Maridhiano ya CCM na CHADEMA Ndiyo Kawaida ya Vyama vya Siasa Duniani Ilivyo?

Hata Sudan Kusini wapinzani na watawala wako kwenye maelewano kama haya waBongo acheni fugisu.
 
Nilijuwa toka ulipobababaika kule mwanzo na hoja ya "visheria"kwamba hutakuwa na akili tulivu tena katika kujadili chochote, kwa hiyo nikakudharau tokea hapo.

Endelea kuhangaika mwenyewe upendavyo.
Maswali yote niliyokuuliza umeshindwa kujibu, matokeo yake mara useme "Chadema wamelambishwa asali", baadae ubadilike useme; "tuwape muda", kidogo tena unageuka unasema; "mbona hawajaiga ulaya", baadae tena unageuka unasema; "sio lazima kuiga ulaya kila kitu"

Unajidai mjuaji wakati unaonesha kwa vitendo ulivyojaa huo ubabaifu unaodai ninao, endelea na hao wanaokulea, mimi nimeshakuvua nguo, next time prepare yourself before you drop here.
View attachment 2543347
 
Hata Sudan Kusini wapinzani na watawala wako kwenye maelewano kama haya waBongo acheni fugisu.
LOoooh!

Hata Sudan Kusini iwe mfano kwetu kuiga?

Kweli Tanzania tumeporomoka isivyo kawaida!

Hujasikia huko kila siku wanauana, vita visivyokuwa na mwisho?

Jameni, hebu jaribuni kuwa makini na kuelewa mambo yalivyo kabla ya kuyawasilisha mbele za wengine, maanake matokeo yake ni kujionyesha kiasi cha kutoyajua mambo mnayozungumzia, kama hili na Sudan Kusini.
 
EeeenHeeee!

Hatimaye umejionyesha utupu mkubwa ulio nao! Sikujua kuwa una utoto unaokusumbua kiasi hiki!

Nimekwisha kudharau.
 
Wewe ulitakaje labda?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…