King Kong III
JF-Expert Member
- Oct 15, 2010
- 56,205
- 79,515
Utakuwa kama Loveness Tarimo 😀 😀Napenda sana kujifunza ndondi za kulipwa
Yaani ni kitu nina passion nacho
Ila ndo umri ushaenda
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Utakuwa kama Loveness Tarimo 😀 😀Napenda sana kujifunza ndondi za kulipwa
Yaani ni kitu nina passion nacho
Ila ndo umri ushaenda
Ana Mungu sana aisee akit9aa hospital akatambikeJuliani ana Mungu au ni nguvu za Giza na mazindiko? 😅😅
Kuna mambo yanasikitisha sana tulipofikia, hii aibu sanaTaasisi ya Ulinzi wa Taarifa Binafsi iko wapi?? Askari anaskika akisema kabisaa hiii siiachi yaani Video ya ngono na hakuishia hapo akairusha mtandaoni. Aibu sana kwa jeshi letu. Aibu sana hii.
asee wanafikirisha sana mwisho wasiku unajiongeza tuu apa kuna kituUmeiweka very philosophical
Respect kwako
Kabisa, mahakamani unakuwa na utetezi mzuri tu, self defenceHuyo jamaa nae dhaifu sana,sijui sababu ya pombe,mimi nadhani ningemuua yeye na bastola yake
Tuliwaambia yule mwamba mtamkumbuka. Sasa mmeanza kulia lia. Bado mapema sana. Pia si unaona yule afande ameepa kesi ya ubakajiAisee,zama za unanijua Mimi ni nani?zimerudi kwa Kasi.
Na hiyo night club mtu anaingia vipi na chuma
Nikipata uthibitisho wa kutosha kuwa huyo sijui Derrick ni Usalama wa Taifa 100% naweza nami GENTAMYCINE kama Raia Tukuka wa Afrika Mashariki na Kati naweza kutoa Maoni yangu. Tatizo la Tanzania Siku hizi hata tu Mwendawazimu akiwa na Bastola Feki Kiunoni haraka sana ataitwa ni Usalama wa Taifa.Anayedaiwa kuwa Afisa Usalama (TISS) afanya vurugu, amjeruhi mwananchi.
Tukio la kutisha lilitokea jana usiku (26.10.2024) katika klabu maarufu inayojulikana kama 1245 Lounge, Bar and Restaurant iliyopo Masaki, ambapo Afisa Usalama wa Taifa anayefahamika kwa jina la Derick Junior Lima mwenye namba za simu 0738133331 alianzisha fujo na kujaribu kumpiga risasi Julian Bujulu baada ya kutokea sintofahamu kati ya Derick na Julian iliyosababishwa na Derick kujaribu kulazimisha kuondoka na mwanamke aliekuwa ameenda kustarehe katika Club hiyo akiambatana na Julian. Taarifa zinaeleza zaidi kwamba Derick ni mtu mwenye mke na watoto na kwamba mwanamke anayehusishwa na ugomvi huo ni Dada yake Julian ambapo walikuwa wametoka pamoja kwenda kwenye starehe.
Kwa mujibu wa mashuhuda, ghasia zilianza baada ya Derick kutaka kuondoka na mwanamke huyo kwa nguvu bila kujali yupo na kina nani, jambo lililopelekea Kaka mtu kuingilia kati akizuia Dada yake kuondoka na Derick. Mzozo huo ulipopamba moto, Derick alitoa bastola akiwa na lengo la kumpiga risasi Julian lakini kwa bahati nzuri, bastola ya Derick iligoma kutoa risasi. Baada ya kushindwa kupiga risasi, kwa hasira Derick aliamua kumpiga Julian kichwani kwa kutumia kitako cha bunduki hiyo na kumsababishia majeraha makubwa.
Kamera za CCTV katika klabu hiyo zimenasa tukio zima jinsi Derick alivyotenda na kusababisha majeruhi makubwa kichwani yaliyopelekea kuwahishwa hospitali na baadae kuhamishiwa Hospitali ya Muhimbili ambapo amelazwa kwa matibabu zaidi.
Mpaka wakati huu, Derick Lima anashikiliwa na Polisi katika kituo cha Oysterbay huku uchunguzi ukiendelea. Kuna wasiwasi mkubwa kwamba haki haitatendeka kutokana na uhusiano wake wa karibu na wakubwa. Mpaka sasa kuna baadhi ya “Matajiri” wa mjini ambao wamekuwa wakimtumia Derick katika kukwepa kodi na kutekeleza mambo yao haramu wamekuwa wanaendelea na jitihada kuhakikisha anatoka mikononi mwa polisi bila kuwa na kesi.
Polisi wamechukua mashine za CCTV katika Club hiyo na katika kuhakikisha mmiliki wa Club hiyo anaminywa na asitoe ushirikiano, wameachia makusudi video inayomuonyesha mmiliki huyo akifanya mapenzi na mmoja wa aliekuwa mfanyakazi wake katika moja ya ofisi za Club hiyo.
View attachment 3136877
View attachment 3136878
Anajua .Hivi rais Samia atakuwa anajua haya, kwamba anakumbatia vibaka, wahalifu?!!!
Njoo tupigane sasaMbombo ngafu, ila vijana wa Dar laini sana, yaani huyo jamaa unampiga kumbo la horse power milioni Mia, mnaenda chini wote, halafu yanayofuata ni balaa tupu.
Ila huyo msaidizi wa rais mimi huwa namuangalia halafu simuamini
Sasa hivi ni usalama wa serikali sio Taifa tenaNchi Ina mambo ya ajabu, usalama? Ushamba tupu, vitoto havina maadili mnaviingiza kwenye Taasisi nyeti, vitoto havijui hata malengo ya taasisi
When a fool misbehave the associate will sufferHiyo clip ya pili huyo manager hakukumbuka kama kuna camera? ni mzembe, hapo namuhurumia tu huyo Dada Mfanyakazi sasa masikini ya Mungu anaanikwa kwenye ugomvi usiomuhusu.
Sasa hapo kwenye tiles mawe wangetoa wapi?Tatizo ni Wanaume wa Dar kupambana anh kazi kushinda Saluni kufanya Scrub tu,kuna yule Mwenyekiti wa CCM Mkoa wa Mwanza alikuwa mbabe akawatolea Wananchi Bastola,walimponda na matofali akafa palepale
Wanadai ndo mmiliki wa hilo eneo..🤣🤣🤣🤣 Fanyeni mazoezi
Btw ni nani huyu?
Mbona hata sisi tunaokaa majichunvi huwa tunasusiwa. Au ww unakaa parokiani nini!!Duuuh hiyo clip ya pili mnene ,kasusiwa kambale .Hela hizi.
Inasikitisha sanaAisee,zama za unanijua Mimi ni nani?zimerudi kwa Kasi.
Na hiyo night club mtu anaingia vipi na chuma