n-propanol
JF-Expert Member
- Apr 7, 2019
- 5,349
- 7,000
π π π Ninyi si ndio mlikuwa mnamsifu kwa pambio na vigelegele kuwa ameanza vizuri leo hafai tena?.Acheni uzandiki.Huyu Mama ni tatizo na ameamua kurithi na kuyaenzi baadhi ya mambo ya yasiyofaa ya Mwendazake yaliyotuharibia hii nchi.
Kwa kifupi, hatoshi na bora muda wake uishe aondoke.
Hata Katiba Mpya sidhani kama itakuwa ni moja ya vipaumbele vyake kwani inaonekana ameanza kufurahia hii katiba mbovu inayompa mamlaka makubwa ya kufanya atakavyo.
Ooh basi fahamu mie sio MATAGA na simuelewi kabisa huyu mama only the difference ni kwamba yeye sio katiliMie hata sikuelewi,,mie ni MATAGA by the way
Huyu atamaliza miaka 4 bila kufanya cha maanaNarudia tena sina imani na huyo Maza. Naona anakurupuka tu na teuzi zake. Sijui hata kama anauliza maswali ya kina kwa hao wanaofanya vetting. Na hao wanaofanya vetting ni watu makini kweli wanaoweka mbele maslahi ya Nchi au WANADEMKA tu ili siku iingie? Kuna OMBWE kubwa sana la uongozi nchini.
π π Eti kuchukua nchi,nchi ipi?. Labda nchi ya machame nkuu kati ndio mkachukue ila sio mama Tanzania. Mchukue nchi kwa upinzani huu utopolo, hilo jambo ni njozi za mchana.Kwa style hii upinzani tusahau kuchukua nchi maana tunakaa kumshangilia Rais wa CCM badala ya kujenga kwetu.
Hili ni suala pana mkuu. Kila mtu atalizungumzia kinamna yake. Chadema ndio wapo mitandaoni kupigia kelele huu uteuzi wa Nassari.Ishu si hao hawana shukrani mimi sina chama cha siasa lakini mtu akiacha ubunge kwa kutokuudhuria vikao vya bunge unampaje nafasi ya ukuu wa wilaya Mama anaweza kuwa vizuri lakini anapokosea usiweke upofu kisa ni Mama wanaomsaidia teuzi wanazingua sana hii ni kweli
Matokeo ya Kisiasa yanataka Moyo Sana vijana wa CCM tulieni au hamieni Upinzani..... Nchi ni Yetu Sote, tupunguze kuchukiana na Kuumizana kimwili!!π π Eti kuchukua nchi,nchi ipi?. Labda nchi ya machame nkuu kati ndio mkachukue ila sio mama Tanzania. Mchukue nchi kwa upinzani huu utopolo, hilo jambo ni njozi za mchana.
Uvccm safari hii wataita maji mmaKama bunge limewashikilia wakina mama 19 wasio na chama, wanaoitwa wabunge wa upinzani bungeni. Mbona hili la Nasari ni cha mtoto.
Hii ndiyo Tanzania.
Mkuu hakuna Rais wa ccm au Chadema, Rais ni wa JMT,Kwa style hii upinzani tusahau kuchukua nchi maana tunakaa kumshangilia Rais wa CCM badala ya kujenga kwetu.
Kwa nini humuelewi?,hayuko hapo kusaidia upinzani,anajua kwa kuwapa kina juakali nafasi,2025 cdm wengi watavutika kwenda ccm,,siasa ni strategy,,unadhani angewaacha nani mwanachadema atatamani kwenda ccm tena?Ooh basi fahamu mie sio MATAGA na simuelewi kabisa huyu mama only the difference ni kwamba yeye sio katili
Hili la uchapakazi sikatai, maana niko huku piaSiyo kweli, hiyo ni dhana tu! Lakini pia Wachaga ni wachapa kazi sana, mfano Reginald Meghi, na kama ukifanikiwa kufika Arusha na Kilimanjaro, utakubaliana na mimi! Kuna Wachaga wengi CHADEMA, lakini makabila mengine wapo pia, hata Wasukuma! Na pia, muhimu sana, kuna Wachaga wengi sana ccm!
Anyway najua umeelewa but lemme make it clear, Rais anayetoka CCM. Happy now?Mkuu hakuna Rais wa ccm au Chadema, Rais ni wa JMT,
Huwezi kupata Urais bila kupitia chama cha siasa,,so lazima mazingira wezeshi yawekweMkuu hakuna Rais wa ccm au Chadema, Rais ni wa JMT,
Vyovyote iwavyo, akishapatikana anasimamia na kuapa kuwatumikia watanzania wote bila kujali vyama vyao mkuuHuwezi kupata Urais bila kupitia chama cha siasa,,so lazima mazingira wezeshi yawekwe
Maoni yangu doesn't matter mkuu especially baada ya kuwa mtu ameshateuliwa.Wewe unaona uteuzi wa nassar ni sawa?
Sijazungumzia Uislam, nimeongelea uzoefu hapa nchini na huo ndio ukweli hata kama tutaupinga.Uislam unakujaje tena hapa mkuu wangu?π
Udini ni mbaya sana boss
Mkuu kumsikia tuSabaya umepanick π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£We pumbavu kweli eti sabaya wamemtengenezea makosa!kwani cdm Ni Dpp?
huu jamaa anaitwa relief asome hapa ishu si kumpangia raisi ishu ni je raisi kwanini anachukua aina hii ya watu kama nassari na kufanya nao kaziMansa Musa, Mfalme tajiri sana wa Mali, alivyokuwa katika safari yake kwenda kuhiji Mecca, mwaka 1324 alifika Cairo Misri. Mwaka huo alitoa sadaka ya dhahabu nyingi sana Cairo, mpaka akashusha bei ya dhahabu.
Katika msafara wake huo, muandishi mmoja wa habari na historia maarufu wa Misri, alimuuliza. Mfalme, ulipataje kuwa Mfalme?
Mansa Musa akamjibu. Akamwambia kwamba, kabla yangu alikuwapo mflame mwingine, aliyeitwa Abubakar II. Abubakar alipenda sana kuchunguza vyanzo vya mambo. Mfalme Abubakar akasema, kama vile mto huu (Niger) ulivyo na ng'ambo ya pili yenye nchi kavu, vivyo hivyo hata bahari (Atlantic) ina ng'ambo ya pili yenye nchi kavu.
Mfalme Abubakar akajaza mamia ya mashua vyakula na maji, na vijakazi mbalimbali, waende kutazama kama upande wa pili wa bahari kuna nchi kavu.
Wale watu wakaenda, mashua ya mwisho ikarudi kutoa habari, kwamba walifika sehemu baharini kuna mawimbi makubwa kama maghorofa.
Mfalme Abubakar alivyosikia hivyo, akasema safari hii nitaenda mwenyewe nijionee. Akapanga vijakazi wake, mamia ya mashua, vyakula na maji. Akamuweka Mansa Musa kuwa mfalme wa muda wakati yeye yupo safarini.Akaenda baharini. Baada ya hapo hakuonekana tena.
Watu wa Mali walichukulia jambo lile kama la aibu sana. Kwamba Mflame wao amewatelekeza. Wakaenda kwenye vitabu vinavyoweka rekodi za Wafalme wa Mali, wakalifuta jina la Mansa Abubakar II.
Kisa hiki kinatufundisha nini?
A king abdicating his duties is a serious thing. Serious enough to be stricken off the records in the ancient Mali rosters.
Mbunge anapoomba kura, anaomba kupewa heshima kubwa sana. Akijiuzulu bila sababu ya msingi wajibu huu, amejionesha kuwa hafai uongozi wa umma.
Kwa sasa, sitaki kumpangia rais nani wa kumteua, kwa sababu ni haki yake ya kikatiba na kisheria.
Ila, nahoji ufanisi wa kuteua watu ambao walishajiuzulu uongozi wa umma bila sababu muhimu. Na zaidi, nahoji kama hivi vyeo inawezekana vikajazwa vizuri kwa watu kugombea badala ya kuteuliwa.
Na zaidi, kama kuna mbunge kachaguliwa na watu, mkuu wa wilaya anahitajika kufanya nini?
Mambo ya imani yanakujaje sasa???Alichaguliwa kwa imani yake au kwa kukidhi sifa bainifu zilizopo katika katiba kuwa rais wa nchi?
I have spent time reviewing your presentations and comments, you often have a point. But it would have hold much sense if it was not competitive politics.Narudia tena sina imani na huyo Maza. Naona anakurupuka tu na teuzi zake. Sijui hata kama anauliza maswali ya kina kwa hao wanaofanya vetting. Na hao wanaofanya vetting ni watu makini kweli wanaoweka mbele maslahi ya Nchi au WANADEMKA tu ili siku iingie? Kuna OMBWE kubwa sana la uongozi nchini.
Basi mtaendelea kutangatanga for years to come.Unakurupuka Tu,wala hujui lolote,ni kweli huku hatupo na wala kule hatupo hadi CCM itoweke ndo tutatulia,
Sent from my Infinix X688C using JamiiForums mobile app