Mbona sijawahi kuona wakikataza au kukemea yale matangazo ya barozi ya marekani wanatoaga kukaribisha vijana wanaotaka kujiunga na jeshi la Marekani kwa mkataba?Sheria gani imevunjwa nikijiunga na jeshi la nchi nyingine.
Jkt ipo waziYani nikiomba kujiunga na jeshi la hapa nakosa nafasi alafu inakuja nafasi ya kujiunga na jeshi huko nchi za mbali eti nikose kwenda eti kisa nitavunja Sheria za nchi?, na iwe hivyo tuu sitokua wa kwanza Wala wa mwisho kuvunja hizo Sheria, tena na uraia naukana hadharani kabisaaaaa hauna dili lolote mjini
Uue mama zako?Upande wa Estonia mkuu
Kweli ni the lostUue mama zako?
Unaowaona insta wameukana uraia wa tz kabla ya kujiunga kwao. Maana jeshi la marekani lenyewe linalazimu uchukue uraia wa nchi hiyo kwanza
Mbona sijawahi kuona wakikataza au kukemea yale matangazo ya barozi ya marekani wanatoaga kukaribisha vijana wanaotaka kujiunga na jeshi la Marekani kwa mkataba?
Wew una matatizoKweli ni the lost
Bi mkubwa miyeyusho sana, vijana wamepigika yeye analeta ushubwada,Huyu bi mkubwa anaongea ushubwada kabisa. Shenzi taipu!
Eti nipewe nafasi ya kujiunga na Jeshi la Marekani, Uingereza, Urusi, Uchina halafu nikatae kwa sababu ya visheria vyenu vya madafu? Mbwaaaaaaa! Yani immediately siwazi mara mbili mimi huyoooooo naenda kuvaa gwanda, to hell with your https://jamii.app/JFUserGuide#ng laws!
Hiyo ni ajira kama ajira nyingine. Yaani nikae jobless nasubiria wazee wapambane, wakati nafasi za kujiunga Wagner zipo!? Nitakuwa mpumbavu.
Huyo hakujiunga kwa hiyari yake bali kwa kulazimishwa, Serikali ilitakiwa kutoa tamko kuilaani Urusi kwa inachokifanya hasa kwa wageni maana ni kinyume na haki za binadamu.