Mary Chatanda amtuhumu Mzee Joseph Butiku kuwa amehongwa kupinga mkataba wa Bandari

Mary Chatanda amtuhumu Mzee Joseph Butiku kuwa amehongwa kupinga mkataba wa Bandari

Mkat
Labda wewe huwasikikizi vizuri..
Shivji anataka serikali iendeshe Bandari...
Pengo kauliza kwanini hatuwezi endesha wenyewe Bandari...
Tibaijuka kasema Dubai ni mpinzani wetu wa blah blah gani sijui..
Mwambukusi kasema Bandari ni mpaka hatuwezi wapa wawekezaji mpaka....the list goes on...
Sikiliza vizuri uwaelewe...
Sio wote wanaosema vipengele virekebishwe..
Ukanda wetu wa bahari,njia zetu kuu za usafirishaji,anga letu hivi vitu vinahusikaje na biashara ya kushusha kontena?
 
Mjumbe wa kamati kuu ya CCM, Dk. Mary Chatanda amemshambulia vikali mwenyekiti wa taasisi ya Mwalimu Nyerere, mzee Joseph Butiku kwamba anajivunjia heshima na kudai amezungumza mambo ya ajabu katika kipindi cha dakika 45 na kumtuhumu kuwa sijui kahongwa kupinga mkataba wa bandari.

Pia soma

===


"Bandari haijauzwa. Mi namshangaa, kaingia mzee mmoja jana naheshima zake, sitaki kumtaja jina lakini mzee na heshima zake anajivunjia heshima. Amezungumza mambo ya ajabu kabisa kwenye kipindi cha dakika 45, nayeye sijui kahongwa, ambaye sikumtarajia"

"Nakuja njiani namsikia Dkt. Slaa anazungumza live, yule Dkt. Slaa ameona kaachwa kwenye ubalozi, alivyopewa ubalozi mbona alikuwa hasemi? "
Hao wanashangilia hapo ni watu au mazombie?? Nan anaweza kumhonga Butiku? Wanao pigia debe DP na wanaopinga, Nani Kahongwa kati ya hao?? Jibu wanaopigia debe wamehongwa. Wanaopinga ni wazalendo.
 
Kwahio kuna waliohongwa kutetea na walipewa pesa ili wasitetee ?!!!

Kama vipi kwanini tusiwapige chini hao wote wanaotoa mlungula tutangaze tender wazi za UWAZI ili tupate mtu ambaye hana makandokando
 
Mjumbe wa kamati kuu ya CCM, Dk. Mary Chatanda amemshambulia vikali mwenyekiti wa taasisi ya Mwalimu Nyerere, mzee Joseph Butiku kwamba anajivunjia heshima na kudai amezungumza mambo ya ajabu katika kipindi cha dakika 45 na kumtuhumu kuwa sijui kahongwa kupinga mkataba wa bandari.

Pia soma

===


"Bandari haijauzwa. Mi namshangaa, kaingia mzee mmoja jana naheshima zake, sitaki kumtaja jina lakini mzee na heshima zake anajivunjia heshima. Amezungumza mambo ya ajabu kabisa kwenye kipindi cha dakika 45, nayeye sijui kahongwa, ambaye sikumtarajia"

"Nakuja njiani namsikia Dkt. Slaa anazungumza live, yule Dkt. Slaa ameona kaachwa kwenye ubalozi, alivyopewa ubalozi mbona alikuwa hasemi? "
Awambie watanzania ana maana gani na neno " ajabu" ili tuweze kujua kinachomsumbua kwa yaliyosemwa na Mh. Mzee.
 
Wewe huu ndo msimamo wako na wengine..
Lakini wapo wanaopinga kabisa uwekezaji..
Katika viongozi na wasomi waliozungumza kuhusu hili suala ni nani anapinga kabisa uwekezaji? Hata Slaa anaanza kwa kusema kuwa hana tatizo na uwekezaji. Chadema kama chama cha mlengo wa kulia kitapingaje uwekezaji? Ni jitihada tu za kukwepa kujibu hoja na kuwapaka wenzake matope.

Amandla...
 
Komredi Butiku alikuwa wapi kuhoji tenda ya ARAB CONTRACTORS kupewa wamisri wa bwawa la mwalimu Nyerere kipindi cha awamu ya 5?!!!
Kama hakuiona? Kama haikuwa na matatizo? Na ilikuwa lazima aihoji? Na Kama hakuioji ndiyo na hii ya DPW asihoji?
 
Mjumbe wa kamati kuu ya CCM, Dk. Mary Chatanda amemshambulia vikali mwenyekiti wa taasisi ya Mwalimu Nyerere, mzee Joseph Butiku kwamba anajivunjia heshima na kudai amezungumza mambo ya ajabu katika kipindi cha dakika 45 na kumtuhumu kuwa sijui kahongwa kupinga mkataba wa bandari.

Pia soma


===


"Bandari haijauzwa. Mi namshangaa, kaingia mzee mmoja jana naheshima zake, sitaki kumtaja jina lakini mzee na heshima zake anajivunjia heshima. Amezungumza mambo ya ajabu kabisa kwenye kipindi cha dakika 45, nayeye sijui kahongwa, ambaye sikumtarajia"

"Nakuja njiani namsikia Dkt. Slaa anazungumza live, yule Dkt. Slaa ameona kaachwa kwenye ubalozi, alivyopewa ubalozi mbona alikuwa hasemi? "
 
Mjumbe wa kamati kuu ya CCM, Dk. Mary Chatanda amemshambulia vikali mwenyekiti wa taasisi ya Mwalimu Nyerere, mzee Joseph Butiku kwamba anajivunjia heshima na kudai amezungumza mambo ya ajabu katika kipindi cha dakika 45 na kumtuhumu kuwa sijui kahongwa kupinga mkataba wa bandari.

Pia soma


===


"Bandari haijauzwa. Mi namshangaa, kaingia mzee mmoja jana naheshima zake, sitaki kumtaja jina lakini mzee na heshima zake anajivunjia heshima. Amezungumza mambo ya ajabu kabisa kwenye kipindi cha dakika 45, nayeye sijui kahongwa, ambaye sikumtarajia"

"Nakuja njiani namsikia Dkt. Slaa anazungumza live, yule Dkt. Slaa ameona kaachwa kwenye ubalozi, alivyopewa ubalozi mbona alikuwa hasemi? "

Mtu haweki facts halafu anakuja na empty allegation anata wananchi waamini empty words seriously?
 
Mjumbe wa kamati kuu ya CCM, Dk. Mary Chatanda amemshambulia vikali mwenyekiti wa taasisi ya Mwalimu Nyerere, mzee Joseph Butiku kwamba anajivunjia heshima na kudai amezungumza mambo ya ajabu katika kipindi cha dakika 45 na kumtuhumu kuwa sijui kahongwa kupinga mkataba wa bandari.

Pia soma


===


"Bandari haijauzwa. Mi namshangaa, kaingia mzee mmoja jana naheshima zake, sitaki kumtaja jina lakini mzee na heshima zake anajivunjia heshima. Amezungumza mambo ya ajabu kabisa kwenye kipindi cha dakika 45, nayeye sijui kahongwa, ambaye sikumtarajia"

"Nakuja njiani namsikia Dkt. Slaa anazungumza live, yule Dkt. Slaa ameona kaachwa kwenye ubalozi, alivyopewa ubalozi mbona alikuwa hasemi? "
 

Attachments

  • 75F470C7-6534-488E-A13F-AF68216A9810.jpeg
    75F470C7-6534-488E-A13F-AF68216A9810.jpeg
    70.4 KB · Views: 1
  • AD154F0E-504D-4388-9F36-BF7410177E3A.jpeg
    AD154F0E-504D-4388-9F36-BF7410177E3A.jpeg
    72.1 KB · Views: 1
  • F9889F52-6C9A-4B5C-96DD-70009447935F.jpeg
    F9889F52-6C9A-4B5C-96DD-70009447935F.jpeg
    115.5 KB · Views: 2
  • 90774D27-C93F-4721-B93A-C8B5C8347D23.jpeg
    90774D27-C93F-4721-B93A-C8B5C8347D23.jpeg
    9.9 KB · Views: 1
  • 09D5D8F7-700F-45FD-8BC8-66441B477432.jpeg
    09D5D8F7-700F-45FD-8BC8-66441B477432.jpeg
    33.9 KB · Views: 2
  • 09E8FF1F-89F8-4CFE-BF5B-F0D0D368F748.jpeg
    09E8FF1F-89F8-4CFE-BF5B-F0D0D368F748.jpeg
    62 KB · Views: 1
  • 66325FA9-FB34-4DAA-BAA3-CCF189F089C2.jpeg
    66325FA9-FB34-4DAA-BAA3-CCF189F089C2.jpeg
    57.3 KB · Views: 1
  • 034070F3-BDAF-4643-A166-25261F4244D2.jpeg
    034070F3-BDAF-4643-A166-25261F4244D2.jpeg
    57 KB · Views: 1
  • 754FBC79-464C-4F58-9BDE-D8AEF7EB118D.jpeg
    754FBC79-464C-4F58-9BDE-D8AEF7EB118D.jpeg
    62 KB · Views: 1
  • CD37959F-F215-44EB-BE8A-A5138DDAEA78.jpeg
    CD37959F-F215-44EB-BE8A-A5138DDAEA78.jpeg
    55.5 KB · Views: 1
  • 5BFF9FCB-46A0-4AF8-AFB8-C730AAA861AF.jpeg
    5BFF9FCB-46A0-4AF8-AFB8-C730AAA861AF.jpeg
    71.8 KB · Views: 1
  • 6C46819C-C5D9-4725-81A8-03C88924B1E7.jpeg
    6C46819C-C5D9-4725-81A8-03C88924B1E7.jpeg
    58.4 KB · Views: 1
  • DAC168AB-045B-4FAB-82CA-32E9AFE5E238.jpeg
    DAC168AB-045B-4FAB-82CA-32E9AFE5E238.jpeg
    115.9 KB · Views: 1
  • 2EF2C6BD-F6B4-4814-815D-9916CA299A2C.jpeg
    2EF2C6BD-F6B4-4814-815D-9916CA299A2C.jpeg
    23.3 KB · Views: 2
  • 9D73B8DE-26AF-493C-8566-97ACA387A373.jpeg
    9D73B8DE-26AF-493C-8566-97ACA387A373.jpeg
    50.6 KB · Views: 1
  • IMG_0804.MP4
    5.4 MB
  • 502C7363-B899-4CC5-9C95-F2DC32A741B7.jpeg
    502C7363-B899-4CC5-9C95-F2DC32A741B7.jpeg
    51.3 KB · Views: 2
  • 92963720-8739-4A21-A2C0-99ABB13E7E7B.jpeg
    92963720-8739-4A21-A2C0-99ABB13E7E7B.jpeg
    140.9 KB · Views: 1
  • 966AC832-2B82-4B24-AF4C-8ACA9E03CFD7.jpeg
    966AC832-2B82-4B24-AF4C-8ACA9E03CFD7.jpeg
    79.5 KB · Views: 1
  • 9549242D-A5EA-4EE4-9016-7EB8A815AA82.jpeg
    9549242D-A5EA-4EE4-9016-7EB8A815AA82.jpeg
    32 KB · Views: 1
  • 1E90F915-4E9F-4751-B5F0-08D7B68BB37E.jpeg
    1E90F915-4E9F-4751-B5F0-08D7B68BB37E.jpeg
    55.3 KB · Views: 1
  • F700B4AE-6D20-4313-918C-C6BA0A42E04E.jpeg
    F700B4AE-6D20-4313-918C-C6BA0A42E04E.jpeg
    131.1 KB · Views: 2
  • 93BA4846-57FC-4AEC-929E-82BDC3062D43.jpeg
    93BA4846-57FC-4AEC-929E-82BDC3062D43.jpeg
    150.5 KB · Views: 1
  • 000DEFC8-027F-490B-AA6D-FB41940E13EF.jpeg
    000DEFC8-027F-490B-AA6D-FB41940E13EF.jpeg
    75.7 KB · Views: 1
  • E5E7EB21-03AC-4A9C-8AE9-C6287C3B6CC5.jpeg
    E5E7EB21-03AC-4A9C-8AE9-C6287C3B6CC5.jpeg
    55.1 KB · Views: 1
Huu mkataba umefanya hadi wazee wenye heshima kama Butiku wanakejeliwa hadharani, kweli rushwa hupofusha akili.
 
mkataba umeshapita mtaendelea kubwabwaja tu humu na ninyi ni wachache sana, kilichbaki ni kazi kuendelea
Cha msingi likiabuka la kuibuka I've kufahamika wazi mbeleni aliyesababisha hilo nani

Ndio.maana tunaewekana sawa kuwa mbeleni kukitokea la kutokea wahusika wajielewe kuanzia sasa hivi na wajijue ni akina nani ili mbeleni kukitokea shida tuwanyooshee vidole wazi kabisa tukiwataja kwa majina kuwa wewe na wewe ndio mlihusika bila haya kuingiza nchi kwenye shida kwa mkataba mbovu mlioridhia iwe bungeni au serikalini au yeyote



³
 
Mjumbe wa kamati kuu ya CCM, Dk. Mary Chatanda amemshambulia vikali mwenyekiti wa taasisi ya Mwalimu Nyerere, mzee Joseph Butiku kwamba anajivunjia heshima na kudai amezungumza mambo ya ajabu katika kipindi cha dakika 45 na kumtuhumu kuwa sijui kahongwa kupinga mkataba wa bandari.

Pia soma


===


"Bandari haijauzwa. Mi namshangaa, kaingia mzee mmoja jana naheshima zake, sitaki kumtaja jina lakini mzee na heshima zake anajivunjia heshima. Amezungumza mambo ya ajabu kabisa kwenye kipindi cha dakika 45, nayeye sijui kahongwa, ambaye sikumtarajia"

"Nakuja njiani namsikia Dkt. Slaa anazungumza live, yule Dkt. Slaa ameona kaachwa kwenye ubalozi, alivyopewa ubalozi mbona alikuwa hasemi? "
Mary Chatanda Soma mkataba ukiuelewa uzungumze na Watanganyika .

Huelewiki unasema nini????

Unatumia uwezo mdogo wa uelewa wa hilo kundi kuwaeleza habari za mzee? Waeleze kuhusu huo mkataba.
 
Hivyo vipengele vinavyopigiwa kelele si wavirekebishe

Ova
 
Nyie mnataka watanzania wa aina gani kwenye masuala ya taifa lao?

1. Ambao; mkileta jambo lolote wasihoji.
2. Ambao; wakiona mwizi wabaki kuangalia tu.
3. Ambao; wakati wa uchaguzi waje wachague kivuli kwenye ballot [emoji2792].
4. Ambao; umeshika jiwe na unapiga kelele ukisema huu mkate nimpe nani mwenye njaa.

Jibu tujue; 1,2,3 au 4.
Mnataka watanzania wa aina gani yaani, wasihoji lolote?
Wakuburuzwa tu

Ukiwawekea singeli bongo fleva simba yanga udaku kwishney

Ova
 
Mikoa ifuatayo imekataa vipengele vilivyopo kwenye mkataba wa DP World na kupelekea kumkataa Saa100 na kundi lake.
1. Dar
2. Mbeya
3. Arusha
4. Kilimanjaro
5. Manyara
6. Mwanza
7. Geita
8. Kagera
9. Mara
10. Shinyanga
11. Katavi
12. Simiyu
13. Kigoma
14. Pwani
15. Mtwara
16. Tanga
17. Dodoma
Mikoa iliyobaki itamchagua Saa100 2025 kuwa Rais wao
 
Sidhani kama anajua alichokuwa anaongea!
Kama amefikia kuona Butiku amehongwa basi ni jambo la hatari sana.
Kwa ufupi chatanda hana adabu hata kdg na ameonyesha utovu mkubwa sana wa nidhamu mbele ya mtu anaeheshimika sana.
Anatakiwa atambue kuwa yeye ni sehemu ya matatizo yanayosababishwa na chama chake dhidi ya wananchi wa TZ
 
Back
Top Bottom