanyia Maalim Seif (Rip) huko Zanzibar baada ya maridhiano yao.
 
Maridhiano tayari yameshakwama, Ccm sio wakuwaamini kabisa, wamejaa hila, hadaa na udanganyifu tu, angalio walichomfanyia Maalim Seif (Rip) huko Zanzibar baada ya maridhiano yao.
Shida sio ccm. Bali wanaowapa nguvu ccm.

Ccm hawana uwezo huo wao kama wao.
 
Mbowe anawazuga Wananchi kwa kuwapiga sound na wananchi wanamzuga kwa kumshangilia

akilianzisha wanamkwepa nae anajua watamkwepa anawazuga tu
 
Mbowe anawazuga Wananchi kwa kuwapiga sound na wananchi wanamzuga kwa kumshangilia

akilianzisha wanamkwepa nae anajua watamkwepa anawazuga tu
Majira hubadilika; sakata la bandari limebadili upepo. Mashtaka ya uhaini yameishia wapi?!
 
Majira hubadilika; sakata la bandari limebadili upepo. Mashtaka ya uhaini yameishia wapi?!
Ingiza watu barabarani wafanye fujo utajua kama Majira yamebadilika au au yame pause yakisubiri muda muafaka

chezea kila kitu ila sio amani ya Nchi

hata huko Marekani kulikoanza Siasa wanamshughulikia Rais wao wa zamani kwa kuchezea amani kwa kisingizio cha Demokrasia
 
Ingiza watu barabarani wafanye fujo utajua kama Majira yamebadilika au au yame pause yakisubiri muda muafaka

chezea kila kitu ila sio amani ya Nchi

hata huko Marekani kulikoanza Siasa wanamshughulikia Rais wao wa zamani kwa kuchezea amani kwa kisingizio cha Demokrasia
Wahaini huko Mbeya washahukumiwa?
 
Wahaini huko Mbeya washahukumiwa?
Kesi inaendelea …kwani umewaskia tena wakihamasisha ghasia ? fanya Siasa zako zote usinichanganye kuhamasisha ghasia? Wee hujiulizi kwanini Mbowe na Lissu watatoa kejeli zote kwa Rais lakini hawathubutu kuhamasisha Ghasia siku hizi

Taifa letu ni kubwa kuliko Samia na Ccm…ukihamasiha ghasia utashughulikiwa hata na wale wasiomkubali Rais na Ccm

usijidanganye ukachezea amani ya Nchi …Nchi na Mifumo ya Nchi ni mikubwa kuliko Rais na hata Rais akitaka kuchekea wachezea amani hatoruhusiwa …ilishatokea kwa Jkaya kutaka kuwachekea wachochezi 2011 dola ikaingilia bila ya ridhaa yake na ikamaliza kadhia hiyo
 
Back
Top Bottom