Mary Chatanda amtuhumu Mzee Joseph Butiku kuwa amehongwa kupinga mkataba wa Bandari

Mary Chatanda amtuhumu Mzee Joseph Butiku kuwa amehongwa kupinga mkataba wa Bandari

We maria wewe, unataka laana - wakati hawa wazee wanapigania uhuru wa nchi yetu toka kwa mwingeleza na TAA then TANU yao wewe ulikuwa unanyonya.
Wazee hawa ni lazima waheshimiwe, DP World ni mkataba wa kihuni.
 
Unamdogosha komredi Mary Chatanda?!!!

CCM ni imani....kwani komredi Butiku ni muumini pekee wa imani nzito ya CCM kutushinda wote tuliopikwa humo ?!!![emoji15][emoji1787][emoji1787]

Hivi shule tunakwenda kusomea uliberali wa kusuka nywele watoto wa kiume?!![emoji1787]
Mary Chatanda ni pure STANDARD SEVEN LEAVER, anajua kusoma na kuandika tu. Sina uhakika kama anajua kuhesabu. Hawa standard seven wanacho jua kwenye siasa ni kubebwa ndio maana anajua kwa kusema hivi mkubwa ataendelea kumbeba.
KATIBA MPYA iweke wazi ni marufuku standard seven kugombea ubunge wala udiwani.
 
Sijui kuna shida gani

Hakuna mtanzania anayepinga hao DP World kuja kuwekeza bandarini .Tunahitaji wawekezaji akiwemo.DP World watanzania tunachopinga ni vipengele vibovu vilivyoko kwenye huo mkataba
.Kwa hili hata mpige yowe vipi akina Chatanda wapiga debe tupu nk hamtotoi kwenye hiyo hoja

Wapiga debe tupu muelewe hilo

Watetezi wa huo mkataba waelewe hilo
Hivyo vipengele kila kukicha vinatolewa ufafanuzi tena na wanasheria wabobezi. Hao wazee ni sehemu ya njama mbaya ya kukwamisha biashara nzima kwa kigezo cha fikra zao za kizalendo.

Mkataba umefafanuliwa tena kwa kirefu katika vituo vya runinga, kwenye makongomano tena kwa kina lakini nguvu iliyo nyuma ya wanaopinga uwekezaji wakiwemo wazee wastaafu ndio inayoshangaza na kuacha watu midomo wazi.

Hapo TPA kuna wapigaji wanaotajirika kwa aina mbovu ya uendeshaji ni sawa na pale uwanja wa Taifa siku za mechi badala ya kufungua milango saa nne asubuhi ili watu waingie kwa kujinafasi wao wanafungua saa nane mchana ili patokee na purukushani na waingiaji wapate sababu ya kutoa rushwa!, matokeo yake akafa shabiki mechi ya fainali ya Yanga vs USM Algiers.

Usitegemee watu waliozoea kupata pesa nyingi za bure bure wakaunga mkono uwekezaji wa DPW wanajua ndio mwisho wa ushenzi wao pale bandarini.
 
UTANZANIA ni kuhoji....

Nani ameushika "ulimi" wako USIHOJI?
Wewe ni mwenye nchi una haki ya kuhoji.
Nasi pia ni wenye nchi tuna haki ya kujibu MASWALI.....
Kwa nini unafuata mkumbo kwa kuwalaumu wazee, je wao hawana haki kuongea wala kuhoji?.
 
Labda wewe huwasikikizi vizuri..
Shivji anataka serikali iendeshe Bandari...
Pengo kauliza kwanini hatuwezi endesha wenyewe Bandari...
Tibaijuka kasema Dubai ni mpinzani wetu wa blah blah gani sijui..
Mwambukusi kasema Bandari ni mpaka hatuwezi wapa wawekezaji mpaka....the list goes on...
Sikiliza vizuri uwaelewe...
Sio wote wanaosema vipengele virekebishwe..
Kwa hiyo wewe unasema Watanzania hatuwezi kuendesha bandari, hatuna uwezo wa kujifunza na kama ni hivyo je utawala wa nchi tunauweza? Kwa nini tuanze na bandari?
 
Mjumbe wa kamati kuu ya CCM, Dk. Mary Chatanda amemshambulia vikali mwenyekiti wa taasisi ya Mwalimu Nyerere, mzee Joseph Butiku kwamba anajivunjia heshima na kudai amezungumza mambo ya ajabu katika kipindi cha dakika 45 na kumtuhumu kuwa sijui kahongwa kupinga mkataba wa bandari.

Pia soma

===


"Bandari haijauzwa. Mi namshangaa, kaingia mzee mmoja jana naheshima zake, sitaki kumtaja jina lakini mzee na heshima zake anajivunjia heshima. Amezungumza mambo ya ajabu kabisa kwenye kipindi cha dakika 45, nayeye sijui kahongwa, ambaye sikumtarajia"

"Nakuja njiani namsikia Dkt. Slaa anazungumza live, yule Dkt. Slaa ameona kaachwa kwenye ubalozi, alivyopewa ubalozi mbona alikuwa hasemi? "
Chatanda atakuwa ana shida ya afya ya akili si bure
 
Yaani hii suala la kuhongwa ndio linaonyesha mkataba unachembechembe za rushwa 😂😂😂....

Ina maana kuna umate mate upo chini au juu ya mkataba hasa kwanwalioangusha wino😂😂😂.

Yaan hili suala kila anayelijibu kwa haraka haraka anatoa viashiria vya ushahidi wa mbeleni huko😂😂😂😂😂😂
 
Naona aibu kuwa CCM na watu wapuuzi kama hawa kina Mary Chatanda!
Hivi Joseph Butiku utalinganisha na Hawa vikaragosi!
Jina tu " Chatanda", Hawa vyeo wamepata kwa kugaragazwa vitandani tu!
 
Mjumbe wa kamati kuu ya CCM, Dk. Mary Chatanda amemshambulia vikali mwenyekiti wa taasisi ya Mwalimu Nyerere, mzee Joseph Butiku kwamba anajivunjia heshima na kudai amezungumza mambo ya ajabu katika kipindi cha dakika 45 na kumtuhumu kuwa sijui kahongwa kupinga mkataba wa bandari.

Pia soma


===


"Bandari haijauzwa. Mi namshangaa, kaingia mzee mmoja jana naheshima zake, sitaki kumtaja jina lakini mzee na heshima zake anajivunjia heshima. Amezungumza mambo ya ajabu kabisa kwenye kipindi cha dakika 45, nayeye sijui kahongwa, ambaye sikumtarajia"

"Nakuja njiani namsikia Dkt. Slaa anazungumza live, yule Dkt. Slaa ameona kaachwa kwenye ubalozi, alivyopewa ubalozi mbona alikuwa hasemi? "
JamiiForums-768625576.jpg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
HHa
Kila mtu anastahili heshima ya KUTAMBULIWA na kuthaminiwa utu wake....

Kwa hili la bandari ,komredi Butiku hayuko sahihi....anaendeshwa sana na HISIA kuliko UHALISIA.....

Miongoni mwa sifa za "think tanks" ni kurejea UHALISIA katika kuyalinda maslahi mapana ya nchi....

Dunia imebadilika...

#MamaAnaupigaMwingi[emoji120
Butiku hayuko sahihi kwenye kitu gani?!
Wewe ndo unaongea kwa hisia bila facts!
Butiku kaongea kwamba Wananchi wana hofu na hawakushirikishwa! Sasa wewe unasema nini?
 
Mjumbe wa kamati kuu ya CCM, Dk. Mary Chatanda amemshambulia vikali mwenyekiti wa taasisi ya Mwalimu Nyerere, mzee Joseph Butiku kwamba anajivunjia heshima na kudai amezungumza mambo ya ajabu katika kipindi cha dakika 45 na kumtuhumu kuwa sijui kahongwa kupinga mkataba wa bandari.

Pia soma

===


"Bandari haijauzwa. Mi namshangaa, kaingia mzee mmoja jana naheshima zake, sitaki kumtaja jina lakini mzee na heshima zake anajivunjia heshima. Amezungumza mambo ya ajabu kabisa kwenye kipindi cha dakika 45, nayeye sijui kahongwa, ambaye sikumtarajia"

"Nakuja njiani namsikia Dkt. Slaa anazungumza live, yule Dkt. Slaa ameona kaachwa kwenye ubalozi, alivyopewa ubalozi mbona alikuwa hasemi? "

Sisi na Samia.
 
Mjumbe wa kamati kuu ya CCM, Dk. Mary Chatanda amemshambulia vikali mwenyekiti wa taasisi ya Mwalimu Nyerere, mzee Joseph Butiku kwamba anajivunjia heshima na kudai amezungumza mambo ya ajabu katika kipindi cha dakika 45 na kumtuhumu kuwa sijui kahongwa kupinga mkataba wa bandari.

Pia soma

===


"Bandari haijauzwa. Mi namshangaa, kaingia mzee mmoja jana naheshima zake, sitaki kumtaja jina lakini mzee na heshima zake anajivunjia heshima. Amezungumza mambo ya ajabu kabisa kwenye kipindi cha dakika 45, nayeye sijui kahongwa, ambaye sikumtarajia"

"Nakuja njiani namsikia Dkt. Slaa anazungumza live, yule Dkt. Slaa ameona kaachwa kwenye ubalozi, alivyopewa ubalozi mbona alikuwa hasemi? "
Midomo ya hawa CCM imegeuka mabomba yanayomwaga majitaka yaliyovutwa kwenye vyoo vilivyojaa.

Ingewafaa waelekee baharini kumwaga huo uchafu kuliko kutumwagia sisi waajiri wao.
 
Wewe Kingereza unakijulia wapi wewe mzee wa mochwari. Wewe tungoje tufe uje kutung'oa viungo ukauzie wachawi wenzio.

Mkataba wa nchi ipi na ipi?
Mkafungulie hayo mabomba ya majitaka baharini. Mnachafua mazingira ya binadamu na mnasambaza harufu mbaya.
 
Mjumbe wa kamati kuu ya CCM, Dk. Mary Chatanda amemshambulia vikali mwenyekiti wa taasisi ya Mwalimu Nyerere, mzee Joseph Butiku kwamba anajivunjia heshima na kudai amezungumza mambo ya ajabu katika kipindi cha dakika 45 na kumtuhumu kuwa sijui kahongwa kupinga mkataba wa bandari.

Pia soma

===


"Bandari haijauzwa. Mi namshangaa, kaingia mzee mmoja jana naheshima zake, sitaki kumtaja jina lakini mzee na heshima zake anajivunjia heshima. Amezungumza mambo ya ajabu kabisa kwenye kipindi cha dakika 45, nayeye sijui kahongwa, ambaye sikumtarajia"

"Nakuja njiani namsikia Dkt. Slaa anazungumza live, yule Dkt. Slaa ameona kaachwa kwenye ubalozi, alivyopewa ubalozi mbona alikuwa hasemi? "
Matumbo, ufanya watu wakose adabu Kwa wazee wetu,vitu vingine ni matumbo tu ,we ulitegemea kitenge amfundishe Sheria prof shivji si maajabu ya njaa
 
Back
Top Bottom