Gulio Tanzania
JF-Expert Member
- Jan 30, 2018
- 3,325
- 7,807
Mboso na marioo uimbaji wao ni tofauti kabisa ila tangu muda mrefu nimekuwa sipendi interview za marioo uongeaji wake kama yupo kijiweni na jamaa zakeHujui muziki wewe marioo anamng'ata mbosso mshedede
Kwani Marioo yupo WCB?Niliwai kuuliza ili swali. Majibu leo wote tunayo
Hanstone atatoboa nje ya WCB?
Kwanza lazima tukubaliane huyu dogo ana kipaji kikubwa sana. Ndio maana wengi walikuwa wanasubiri ujio wake akiwa chini ya WCB. Na ilitegemewa ujio wake ungekuwa na kishindo. Lakini bahati mbaya amezinguana na uongozi wa Wasafi na baada ya hapo akaachia ep yake ya Amazing. EP yake japo...www.jamiiforums.com
Alitaka Marioo ampapatikie huyo boss wao aliyeshindwa muziki, Marioo brand kubwaMarioo kapiga kwenye mshonoo, na kasema wazi hajawahi kuomba kusainiwa WCB, huyo Domokayaa alipitiwa labda au alisahau ni nani alimuomba kusainiwa, na sio yeye Marioo.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] poleeee chawa mkuu wa Domokayaa mmekanwaa kweupeeee.
Hiloooooooo kubwa zima akili kisoda [emoji1787][emoji1787]Yeye anaemtuma Abba kwa babutale akamuombee msamaaa kwa Simba alafu anarudi media anavimba ndio anahara mtoto mdogo sana yule anahitaji kushikwa mkono afike mjini anapoenda sasa ni pagumu mno weken akiba ya maneno msimalize yote
Tena tupo wengiiiii huyo chawa mwenyewe anajua siku ya uzinduzi wa Album yake watu walivyomuitikiaMario sio wa kumwabudu simba, ana mashabiki wake na tunamkubali sana. Hajawai kupoa
Marioo angekua mpuuzi wa mwisho kama angekubali kusainiwa WCB, huko international huyo Mondi yeye kafika wapi? Mbona tunawaona Wa Nigeria tu wanapishana kwenye viwanja vya Marekani na Uingereza, acheni ujinga nyie wa kumvisha huyo boss wenu uchwara kilemba cha ukokaHumu amna wafatiliaji mziki wapo wasikilizaji mostly, saw a clip Abbah ana regrets maneno ya marioo, that he shouldn't have said that. Marioo kafika peak of bongo flava, yani at this point ni kwenda international. But how??! With what support?? ( alikiba, harmonize, aslay, Mr Nice, juma nature and many others have failed). And worse ni kwamba as an artist you shouldn't create tension with media power houses kama u don't have enough fans to support you with funds, diamond kama amemind marioo sana. I believe he even cancelled all projects with him as well as supporting him completly from his label artists . We will see how it ends.??! Ila marioo carrier is at cross road.
Kakosa descipline kivipi au kisa kakataa kuwapigia magoti?Hii inausiana nini na marioo kukosa discipline kwa wenzie?
Huyu dogo anapenda kucheuwa migebuka hapa jf akidhani watu wote humu wamezaliwa mwaka 2000
Wamezoea mipasho na mduara.Pigo za kimasta huziwezi π
Huu Umbea Dadako mbona sina..Yaan kaporwa range ndo anaanza kuwehukwaaa sahivi, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Asake wa tandale na hawa mataga wake wanaforce mazoeya π
Issue ni kwamba....Marioo anawaumiza Vichwa sana pale Usafini..Marioo kapiga kwenye mshonoo, na kasema wazi hajawahi kuomba kusainiwa WCB, huyo Domokayaa alipitiwa labda au alisahau ni nani alimuomba kusainiwa, na sio yeye Marioo.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] poleeee chawa mkuu wa Domokayaa mmekanwaa kweupeeee.
Huyu lokole ni papai amezoeya kupakwa mawesePigo za kimasta huziwezi π
Sure man wanataka kuumiliki muziki wabongo wakati haiwezekaniAsake wa tandale na hawa mataga wake wanaforce mazoeya [emoji23]
Labda kipaji cha kupakwa mafuta ya maweseBasi tufanye kipaji unacho weww na nidhamu hongera mkuu.
Asake wa tandale na hawa mataga wake wana wivu hadi wamevuka level wamekua wachawi.
Kumbe ni mpakwa mafuta πLabda kipaji cha kupakwa mafuta ya mawese
Hapo mwandinga wanamuita papai rojo πKumbe ni mpakwa mafuta π