Wakudadavuwa
JF-Expert Member
- Feb 17, 2016
- 17,506
- 16,003
Nchi haina lolote la kujivunia???
Nyinyi ni kupinga tu kila linalofanyika. Sasa si uhame uende kwenye nchi zenye lolote. Mbona umeng'ang'ania hapa???
Kama Tanzania haina lolote tafuta huko kwenye lolote uende
Watanzania kulalamika ndio jadi yetu, ni udhaifu wetu.Dah,hii nchi kweli ngumu!!!!
Sijui mtu afanyaje ili kuwafurahisha aisee , mama ameeleza namna kwenye uongozi wake kuwa hatotaka Kodi ya dhulma, hatotaka kumuonea mtu, na ametoa uhuru wa kukosoa na pia kufungulia vyombo vya habari ambavyo vilifungiwa, ayo yote ni yale ambayo enzi za dikteta yalikosekana,
Leo Chadema inazunguka mikoani kufanya mikutano ya ndani,hatujasikia hata purukushani za kuvamiwa na polisi, na mengineyo mengi,
Sasa mnataka mtu wa namna gani!?? Na mama ana siku mia tu tayari mshaanza kusema hafai
Una ufinyu wa akili wewe! Huyo msaliti Ayatollah Zitto aliyefukuzwa Chadema kwa kuchukua mikakati ya chama uchaguzi wa 2010 na kuipeleka ccm unaweza kumuita mpinzani?
Huyo aliyekuwa busy kuongea na Rostam miezi michache kabla ya uchaguzi wa 2010 akitoa siri za mipango ya chama kisha alipoulizwa namba yake ya simu ilikuwa inaongea na namba ya Rostam walikuwa wanaongea nini? Akabaki kung’ang’ania macho!?
Akaulizwa hii ni namba yako au si namba yako? Jibu lake ni namba yangu lakini sijaitumia miezi mingi sana. Swali sasa hiyo simu umempa mtu mwingine? Hapana. Je, imejipiga yenyewe kwenda kwa Rostam? Hapana. Sasa mlikuwa mnaongea na Rostam kitu gani miezi miwili kabla ya uchaguzi!!!?
KIMYAAAAAA! Usiandike ujinga wako humu kuhusu ACT Wazalendo AKA ACT Wasaliti.
Mkuu Uttoh2002, unafikiri Mshana ni ccm?! Tuna tatizo kubwa JF, kuna wakati tuna paswa kufikiri nje ya mabox ya ccm vs CHADEMA, kwa masilahi mapana ya nchi yetu!
Kashasema Katiba si kipaumbele chake kwa sasa mkuu.Huyu mama alipo bora sasa aseme kitu kuhusu katiba mpya kwa hiari yake.
Kinachojadiliwa ni jinsi ambavyo CCM ilivyokosa watu hadi kufikia hatua ya kuteua wakuu wa wilaya wapinzani mliowabeza few days ago?Nyinyi huwa hamna jema wala shukran.
Jiwe ndio aliwajua vyema na ndio maana akawafanyia alivyowafanyia. JK aliwaeka karibu na kuamini kwamba Tanzania ni yetu sote lakini shukran yenu ni matusi kwake.
Hata mfanyiwe nini nyinyi hamtokaa mshukuru kwamba angalau mmepata rais anaeskiliza maoni na kujali kwamba sote ni Watanzania. Mmekalia lawama juu ya lawama juu ya lawama.
Muwe na staha na busara na muache huu ujinga wenu dhidi ya rais.
Yaani tatizo ni kuteuliwa Nassari???? Huku hampo na kule hampo
Mama kama kuna aliowateua basi labda ni watano tu , mkeka ameletewa tu mezani , nina hakika 95% ya wateule hawajui .Narudia tena sina imani na huyo Maza. Naona anakurupuka tu na teuzi zake. Sijui hata kama anauliza maswali ya kina kwa hao wanaofanya vetting. Na hao wanaofanya vetting ni watu makini kweli wanaoweka mbele maslahi ya Nchi au WANADEMKA tu ili siku iingie? Kuna OMBWE kubwa sana la uongozi nchini.
Ni ukosefu tu wa akili ndio unawasumbua hawa watu.Umesema yote it’s beyond me kwenye,kuwaelewa hawa viazi.
Wafuasi wa CDM ovyo kweli kweli; we need to asses their to asses their mental ability.
Well said MkuuHamna lolote mkuu, hamnaga hoja wala agenda iliyo na malengo ya kitaifa. Nyinyi ni kupinga tu kila lifanywalo.
Hamuwezi kukaa kimya mbona kipindi cha jiwe mliufyata?? Shukuruni kwamba Marais waislam wana hekma na busara.
Kwa kutumia hizo hizo kodi zenu jiwe alifanya anavyotaka na mliufyata kimyaaaa hakuna cha kodi zenu wala nini.
Muwe na staha na busara na muache huu ujinga wenu dhidi ya Rais.
Nasari, Mashinji na Lijuakali si walirudi ccm?Kinachojadiliwa ni jinsi ambavyo CCM ilivyokosa watu hadi kufikia hatua ya kuteua wakuu wa wilaya wapinzani mliowabeza few days ago?
Na bado mtaumia hadi mfe kwa hasira!Mama kama kuna aliowateua basi labda ni watano tu , mkeka ameletewa tu mezani , nina hakika 95% ya wateule hawajui .
Sasa ni nani kampa majina ?
Sorry....kudemka maana yake ni nini kiongozi....??Ulipokuwa unademka humu hukujua haya?
Ajabu sana. Vijana tulipiga kelele sana kwanba wazee waliochoka wanateuliwa vyeo mbalmbal huku vijana wakiachwa. Vijana wameteuliwa tena tunalia tunasema hawana uzoefu wateuliwe wazee.Labda tukisema upinzani wa nchi hii tunakosea. Mbona @ACT Wazale@ACT ni wapinzania lakini wanakosoa, kushauri na kushiriki kwa staha???
Hiki kikundi cha watu lengo lake ni kuingia tu madarakani hata kwa ghiliba, fujo, au hata kwa damu.
Hawana jema hawa, tulipiga kelele weeee kwamba vijana washirikishwe, Leo vijana wanashirikishwa bado wanapiga kelele only because hawateuliwi wao. Yaani wao lazima wateuliwe wao tu.
Watakwambia kuhubiri na kuzunguka nchi nzima sio hisani, lakini kwa miaka mitano waliufyata hawa.
Time yao inakuja na ikifika hatutotaka kuskia malalamiko.
Sidhani kama iliwahi kutokea ulinzi wa Rais wa Tanzania ukawa tatizo,tatizo ni pale tunapomlinda na asitekeleze kile wananchi wanataka akafanye naye akatenda atakayo yeye au chama chake.Rais Samia Suluhu Hassan alipata kutuambia awamu hii anatekeleza yote aliyokua yamepangwa kutekelezwa na JPM yeye akiwa makumu, pamija na kuboresha kunakohitajika
Sijui kwanini kuna watu hawamuelewi
Chuma JPM alinoa chuma SSH
Alale salama kipenzi chetu John Pombe Magufuli
Mungu ibariki Tanzania, Mungu tulindie Rais wetu kipenzi Samia Suluhu Hassan
Nakubaliana nawe mkuu.Ajabu sana. Vijana tulipiga kelele sana kwanba wazee waliochoka wanateuliwa vyeo mbalmbal huku vijana wakiachwa. Vijana wameteuliwa tena tunalia tunasema hawana uzoefu wateuliwe wazee.
Wapinzan wamepewa uhuru wa kufanya wakitakacho lkn sasa hawamtak aliewapa uhuru.
Nasema hivi mama fuata Magufuli style hawa watu wapigwe pin mikutano mpaka uchaguzi mkuu. Ukiwachekea hawa watu utajikuta wamekupiga na viatu wakidai ni uhuru wao.
Nilimchukia jiwe kwa kuwanyima uhuru lkn nasema am sorry Jiwe, hawa watu uliwajua sana. Uliwabana p**u na hakuna kitu walikufanya. Ulitumia kodi zao kuwapelekea moto nao wakaufyata mpka sasa ndo wameinua vichwa.
Believe me, wapinzani wakivhukua nchi hakuna kitu watafanya. Hata hilo la katiba mpya wataachana nalo. Na hawa nk wafalme wapendao kutukuzwa wala hawatak kupingwa.
Kujibinua binua ikiwa ni sehemu ya kumsifia mtuSorry....kudemka maana yake ni nini kiongozi....??
Ndugu,Nyinyi huwa hamna jema wala shukran.
Jiwe ndio aliwajua vyema na ndio maana akawafanyia alivyowafanyia. JK aliwaeka karibu na kuamini kwamba Tanzania ni yetu sote lakini shukran yenu ni matusi kwake.
Hata mfanyiwe nini nyinyi hamtokaa mshukuru kwamba angalau mmepata rais anaeskiliza maoni na kujali kwamba sote ni Watanzania. Mmekalia lawama juu ya lawama juu ya lawama.
Muwe na staha na busara na muache huu ujinga wenu dhidi ya rais.
Yaani tatizo ni kuteuliwa Nassari???? Huku hampo na kule hampo
Umeliweka vizuri Sana. Watanzania kuna nyakati hatujijui tunataka nini kwa kweli. Mungu anaipenda nchi yetu, ameonyesha namna ambavyo nchi yetu inaweza kupoteza utulivu kwa kuruhusu yule DIKTETA kututawala kwa miaka 5 na siku 114 kisha akaitoa roho yake. Ametupa Rais mtulivu, msikivu, mfuata utawala wa Sheria na anayemwogopa Mungu kwa matendo na siyo kwa mdomo kama Mwendazake.Na mkiendelea hivi hiyo habari ya mikutano na the so called wapinzani wa kweli itapotelea hewani. Haina hata haja ya kuwakaribisha.
Sisi tutamkumbusha aachane na hizo habari maana Mheshimiwa Kikwete alifanya hivyo na hakuna tija yoyote iliyopatikana law kukutana na hao wanaojiita wapinzani wa kweli. Zaidi zaidi walikwenda tu kunywa chai ikulu na kuongeza gharama zisizo za msingi.
Kwa tabia zenu hizi Wallahi haya mambo ya katiba mpya na tume huru pia yanaweza yakapeperuka na to be honest my friend hamna mtakaloweza kumfanya mama. Ni hisani na busara zake tu. Ni mapenzi yake kwa taifa lake tu, hivyo musitake kumvuruga.
Eti anatoka mtu na kusema hatuwezi kumbembeleza na tutapaza sauti. You are not being realistic.
Muwe na staha wakuu
Narudia tena sina imani na huyo Maza. Naona anakurupuka tu na teuzi zake. Sijui hata kama anauliza maswali ya kina kwa hao wanaofanya vetting. Na hao wanaofanya vetting ni watu makini kweli wanaoweka mbele maslahi ya Nchi au WANADEMKA tu ili siku iingie? Kuna OMBWE kubwa sana la uongozi nchini.