Marriage is a loss to every man. Yaliyotokea siku chache kabla ya kifo cha Mr. Ibu

Hapo namba 11 kwamba low thinking capacity inakuwa linked direct na fluoride exposure? Kwa madai kwamba fluoride ina block pineal gland (au kama inavyoitwa third eye na baadhi ya watu?) NI KWA USHAHIDI UPI ????? Mbona maji ya kaskazini mwa tanzania ndiyo yanayoongoza kwa kiwango kikubwa mno cha fluoride lakini watu wa hiyo mikoa wapo vizuri sana upstairs?
 
Inasikitisha sana....Apumzike kwa amani!
 
tunaishi kisha tunaishia
 

Health challengesedit

In October 2023, Okafor revealed that he was suffering from an ailment that threatened to make it necessary to amputate one of his legs. He said he was struck by the problem while on a movie set with other Nollywood actors.[14][15] He appealed to his fans and the public for prayers and financial assistance to cover his medical bills. He also shared a video of himself lying in a hospital bed, expressing his fear of losing his leg.[16][17]

The Abubakar Bukola Saraki Foundation, which was established by the former senate president of Nigeria, paid off Okafor's entire medical expenses as of 18 October 2023. The foundation also stated that Okafor still required a lot of financial assistance to sustain him in the hospital and for his travel abroad for further treatment.[18][19][20]

Illness and deathedit

In November 2023, Okafor underwent a leg amputation after suffering from an illness that required seven surgeries. His family said the amputation was done to keep him alive and increase his chances of recovery.[21][22][23]

Okafor died on 2 March 2024, at the age of 62, as a result of Cardiac arrest


KUTOKA KWENYE MITANDAO
 
Melki, Nikilialia ndo inahalalisha kuwa wanawake wote hawafai? Maisha yangu na chaguzi zangu si hitimisho la maisha ya wengine na chaguzi zao.
Ila ukumbuke kuwa hakuna utofauti kati ya mwanamke na mwanamke. Mwanamke ni yule yule tu. Yupo kimaslahi, ukiona unapatana naye, ujue kuna kitu anabenefit kutoka kwako, siku ukipoteza ndo basi tena. Hata maandiko yanasema tuishi nao kwa akili

Siwezi mhusisha mwanamke kwenye masuala ya pesa ama mali zangu za nje. Ama hata kimawazo, sihitaji cha ziada kutoka kwake zaidi ya unyumba, watoto na uwepo wake tu. Hawachelewi kukugeuka. Nimeshuhudia wangapi! Ni wengi sana mkuu

Hawa viumbe ni wa kukaa nao mbali sana mkuu. Watu wamelia sana na kusaga meno
 
Mzee yupo hospital watoto wakaiba pesa ambazo bakuli lilipita kumchangia
Aisee.

Mungu ampumzishe kwa amani.
Kibaya zaidi 60% ya hizo pesa ilibebwa na mtoto wake wa kike kwa ajili ya kufanyiwa oparesheni ya kuongeza matako. Na alifanikiwa kufanya hivyo. Utamuona tu msibani mkuu. Sijui naye atakuwa analia[emoji848]
 
Inasemekana ameokoka na aliwahi kuugua vibaya sana huyu mchekeshaji.

Labda fluoride ndiyo imenituma nijibu hivi bandiko lako
Mr Ibu kwa uhalisia alikufa mwaka mmoja nyuma ,tangu siku ile ya birthday yake alikuwa kama zezeta ,mwaka jana ndio alikatwa mguu mwezi wa 10 kama sijakosea
 
Ila ukumbuke kuwa hakuna utofauti kati ya mwanamke na mwanamke. Mwanamke ni yule yule tu. Yupo kimaslahi, ukiona unapatana naye, ujue kuna kitu anabenefit kutoka kwako, siku ukipoteza ndo basi tena. Hata maandiko yanasema tuishi nao kwa akili
Kuna tofauti ya mwanamke na mwanamke. Kuna wanawake malaya, kuna wauaji, kuna wavumilivu, kuna wapiganaji, kuna walezi, kuna wanaotupa watoto. Wakati unapotongoza ujue utaokota yoyote. Kila mtu na bahati yake.
Siwezi mhusisha mwanamke kwenye masuala ya pesa ama mali zangu za nje. Ama hata kimawazo, sihitaji cha ziada kutoka kwake zaidi ya unyumba, watoto na uwepo wake tu. Hawachelewi kukugeuka. Nimeshuhudia wangapi! Ni wengi sana mkuu
Upo sawa sababu ni wewe, kuna ambaye kila kila kitu anafanya na mkewe na mambo yanaenda naye yupo sawa.
Hawa viumbe ni wa kukaa nao mbali sana mkuu. Watu wamelia sana na kusaga meno
Ukikaa nao mbali ni sawa na unaeleweka kwasababu wewe ni mtu mzima na unajua unalotaka. La muhimu usidhani mtazamo wako ni mtazamo wa mwingine na kwamba maisha yako yatafanana na mwingine.
 
Kuna baba mmoja karibu na kinondoni alipooza.
Kichwa tu ndo kilikuwa sawa.
Watoto, ndugu, marafiki walimkimbia. Mkewe kapambana nae kwa zaidi ya miaka 5 mpaka mauti ilipomfika. Mama wa kiislamu yule MUNGU ampe maisha marefu sana.
Katika jambo nimejifunza sana kwenye maisha yangu hadi sasa ni kuwa wenzetu Waislam wanamjua Mungu kweli kweli sio maneno maneno tuuu!
Waislam ni mara chache sana ukasikia kesi za wanawake kukimbia au kutelekeza waume zao au kutaka kuwatoa roho…..
Wakristo hasa wanawake baadhi wamejawa na ukatili wa ajabu sana na ni wanafiki sana sana….hela ikiisha wanakimbia kabisa ….
 
Kweli wapo mabinti wa kiislamu wenye hofu ya MUNGU na wamekuzwa katika mazingira hayo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…