Bush Dokta
JF-Expert Member
- Apr 11, 2023
- 24,831
- 45,154
HahahaWeee! Wajeda hawa hawa waliomgegedà mtungo kale katoto cha elfuu 2000?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
HahahaWeee! Wajeda hawa hawa waliomgegedà mtungo kale katoto cha elfuu 2000?
Nashangaa japo sijasikia walichokuwa wanaongea. Ni MTU wa usalama kweli wakati anaonekana hawezi ku-handle mazingira ya stress ndogo kiasi hiki?Serious kabisa jamaa alitaka kumfumua ubongo hapo hapo mbele za watu kwa sababu ndogo kiasi hiki?
Aibu sana.Ni mafukara tu..ukiona unalewa pombe jua bado una ufukara na club zenyewe za kimaskin tu watu wanaenda kutambishiana bastola[emoji706]
Kabisa aisee, akipona ahamie hata Makete ndani ndani huko asibishane, sometimes ni bora kukaa kimya uendelee na maisha yako, na amuombe sana Mungu Wake chuma haikuwa na risasi, aombe sana aiseeKwa Tz hakuna kesi hapo. Julian yeye ashukuru Mungu apone aendelee na maisha yake tu.
Tena akipona aende hata nje maana utekaji uko hatarini juu yake.
Nimeshangaa sana how he is easily provoked kiasi hiki.Nashangaa japo sijasikia walichokuwa wanaongea. Ni MTU wa usalama kweli wakati anaonekana hawezi ku-handle mazingira ya stress ndogo kiasi hiki?
Fukara analewa Pombe Masakaki?Ni mafukara tu..ukiona unalewa pombe jua bado una ufukara na club zenyewe za kimaskin tu watu wanaenda kutambishiana bastola[emoji706]
Juliani ana Mungu au ni nguvu za Giza na mazindiko? 😅😅Kabisa aisee, akipona ahamie hata Makete ndani ndani huko asibishane, sometimes ni bora kukaa kimya uendelee na maisha yako, na amuombe sana Mungu Wake chuma haikuwa na risasi, aombe sana aisee
Show ilibidi iishe hapo alipomuinamisha..😂 Mi sijasema! Kwani inatakiwa kuwaje?
Tatizo nini?Nasikia yuko karibu na Mwandishi wa Speech za 4R
Namsapoti sana kibatala ..Kibatala aitaka hii case kwa hudi na uvumba.
View attachment 3137076
Hahahaaa upele umemkuta mkunaji. Mi naitaka kesi ya bosi na kuvujishiwa video yake. Mwenye namba ya bosi ani contact.Kibatala aitaka hii case kwa hudi na uvumba.
View attachment 3137076
Hakuna tatizo MhTatizo nini?
Wameishia kuzurura tu ofsini nzima......Mapenzi ga movie haya😅😅Show ilibidi iishe hapo alipomuinamisha..
Huko kutangatanga kama anataka taga yai ni udhaifu..
Huyu dogo kala shaba.. hizo damu sio za kipigo chepesi hivyo cha kitako cha pistol...Kibatala aitaka hii case kwa hudi na uvumba.
View attachment 3137076
Sidhani hadi aliamua kukimbia aliona mbovu tu..Ilikuwa pisi kweli au sex worker?😅😅
Kulimaliza hili kunatakiwa busara itumike, waombane msamaha na kulipana fidia; kisheria hao wote kwa kuwa wamekunywa pombe na wapo mazingira ya pombe, watatambulika walikuwa na magonjwa ya akili.Hapo ni nje, chini kwenye ngazi lazima ingechukua dadika kadhaa walinzi kufika.
Kikawaida 12 ni kiwanja cha amani, ajabu huyu Derrick guy alipotokea na fujo zake (ushamba)
Ila jamaa kakubali kupigwa kizembe hivyo au alikuwa amelewa?Jamaa sijui alitema shit gani mpaka ashushiwe kipondo nusu achapwe shaba.
Ni kesi kubwa kwa kajamba nani, ila kama yupo karibu na wenye vyeo na anafanya kazi zao vyema basi hamna kesi hapo kibongobongo