TIMING
JF-Expert Member
- Apr 12, 2008
- 28,186
- 15,549
Umeiweka very philosophicalKuna muda unajiuliza mbona tajiri anakuwa kama chawa kumbe analinda dhambi zake
Respect kwako
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Umeiweka very philosophicalKuna muda unajiuliza mbona tajiri anakuwa kama chawa kumbe analinda dhambi zake
🤣🤣🤣🤣 Fanyeni mazoeziOn Point...
Hakuna mtu humo..
Ni mwendo wa kumbadilishia mapigo ,napiga namalizia kabisa kwenda kumtibu mwenyewe baracks🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 Ungempiga kipigo cha Keko magulumbasi! Angetapika uji aliokunywa kwa mkewe au sio.
Nafkiri ile kutoa bastola ndio imewatisha watu wakashindwa hata kusogea. Hiko chuma kinatisha kiskie tu kwa tu ila usiombe ukakishuhudia.Hii ndiyo Tanzania, ambayo CCM inaitaka. Kuteka, kuua, kutesa, na wenye cheo kuishi juu ya Sheria.
Kibaya zaidi majitu yapo hapo yanashuhudia kabsa ndugu yao anapigwa kiasi hicho.
Aisee... Inasikitisha saana.
Hahahahah kwa hio clip mtu mwenye blackbelt angekuwa mbali sana na bunduki🤣 wala hata tusingejua anayo.Wanasema Derick ana black belt kutoka Okinawa.
🤣Hahahahah na hio ndio blackbelt ya kutokea "Kekoshima"Ni mwendo wa kumbadilishia mapigo ,napiga namalizia kabisa kwenda kumtibu mwenyewe baracks
sasa hapo nani ndie atetewe kwasababu ya ulevi wao?Haki ni za binadamu, sio za walio sober tu hata walevi nao ni watu.
Huyo jamaa nae dhaifu sana,sijui sababu ya pombe,mimi nadhani ningemuua yeye na bastola yakeMbombo ngafu, ila vijana wa Dar laini sana, yaani huyo jamaa unampiga kumbo la horse power milioni Mia, mnaenda chini wote, halafu yanayofuata ni balaa tupu.
Ila huyo msaidizi wa rais mimi huwa namuangalia halafu simuamini
Napenda sana kujifunza ndondi za kulipwaBlack belt ya huko Okinawa ,haiwezi kulingana na black belt ya mtaa wa keko Kaka Tena chini ya mwalimu tukuka komando Matumula ,aisee naweza kuuwa sema Sasa utu uzima nimetulia na ulanzi ushalegeza maguvu yangu ila ingekuwa miaka hiyo angeombwa pambano ili nimuoneshe nguvu ya elimu ya mtaa hasa kwenye ngumi
Hiyo statement Iko very common usa na hakuna usultaniUkimsikia mtu anaema "hamnijui kuwa mimi ni nani" ujue hakuna utawala bora kwa sababu katiba iliyopo ni ya kisultani sio ya wananchi.Lazima mtu mdogo au mkubwa aogope mamlaka iliyopo bila shuruti.Lakini kwa katiba hii haiwezekani
Ushaambiwa ni "Mtoto wa mama kizimkazi na hapa ipo" ,TRA alishatoka.Sipigwi na mwanamke mrembo raia wa TRA napigana na wanaume wenzagu.
Lawama zinaweza kwenda kwa mmiliki na ikapelekea kufungiwa biashara, kama busara haitatumika katika kulimaliza hili.Kabisa hicho kiwanja usalama ni mdogo ,inakuwaje waruhusu walevi waingie na mabomba(vyuma)(Mikwaju)(mguu wa kuku)?
Huyo Derick kakutana na mrembo😆 kanuni yangu huwa siruhusu kunywa mpaka nipoteze balance au utambuzi.sasa hapo nani ndie atetewe kwasababu ya ulevi wao?
jamaa kapigwa kelepu, akajidai kurusha ngumi ikakwepwa, akapigwa mtama ambao hatakuja kusahau maishani mwake, jamaa mpaka kashindwa hata kuamka, naona alishiba pombe vizuri sana 🤣
Ilionekana tangu mwanzo kwamba pombe zimeshamfanya yake maana hata miguu tu hakuweza kuisogeza tangu alipokua amesimama na glass ya pombe mkononi.
kwani nyinyi watetezi wa haki za binadamu mnalizungimziaje hili la walevi kupigana hadharani?ICC wamearifiwa kuhusu hilo?🐒
Hapana umri si kikwazo dada ,jifunze uwe mkakamavu hata wanawake wenzio wakileta umbeya unawatembezea kichapo tuNapenda sana kujifunza ndondi za kulipwa
Yaani ni kitu nina passion nacho
Ila ndo umri ushaenda
Njoo nikufunze si unaona meneja hapo anamfundisha huyo dada ngumi.Napenda sana kujifunza ndondi za kulipwa
Yaani ni kitu nina passion nacho
Ila ndo umri ushaenda
Kama mtu mnyonge hauna konekshen na ikulu sjui, hauna bastola, dawa ni kuroga tu mamaeh, huyo unamfungia safari, chukua jina lake tu, waganga wa uhakika 30 mamaeh, waganga wale wa kutoa roho wale, tuone kama atatoboa hata mwezi tu mamaeh. .wiki tu mtu anaanza kuvimba tumbo, kidonda kikubwa kinachooza kwenye ulimi, anajinyea na kujikojoleaRogeni mbwa na mwenye mbwa.
Ungese haukubaliki kwa namna yeyote.
Nimetupia tu lugha za mitaani hazina maana halisia.Unaelewa maana ya soba kweli?😆 Dogo yuko gauge sio sober!