Marioo, utovu wa nidhamu ndio anguko lako

Tupo hapa tutawakumbusha.
 
Majuto ni sehemu ya maisha. Vipi na waliochelewa kuoa hadi wanaitwa babu na watoto je
 
Kama sio mwijaku basi ni baba levo.
Maana ndo chawa wa diamond hao.
Mmekuja kutetea ugali wenu
 
Dyadyaaa mji mzitoo, kuna wahongaji Bongo??
Watu washamchakachua mtu kunako, na range wamebebaaa,

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] chezea pedeshee wa town weyeee.
Mambo yamechemka aiseee...
Ndiyo maana siku hizi kiherehere cha Range this... Range that kimeisha..
 
Mambo yamechemka aiseee...
Ndiyo maana siku hizi kiherehere cha Range this... Range that kimeisha..
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nilicheka wakati ndo anatamba nalo, basi tukawa chimbo anaanza kujifaragua, na kumchamba A, eti anaburuzwa na watoto wa kino hata IST hapewi,

Mie nkamuuliza wee unavotamba na kucheka wenzio, hiyo Range kadi na bima zinasoma jina lako?? Etii oooh kuna jamaa ndo yuko kufuatilia ikikamilika napewaa, dyadyaa nilichekaa hadi machozi ile siku. Nkamuambia sio wee kidampaa,. Walikuwa slays tena wenye nyota zao, mfano Wema sepetu. Muulize akupe tips za wanaume wa bongo. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Siku hizi chimbo haonekani, na last seen 2,weeks ago, na waja wanamsubiri balaaa [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Siku aki log in atajuta kuwafahamu. Uwiiiiih
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
A ni nani tena Dogo?
 
Aisee 🀣🀣🀣
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…