Bush Dokta
JF-Expert Member
- Apr 11, 2023
- 24,831
- 45,154
No alipiga Kiki Puani.....dogo mwenyewe anaonekana alikuwa Soba.Huyu dogo kala shaba.. hizo damu sio za kipigo chepesi hivyo cha kitako cha pistol...
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
No alipiga Kiki Puani.....dogo mwenyewe anaonekana alikuwa Soba.Huyu dogo kala shaba.. hizo damu sio za kipigo chepesi hivyo cha kitako cha pistol...
Hasemi lolote zaidi ya kukataa hata malaika ashushe utamgomea kuwa yule sio mimi.Atawaambia nini watoto wake, mke wake, wakwe zake na ndugu zake?
Kama siku zako hazijafika hata kama hizo risasi zingetoka bado ange survive kama Sativa aliyepigwa risasi ya kichogoni na kutokea kwenye taya ya mbele! Maisha anagawa Mungu siku zote!!Juliani ana Mungu au ni nguvu za Giza na mazindiko? [emoji28][emoji28]
HakikaKama siku zako hazijafika hata kama hizo risasi zingetoka bado ange survive kama Sativa aliyepigwa risasi ya kichogoni na kutokea kwenye taya ya mbele! Maisha anagawa Mungu siku zote!!
Wanasema Derick ana black belt kutoka Okinawa.Kaka kwa aina ya ngumi ninazozijua Mimi hasa nilizopitia mpaka kupata medali kadhaa ,Derick asingetumia hata dakika moja baada ya kunigusa kichwani Kama alivyomgusa Julian .
Yaani ningepiga mpaka bastola angesahau Kama iko kiunoni .
Sema ndiyo vile tena old is Gold Sasa nguvu hizo Sina Tena nimekuwa mnyonge Sana kuona huyu bwana Julian anapigwa Kama mtoto mbaya zaidi mbele ya dada yake
On Point...Huyo boss ofisini mbona kama Hana nguvu za kiume?
Sioni alichofanya humo hata kunisismua mie🙄🤣
Hapo si huyo dada angeshika hiko kiti ama hiyo meza ye akampelekea moto
Wanahangaika tu
Ni fukara tu. Kwani masaki ndio nini..ni uchafu tu. Watu wenye pesa akina lugumi wanaenda vvvip lounges za huko dubai ama qatar ama santorini ugiriki, huko masaki ni mafukara tu na ndio hao kitu kidogo tu jinga linatoa bastola..[emoji706]Fukara analewa Pombe Masakaki?
Haki ni za binadamu, sio za walio sober tu hata walevi nao ni watu.kwanza kabisa,kwa faida ya wadau ifahamike wazi kwamba BINAFSI sihusiki na maswala ya umbwa na wala nyumbu. Hilo ni muhimu zaid.
Lakini pili,
masuala ya ulevi na mafumanizi ya walevi ni muhimu yakasuluhishwa baada ya hang over kwisha japo kila moja atakua amesahau kilichotokea kwasababu ya ulevi wake.
Hata hivyo mayowe ya haki za binadamu yanatokea wapi tena kwenye ugomvi wa walevi gentleman 🤣
kwamba mahakama ya haki za binadamu ICC waje kwaajili ya uchunguzi na kuingilia kati ugomvi wa walevi kwamba moja wao kadhulumiwa haki zake, right?🤣
Hio mitahani ya kidunia tuAtawaambia nini watoto wake, mke wake, wakwe zake na ndugu zake?
Black belt ya huko Okinawa ,haiwezi kulingana na black belt ya mtaa wa keko Kaka Tena chini ya mwalimu tukuka komando Matumula ,aisee naweza kuuwa sema Sasa utu uzima nimetulia na ulanzi ushalegeza maguvu yangu ila ingekuwa miaka hiyo angeombwa pambano ili nimuoneshe nguvu ya elimu ya mtaa hasa kwenye ngumiWanasema Derick ana black belt kutoka Okinawa.
Unaelewa maana ya soba kweli?😆 Dogo yuko gauge sio sober!No alipiga Kiki Puani.....dogo mwenyewe anaonekana alikuwa Soba.
Na hii disorientation vipi?Angalia vizuri, kilichomtoa damu ni kupigwa na bastola.
Hakuna chochote alichofanya kinachoonyesha ana black beltWanasema Derick ana black belt kutoka Okinawa.
Kabisa hicho kiwanja usalama ni mdogo ,inakuwaje waruhusu walevi waingie na mabomba(vyuma)(Mikwaju)(mguu wa kuku)?Wote hapo wamelewa, wanywa pombe tunajielewa; kinachoonekana hicho kiwanja hakina walinzi wakutosha ambao kazi yao ni kuangalia usalama wa wanywa pombe wote.
Kwa ujumla hicho kiwanja si salama, kama mtu anapigwa pale na wao hakuna ata mlinzi au ata baunsa mmoja kwenda kusuluhisha, kuna tatizo.
Kutokana na pombe, wote wako kwenye tatizo la magonjwa ya akili; kinachotakiwa kufanyika ni mtuhumiwa kulipa fidia na fedheha alizomfanyia muhusika.
Kumiliki silaa ni kitu cha kawaida, ila kutembea na silaa eneo la starehe pia ni tatizo; kwa kawaida huwa kuna kukaguliwa na kifaa maalumu uingiapo eneo la namna hilo, vinginevyo labda iwe ni club ndogo; lakini mmiliki alitakiwa kuweka huo mfumo.
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 Ungempiga kipigo cha Keko magulumbasi! Angetapika uji aliokunywa kwa mkewe au sio.Black belt ya huko Okinawa ,haiwezi kulingana na black belt ya mtaa wa keko Kaka Tena chini ya mwalimu tukuka komando Matumula ,aisee naweza kuuwa sema Sasa utu uzima nimetulia na ulanzi ushalegeza maguvu yangu ila ingekuwa miaka hiyo angeombwa pambano ili nimuoneshe nguvu ya elimu ya mtaa hasa kwenye ngumi