Masahihisho: Kinachosherehekewa ni Uhuru wa Tanganyika siyo Tanzania Bara. Hatutavumilia upotoshaji

Masahihisho: Kinachosherehekewa ni Uhuru wa Tanganyika siyo Tanzania Bara. Hatutavumilia upotoshaji

We bwege ni zuzu km huyo Mtikila
Uliwahi kuona hii ?

DSC_2469.jpg
3
 
Hili jambo la ukombozi wa Tanganyika lilifika bungeni KABLA ya harakati za Mtikila.

Si sahihi kusema Watanzania hawakumuelewa Mtikila ilhali wananchi walishalipeleka mpaka bungeni kupitia kina Generali ulimwengu.

HAIL TANGANYIKA
DOWN WITH TANZANIA
Duh!

JF ni kiboko yake hasa!
Sasa angalia aliyoibua mkuu ''Taso' hapa, ambayo ni kweli tupu!

Hiyo kampeni ya G...(5)? kinara wake bungeni alikuwa ni Njeru Kasaka.

Ahsante sana kwa kumbukumbu hii mkuu.

Ninachoweza kusema hapa katika kujitetea kwa hayo uliyonijibu. Bado nasisitiza kwamba matumaini ya TANZANIA, kama nchi moja yalikkuwa bado ni makubwa sana. Hakuna aliyetegemea kwamba Zanzibar watakuja kugeuka na kulitumia Tanzania kama mtaji kwao kama ilivyo sasa.
Sasa muungano umekuwa ni maudhi, kwa sababu kundi lililokuwa linatafuta kuuvunja muungano huo huko visiwani, ndio sasa wanaoshikilia usukani wa nchi. Kwa hiyo huwasikii tena wakiimba zile nyimbo zao mashuhuri za...."Kero za Muungano" walizokuwa kila kukicha zinazuka mpya.
Sasa hivi hakuna "Kero" tena, kwa sababu ndio wanufaika wa muungano.
 
Baada kuzaliwa Tanzania Wajanja ndio wakaja na dhana ya Tanzania Bara na Tanzania visiwani. Cha ajabu bila unafiki visiwani wao wakasema nchi yao ni zanzibar kikatiba, na jins tanzania visiwani likawa mfu. Hata huko ccm sijawasikia tena kutumia huo utambulisho. Hivyo Zanzibar imekubalika.
Tanganyika hata mkisema imekufa swali Zanzibar imeungana na nani? Kuna wilaya ya Tanganyika, kuna Tanganyika law society na medical council na kubwa zaidi Kuna watanganyika wa kutosha wanaotaka utambulisho huo mioyoni mwao.
Mi nadhani ni zaidi ya "utambulisho".
 
Sherehe ya kuzaliwa ni ile siku mtoto amezaliwa, hivyo siku ya uhuru wa Tanganyika ni ile siku ya kupata uhuru.

Tanganyika ilidumu toka Desemba 9, 1961-April 26, 1964, takriban miaka miwili na miezi 4, na kugeuka Tanzania, hivyo maadhimisho yote ya uhuru toka hiyo 1964 ni maadhimisho ya uhuru wa Tanzania na sio Tanganyika. Uhuru ni wa Tanganyika na maadhimisho ni ya kumbukumbu ya uhuru wa Tanganyika, ila yanaadhimishwa na Tanzania, hivyo it's Tanzanian national day!.
P
Unajikanganya, iliyopata Uhuru 9/12/1961 ni Tanganyika na haikugeuka kuwa Tanzania ila iliungana na Zanzibar kuunda Tanzania.

Hiyo Tanzania isingekuwepo bila Tanganyika na Zanzibar kuungana, Ila Zanzibar tunaiona, je Tanganyika ipo wapi ?
 
Unajikanganya, iliyopata Uhuru 9/12/1961 ni Tanganyika na haikugeuka kuwa Tanzania ila iliungana na Zanzibar kuunda Tanzania.

Hiyo Tanzania isingekuwepo bila Tanganyika na Zanzibar kuungana, Ila Zanzibar tunaiona, je Tanganyika ipo wapi ?
Wee kijana unabishana na kichwa cha Ilboru na UDSM ya akina Kabudi na Kitila Mkumbo ?
 
Unajikanganya, iliyopata Uhuru 9/12/1961 ni Tanganyika na haikugeuka kuwa Tanzania ila iliungana na Zanzibar kuunda Tanzania.

Hiyo Tanzania isingekuwepo bila Tanganyika na Zanzibar kuungana, Ila Zanzibar tunaiona, je Tanganyika ipo wapi ?
Naomba nikusamehe sio kosa lako!, elimu ya muungano haikutolewa baada ya muungano!. Sii wengi wanaojua kuwa baada ya muungano, taifa jipya liliitwa Jamhuri ya Muungano wa Tanganyika and Zanzibar!, hivyo majina yote mawili, yalikuwepo na ndilo jina lililosajiliwa UN kutangaza muungano!.
- Je, Wajua Kuwa Tanzania Hatuna Mkataba wa Muungano?. Kilichopo ni Makubaliano Tuu ya Muungano? na Swali: Hivi Muungano Tanzania Upo Kweli?! au ni Dhana Tuu?!. (Ufuatiliaji Muungano Sehemu ya I) na Je, wajua kuwa kuna uwezekano Tanzania sio nchi halali Kisheria (De Jure) Bali ni De Factor?!

Jina la Tanganyika likaja kufutwa rasmi na kupitishwa jina jipya la Tanzania, hivyo Tanganyika ikafa rasmi na kugeuka Tanzania Bara, na Zanzibar ikageuka Tanzania Visiwani, ila jina la Zanzibar likawa maintained kwenye Zanzibar autonomous.

Hivyo Tanganyika is long dead, haipo kilichopo ni Tanzania!. Ukiisha badili jina, unatumia jina jipya, Tanganyika national day sasa ni Tanzania national day!.
Hata wewe Proved, kama ni demu, maiden name yako ni Binti Proved, ukiolewa na Pasco, na kubadili jina kuwa Mrs Pasco, jina la Binti Prover linakufa unakuwa Mrs. Pasco!. Siku ukisherekea Birthday yako, anayesherehea Birthday ni Mrs. Pasco na sio binti Proved, japo alipozaliwa alikuwa binti Proved!.
P
 
Ilitakiwa mumsapoti sana hayati Mchungaji Mtikila anapopambania upatikanaji wa Tanganyika. Badala yake mkampora UKAWA na kabla ya hapo mlimfukuza uanachama mwaka 1997 alipogombea ubunge Ludewa/Makete.

Alipokua anasema saa ya ukombozi ni sasa, mnasema tulishakombolewa zamani. Alikuwa anapambania uwepo wa Tanganyika kwa faida ya watanganyika na sio kwa faida yake au ya chama. Hakua muumini wa vyama vya siasa.

Majuto ni mjukuu.

Wala hakuwa serious. Hakujulikana yupo upande gani.
 
Haja hii nimeiendeshea darasa humu, Darsa: Maadhimisho ya Leo, ni ya Uhuru wa Tanzania, yaani, Tanzania National Day, ila Kumbukumbu Ndio ya Uhuru wa Tanganyika!
Kwa vile hakuna tena Tanganyika, is dead and buried long ago, kilichopo sasa ni Tanzania, then maadhimisho ni uhuru wa Tanzania ila kumbukumbu ndio ya uhuru wa Tanganyika.
Kuna vitu viwili, maadhimisho na kumbukumbu!.
P

Wewe nawe unazeeka vibaya. Inakuwaje na uhuru wa Tanzania wakati Tanzania ni jina la Muungano?. Tanzania ni jina la Muungano kati ya Tanganyika na Zanzibar. Sasa iweje tena ushrekee uhuru wa kitu ambacho hakikuwepo?
 
View attachment 2837716

Hii ni kwa sababu Mwl Nyerere na viongozi wa TANU walikuwa Watanganyika na waliikomboa Tanganyika na wala si nchi nyingine yoyote ile.

Watanganyika hampaswi kuvumilia uongo wowote ule hata kama anayeuongea ni kiongozi mzito, kataeni hadharani ili mheshimike.

View attachment 2837078
Wanajipotosha wenyewe labda wavichome VITABU VYOTE
Hakuna NCHI ILIYOPATA UHURU MIAKA 62 INAYOITWA TANZANIA BARA BALI NI TANGANYIKA

Sent from my SM-A145R using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom