Abdul Said Naumanga
JF-Expert Member
- Jan 28, 2024
- 673
- 1,318
Kibatala aitaka hii case kwa hudi na uvumba.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hii kauli ya kusema Tanzania ni nchi ya amani ndio inatulemeza tunajisahau sana.Mimi ni mtumishi lakini siku moja nilikuwa na kiu na samaki na juice nikaingia Bar/Club kula na kunywa cha ajabu pale kuna metal detector na unakaguliwa hakuna kuingia na pistol wala kisu na ni kijijinj maana matukio kama hayo yamewahi kutokea.
Sasa dar salamu watu wanajiishia kama somalia.
Afisa anatakiwa ajue ngumi, bastola hadi huyo mpinzani awe agressive atishie uhai wake au wa jirani yake. Afisa ameniangusha sana. I 😆😆
Wanawake wawili wamepigani mmoja ana bastola hakuna mwanaume anapigwa kiboya hivyo nina wasiwasi na hawa viumbe.Sema nini vijana wenzangu self defense muhimu sana Derick kashika silaha kizembe mno.
Julian angekua na teknique Derick wangemsafirisha kuzika kwao au angeumizwa vibaya na Julian.
Hii kesi imenyooka kabisa ni ya kupata hela, kudai tu fidia hadi akili imkae sawaKibatala aitaka hii case kwa hudi na uvumba.
View attachment 3137076
Na hotuba zao za 4R na matukio kama haya.Hii kauli ya kusema Tanzania ni nchi ya amani ndio inatulemeza tunajisahau sana.
Sipigwi na mwanamke mrembo raia wa TRA napigana na wanaume wenzagu.Huo ubavu huna keyboard warrior
Unaweza kumvimbia Mtu mwenye Bastola ambaye ameshajizatiti kuachia risasi?Wanawake wawili wamepigani mmoja ana bastola hakuna mwanaume anapigwa kiboya hivyo nina wasiwasi na yawa viumbe.
Eeh hata jiwe hukurusha ukakimbia masikini...Ukiwa Club jiheshimu sana hasa dada zetu, haiwezekani huyo Derrick kuvamia meza ya kina Julian na kumtaka dada yake aondoke naye akapige hapana, kuna mambo yalifanyika background - yawezekana kasonda misosi na vinywaji vya ma laki afu kuondoka kwenda kukalia hataki- kaka mtu na yeye anaibuka kumsaidia dadake asiende wakati kashiba hela za wenyewe.
Sitetei huu ujinga ila dada zetu nao ndiyo vyanzo vya haya matukio.
Miaka ya nyuma kipindi ujana ndo upo moto niiishaenda ckub X nikiwa peke yang, kufika ndani pic ikanielewa - mwanaume nikaanza kumwaga misosi na vinywaji mziki na makiss kwa saana. Baada ya muda wakaja vijana wawili mbele ya yule demu wakaniambia wananipa dk 5 tu niwe nimepotea ndani ya ukumbi. Demu alipojaribu kunifuata exit door alipigwa kibao kitakatifu akaanguka chini - sikugeuka nyuma nikatokomea.
Usintishe kwa distance gani pale ishindwe kukwapuliwa.Nyamaza kabisaaaa.Unaweza kumvimbia Mtu mwenye Bastola ambaye ameshajizatiti kuachia risasi?
Hata wewe utakuwa ni Mbumbumbu usiye na akili.
Hata makomando wakikamatwa na maadui zao siraha zimeshaisha unanyosha mikono juu ili angalau uokoe uhai kwanza mengine baadae.
Alichofanya bro ndio kinafanywa na mashujaa wote duniani. Uhai kwanza
Ni mafukara tu..ukiona unalewa pombe jua bado una ufukara na club zenyewe za kimaskin tu watu wanaenda kutambishiana bastola[emoji706]Wabongo nyie sijui mkoje. Husu stokeholm, mtu unatoka zako kazini unarudi straight nyumbani. Ikitokea unaenda kulewa clubs na bar zote kuna metal detectors hauingii na silaha yoyote na pia kuna security ya hali ya juu sana wale security guards tu ukiwaona unaogopa. Starehe yangu weekend ni kutembea usiku na mbwa wangu, narudi kulala.
Acheni starehe za kulewa mapombe watu wazima over 30 years bado mnaenda club. Shame on you to the moon and back.
Tena Madada wa O'bay wanavyojiona wajanja na connection za system huwambii kitu.Sitetei huu ujinga ila dada zetu nao ndiyo vyanzo vya haya matukio.
Ilikuwa pisi kweli au sex worker?😅😅Miaka ya nyuma kipindi ujana ndo upo moto niiishaenda ckub X nikiwa peke yang, kufika ndani pic ikanielewa - mwanaume nikaanza kumwaga misosi na vinywaji mziki na makiss kwa saana
HahahaBaada ya muda wakaja vijana wawili mbele ya yule demu wakaniambia wananipa dk 5 tu niwe nimepotea ndani ya ukumbi. Demu alipojaribu kunifuata exit door alipigwa kibao kitakatifu akaanguka chini - sikugeuka nyuma nikatokomea
Kwa Tz hakuna kesi hapo. Julian yeye ashukuru Mungu apone aendelee na maisha yake tu.Eeehhh hatari sana hiii, hii case kubwa sana sana..!!!!
Nasikia yuko karibu na Mwandishi wa Speech za 4RWaarabu wa Pemba wajuwana kwa vilemba.
Mitano tenaSasa mitano Tena nimeelewa maana yake