Wakudadavuwa
JF-Expert Member
- Feb 17, 2016
- 17,506
- 16,003
- Thread starter
-
- #61
Amsterdam mwenyewe tayari pumzi imekata,halimi tena watu barua labda kaamua kulima bamia.
Hzo polls ni reflection za kura halisi.Ndugu zangu,
Sasa sio siri tena kwamba kwenye "online polls" zilizoanzishwa Facebook,twitter Instagram na wafuasi wa Chadema na hatimaye kupigiwa kura na wana-Chadema Tundu kapata kura za kutosha,sasa aapishwe ili aanze kupiga kazi kwenye social media.
Wengi wanashangaa atafanyaje kazi twittani?ni rahisi tu kwani ata-tweett na kisha makamanda wata-retweet.
Hoja ni mfumo wa sheria na katiba; Je Mark Zuckerberg atakubalika kumwapisha Tundu?
Tofauti ya wapiga kura wa mitandaoni na wale wa box la kura ni;Ndo mana nikasema huweza kuelewa maana ya hizo online polls kama hujaenda shule.
Tofauti ya wapiga kura wa mitandaoni na wale wa box la kura ni;
1. Wa mitandaoni vipaumbele vyao ni kuwa na magari mazuri, nyumba nzuri na kusomesha watoto wao shule za gharama.
2. Wale wa box la kura ambao ndio wengi ni kuwa na uhakika wa maji, umeme, huduma za afya, uhakika wa masoko ya mazao, pamoja na uhakika wa watoto wao kusoma.
3. Wa mitandaoni vipaumbele vingine ni kuwa na mianya ya kupiga dili,kupiga rushwa, kupata kipato kisicho halali pamoja na kulipwa mishahara mikubwa kuliko ufanisi wao.
4. Wa box la kura vipaumbele ni kuzibwa mianya ya rushwa, kutoibiwa mazao yao na vyama vya ushirika, kuondolewa tozo zisizo za lazima za mazao na mifugo, uhakika wa amani na usalama.
Hahahahahaha dah yani umejibu kinyonge sana na unaonyesha umechoka sana, pole mkuu ndiyo siasa zilivyo kwani kuna kushinda na kushindwa, sasa kama jiwe hakubaliki na wananchi walio wengi siyo kosa lako ni kosa lake lakini wewe umetimiza jukumu lako la kumtetea japo imeshindikana.
Sent from my Infinix X680 using JamiiForums mobile app
Hivi inakuwaje vilaza wote mko CCM tu?Ndugu zangu,
Sasa sio siri tena kwamba kwenye "online polls" zilizoanzishwa Facebook,twitter Instagram na wafuasi wa Chadema na hatimaye kupigiwa kura na wana-Chadema Tundu kapata kura za kutosha,sasa aapishwe ili aanze kupiga kazi kwenye social media.
Wengi wanashangaa atafanyaje kazi twittani?ni rahisi tu kwani ata-tweett na kisha makamanda wata-retweet.
Hoja ni mfumo wa sheria na katiba; Je Mark Zuckerberg atakubalika kumwapisha Tundu?
Hivi inakuwaje vilaza wote mko CCM tu?
Kumbe Lipumba anagombea Urais ZanzibarWatumia mitandao wengi si wapigakura wengi wao ni kula kulala na wabeba mabox huko Ulaya na Marekani. Na election poll nyingine hii hapa! Unaisemeaje na hii??
View attachment 1575001
Sio chama tawala bali chama dola linaongozwa na fisadi mnyamulenge toka RwandaMngekuwa na akili si mngekuwa chama tawala
Namaanisha ni wale wenye akili kama INFIX. subiri kipigo uje ulie Kwio hapa. Wacha kelele mapemaAmakweli twaweza walikuwa sahihi, so una maana wafuasi wa ccm ni wale wasiyo na access na mitandao wala network au wenye akili kama zako?
Sent from my Infinix X680 using JamiiForums mobile app
Sio yeye NI SISI TUTAMPA MAKWENZI. Niandalie bata watatu wa kula tar 28, 29, na siku ya kutangaza ushindi wa JPM.Miaka yote CCM haina wagombea wenye ushawishi Kwa wapiga kura inategemea NGUVU ya vyombo vya DOLA hata sasa magufuli hana ushawishi wowote Kwa wapiga kura zaidi anategemea huruma ya vyombo vya DOLA ,Tundu lissu anapeta kila kona katika uchaguzi Wa mwaka huu 2020 #NIYEYE
Ambao ni sawq na weweNamaanisha ni wale wenye akili kama INFIX. subiri kipigo uje ulie Kwio hapa. Wacha kelele mapema
Jiandae kutukanwa aisee..Watumia mitandao wengi si wapigakura wengi wao ni kula kulala na wabeba mabox huko Ulaya na Marekani. Na election poll nyingine hii hapa! Unaisemeaje na hii??
View attachment 1575001
Unadhani wtz wote wanamiliki smartphone eeh?Hao walioko FB, Twitter n.k ni waTZ na hayo ni maoni yao nani anafaa kuwa kiongozi wa nchi hii, hizo social media ni platform tu lakini pia sample zake zinaakisi nani endapo kura halisi zikiwa huru na haki ataweza shinda uchaguzi hapo oct 28.
Ukipiga kura ya rais kwa Tundu Lissu, ujue unapiga kura ya katiba mpya, ujue unapiga kura kwa rais ambaye atarudisha uhuru na haki za wananchi, ujue unapiga kura kwa rais ambaye hatawasimanga..".Tundu Lissu. #Uchaguzi2020Sio yeye NI SISI TUTAMPA MAKWENZI. Niandalie bata watatu wa kula tar 28, 29, na siku ya kutangaza ushindi wa JPM.
Kwamba hizo online polls ndo za haki na uwazi Kama mbavyotaka iwe kwenye uhalisia?Ndo mana nikasema huweza kuelewa maana ya hizo online polls kama hujaenda shule.
ππππ Nyumbu bn .!Ukipiga kura ya rais kwa Tundu Lissu, ujue unapiga kura ya katiba mpya, ujue unapiga kura kwa rais ambaye atarudisha uhuru na haki za wananchi, ujue unapiga kura kwa rais ambaye hatawasimanga..".Tundu Lissu. #Uchaguzi2020
Achana na takataka za ccm
Hebu anzisheni na nyie vijana wa ccm tuone itakuajeNdugu zangu,
Sasa sio siri tena kwamba kwenye "online polls" zilizoanzishwa Facebook,twitter Instagram na wafuasi wa Chadema na hatimaye kupigiwa kura na wana-Chadema Tundu kapata kura za kutosha,sasa aapishwe ili aanze kupiga kazi kwenye social media.
Wengi wanashangaa atafanyaje kazi twittani?ni rahisi tu kwani ata-tweett na kisha makamanda wata-retweet.
Hoja ni mfumo wa sheria na katiba; Je Mark Zuckerberg atakubalika kumwapisha Tundu?