Martin Maranja Masese apinga uteuzi wa Joshua Nassari

Martin Maranja Masese apinga uteuzi wa Joshua Nassari

Huyu Mama ni tatizo na ameamua kurithi na kuyaenzi baadhi ya mambo ya hovyo ya Mwendazake yaliyotuharibia hii nchi.

Kwa kifupi, hatoshi na bora muda wake uishe aondoke.

Hata Katiba Mpya sidhani kama itakuwa ni moja ya vipaumbele vyake kwani inaonekana ameanza kufurahia hii katiba mbovu inayompa mamlaka makubwa ya kufanya atakavyo.
Sala ziendelee Mola atende yake. Yaani ampende zaidi.
 
Uteuzi ni connections ,Nassari alishafanya biashara ya utumwa na mwenda zake na moja ya ahadi ni Udc!! Wengi walioteuliwa ukiacha wale waliofanya biashara ya utumwa ni vimemo vimetembea!!
 
Huyu mama anateua watu walionunuliwa.

Badala achukie upumbavu ule wa Mwendazake yeye anaupalilia na kuuenzi

Alitakiwa aonyeshe mfano kwa kukataa wasaliti, walionunuliwa, yeye anawareward.

Huyu mama hapa kazingua sana.
 
Anazidi kuharibu tu kwani hizo nafasi MATAGA ndio walikuwa wanazitaka hivyo anazidi kuharibu pande zote.

Anatakiwa aachane na mambo ya kijinga aliyoyaasisi Mwendazake.

Hii nchi ina wananchi wajinga sana, kazi kuutwa kulalamika tu. Alipokuwa jpm anateua wazee na prof mlilalamika, sasa huyu mama anateua vijana na sio maprof mnalalamika. Mnataka nini?
 
Maza yuko vizuri tatizo analemewa na kelele ndani ya ccm...ishu ya sabaya imeleta mgawanyiko mkubwa sana.. Kwakuwa ilionekana ni ushindi kwa CDM na mwenyekiti...! Hili la kuwateua kina Nasari ni kama kuwapoza machungu mataga
INA MAANA CCM NI MAJAMBAZI WANAUNGANA NA SABAYA?
 
Narudia tena sina imani na huyo Maza. Naona anakurupuka tu na teuzi zake. Sijui hata kama anauliza maswali ya kina kwa hao wanaofanya vetting. Na hao wanaofanya vetting ni watu makini kweli wanaoweka mbele maslahi ya Nchi au WANADEMKA tu ili siku iingie? Kuna OMBWE kubwa sana la uongozi nchini.
Acha mama apige kazi.Punguza kulalamika.
 
Nyinyi huwa hamna jema wala shukran.

Jiwe ndio aliwajua vyema na ndio maana akawafanyia alivyowafanyia. JK aliwaeka karibu na kuamini kwamba Tanzania ni yetu sote lakini shukran yenu ni matusi kwake.

Hata mfanyiwe nini nyinyi hamtokaa mshukuru kwamba angalau mmepata rais anaeskiliza maoni na kujali kwamba sote ni Watanzania. Mmekalia lawama juu ya lawama juu ya lawama.

Muwe na staha na busara na muache huu ujinga wenu dhidi ya rais.

Yaani tatizo ni kuteuliwa Nassari???? Huku hampo na kule hampo
Huwezi ukashukuru kwa kila kitu hata ambacho hakiko sawa,ila SSH yuko vizuri sana ni binadamu hawezi kumfurahisha kila mtu kwa kila kitu.
 
Nyinyi huwa hamna jema wala shukran.

Jiwe ndio aliwajua vyema na ndio maana akawafanyia alivyowafanyia. JK aliwaeka karibu na kuamini kwamba Tanzania ni yetu sote lakini shukran yenu ni matusi kwake.

Hata mfanyiwe nini nyinyi hamtokaa mshukuru kwamba angalau mmepata rais anaeskiliza maoni na kujali kwamba sote ni Watanzania. Mmekalia lawama juu ya lawama juu ya lawama.

Muwe na staha na busara na muache huu ujinga wenu dhidi ya rais.

Yaani tatizo ni kuteuliwa Nassari???? Huku hampo na kule hampo
Naunga mkono hoja
 
Issue ya Sabaya ni ushindi kwa Chadema? Kila kitu Sio siasa mjinga kweli wewe what about:

  • Watoto waliobakwa na kula witiwa?
  • wanavyuo waliobakwa na kulawitiwa?
  • walioteswa?
  • waliozulumiwa?

Nyie CCM hamna akili kabisa! Na huu ubinafai wenu unafika mwisho si Mda mrefu!
Acha dawa iwaingie hawa Kijani
 
Kama ndani ya maccm kuna wanaomtetea yule jambazi na muuaji basi chama hicho hakistahili kuwepo madarakani kwani sasa ni genge la majambazi na wauaji ambao wako tayari kufanya maovu ya kila aina ili kujikusanyia utajiri haramu na kuua ili kuendelea kung’ang’ania madaraka.
Haswaaa
 
Huyu Mama ni tatizo na ameamua kurithi na kuyaenzi baadhi ya mambo ya hovyo ya Mwendazake yaliyotuharibia hii nchi.

Kwa kifupi, hatoshi na bora muda wake uishe aondoke.

Hata Katiba Mpya sidhani kama itakuwa ni moja ya vipaumbele vyake kwani inaonekana ameanza kufurahia hii katiba mbovu inayompa mamlaka makubwa ya kufanya atakavyo.
Watu wa upinzani hua siwaelewi kabisa.Serikali ya CCM ilipoingia madarakani chini ya jemedari Magufuri mlidai hamuitambui.Magufuri alipofariki ,milishangilia sana ,kama kwamba nyie hamfi.Na mkamshangilia sana mama ,huku mkimshawishi awafukuze kazi wateule wa Magufuri. Huku ubongo wenu ukiwa umesahau kuwa mama kamshikia kazi Magufuri.Sasa mmebadirika ,mmeanza kumpinga Mama kwa kuwa ameteua watu ambao hamuwataki.Lakini kumbuka pia mmesahau kuwa mlisema hamuitambui serikali.Ushauri:Anzeni kudai katiba mpya ya cdm kwanza,ndio muanze kudai katiba mpya ya nchi.Mnamuogopa Mbowe ,dikiteta na mwenye chama cha familia.Acheni hizo.
 
Nyinyi huwa hamna jema wala shukran.

Jiwe ndio aliwajua vyema na ndio maana akawafanyia alivyowafanyia. JK aliwaeka karibu na kuamini kwamba Tanzania ni yetu sote lakini shukran yenu ni matusi kwake.

Hata mfanyiwe nini nyinyi hamtokaa mshukuru kwamba angalau mmepata rais anaeskiliza maoni na kujali kwamba sote ni Watanzania. Mmekalia lawama juu ya lawama juu ya lawama.

Muwe na staha na busara na muache huu ujinga wenu dhidi ya rais.

Yaani tatizo ni kuteuliwa Nassari???? Huku hampo na kule hampo
Na hizi ndio mentality za Watanzania wengi wakidhani Nchi inapaswa kuendeshwa kwa utashi wa Rais na sio katiba, sheria na kanuni.
Eti amewafanyia wema? Nani kakuambieni kuna anayetaka kufanyiwa wema? Yaani katiba mbovu impe mamlaka ya kuteua hata watu wabovu lakini akiteua mwanao mbovu unyamaze kwa vile ni mwanao?
Ujinga huo ubaki hukohuko kwenu CCM sio kwa wanaotaka mema kwa nchi hii
 
Huyu Mama ni tatizo na ameamua kurithi na kuyaenzi baadhi ya mambo ya hovyo ya Mwendazake yaliyotuharibia hii nchi.

Kwa kifupi, hatoshi na bora muda wake uishe aondoke.

Hata Katiba Mpya sidhani kama itakuwa ni moja ya vipaumbele vyake kwani inaonekana ameanza kufurahia hii katiba mbovu inayompa mamlaka makubwa ya kufanya atakavyo.
Katiba mpya ni kipaumbele cha upinzani! Hivyo jawabu unalo mwenyewe.
 
Mtu msomi kama Nasari unaweza ukaamini kwamba lile kosa alilifanya kwa bahati mbaya? Au alikua hajui? Hizo pesa za kutumbulia maisha huko USA alikua anazipata wapi ilihali tunajua mshahara wa mbunge bila posho ni wa kawaida sana? NAsari alitumwa, Nasari alinunuliwa, Nasari alikua anajua anafanya nini na biashara imelipa, period
 
Tkiwaambia CCM ilishapoteza uoni mnasema ni chuki tu. Haya sasa. Huyu mama ni Mzuri isipokuwa genge linalomzunguka ni lilelile la mwendazake. Ana kazi ya kufanya kufumua mfumo mzima. Atazidiwa si muda mrefu. Vetting system ya TZ iliyokufa awamu ya tano ndio hiyo hiyo inaendelea awamu ya sita. Hivi TISS bado wapi TZ? Au waliende kusikojulikana na mwendazake?
 
Maza yuko vizuri tatizo analemewa na kelele ndani ya ccm...ishu ya sabaya imeleta mgawanyiko mkubwa sana.. Kwakuwa ilionekana ni ushindi kwa CDM na mwenyekiti...! Hili la kuwateua kina Nasari ni kama kuwapoza machungu mataga
Mkuu sijawahi kuwa na mashaka na hoja zako kila wakati. Lakini kuhusu huyu mama, please. Be slow, and I humbly beg you to revisit your position. Binafsi sina imani naye tangu siku ya kwanza. It's unthinkable kwa Rais kufanya maamuzi kwa kutaka kuridhisha kila kundi. It's next to impossible
 
Back
Top Bottom