DOKEZO Masaki: Anayedaiwa kuwa Afisa Usalama (TISS) afanya vurugu, amjeruhi mwananchi

DOKEZO Masaki: Anayedaiwa kuwa Afisa Usalama (TISS) afanya vurugu, amjeruhi mwananchi

Hili ni dokezo maalum toka kwa mwananchi mtumiaji wa JF mwenye nia ya kuusaidia umma kuwa na taarifa 'maalum'
Wote hapo wamelewa, wanywa pombe tunajielewa; kinachoonekana hicho kiwanja hakina walinzi wakutosha ambao kazi yao ni kuangalia usalama wa wanywa pombe wote.

Kwa ujumla hicho kiwanja si salama, kama mtu anapigwa pale na wao hakuna ata mlinzi au ata baunsa mmoja kwenda kusuluhisha, kuna tatizo.

Kutokana na pombe, wote wako kwenye tatizo la magonjwa ya akili; kinachotakiwa kufanyika ni mtuhumiwa kulipa fidia na fedheha alizomfanyia muhusika.

Kumiliki silaa ni kitu cha kawaida, ila kutembea na silaa eneo la starehe pia ni tatizo; kwa kawaida huwa kuna kukaguliwa na kifaa maalumu uingiapo eneo la namna hilo, vinginevyo labda iwe ni club ndogo; lakini mmiliki alitakiwa kuweka huo mfumo.​
 
Tiss,Jwtz na polisi wengi wao washamba sana,wanajiona ni watu wa aina yake.
Uliwahi kusikia au kusoma popote afisa wa Jeshi anamtolea mtu bastola? Usifananishe Jeshi na hizo taasisi zilizojaa watumishi wasio na maadili wala nidhamu.

Tanzania watu wanaotakiwa kuogopwa ni wanajeshi maana hakuna chombo chenye nguvu zaidi ya Jeshi lakini ni kwa sababu ya nidhamu na utu walionao wanajeshi kwenye jamii ndio maana huwezi kusikia habari za hovyo kama hivyo vyombo vingine ambavyo huona sifa kufanya uharifu.
 
Uliwahi kusikia au kusoma popote afisa wa Jeshi anamtolea mtu bastola? Usifananishe Jeshi na hizo taasisi zilizojaa watumishi wasio na maadili wala nidhamu.

Tanzania watu wanaotakiwa kuogopwa ni wanajeshi maana hakuna chombo chenye nguvu zaidi ya Jeshi lakini ni kwa sababu ya nidhamu na utu walionao wanajeshi kwenye jamii ndio maana huwezi kusikia habari za hovyo kama hivyo vyombo vingine ambavyo huona sifa kufanya uharifu.
Lakini unaelewa ni katika cheo kipi mwanajeshi anaweza kuwa na silaha kwa ulinzi binafsi ? Na hapa bongo ni wangapi ?

Je zile fujo za wanajeshi kuwapiga raia uwa hauzisikii ? Sema Sasa walio wengi ni wale wenye vyeo vya nyanya ntuzu hawana silaha ila wangekuwa nazo bado wangeleta ubabe tu .
 
Halafu kuna yule mbwa Tlaatlaah anakwambia Tanzania ni miongoni mwa nchi zenye kuthamini haki za binadamu😆 pamoja na huyo dogo Julian kuvujishwa damu ila hili litapita kama msiba wa shoga tu. Hutaskia lolote na huyo afisa usalama ataendelea kudunda tu mtaani.
kwanza kabisa,kwa faida ya wadau ifahamike wazi kwamba BINAFSI sihusiki na maswala ya umbwa na wala nyumbu. Hilo ni muhimu zaid.

Lakini pili,
masuala ya ulevi na mafumanizi ya walevi ni muhimu yakasuluhishwa baada ya hang over kwisha japo kila moja atakua amesahau kilichotokea kwasababu ya ulevi wake.

Hata hivyo mayowe ya haki za binadamu yanatokea wapi tena kwenye ugomvi wa walevi gentleman 🤣

kwamba mahakama ya haki za binadamu ICC waje kwaajili ya uchunguzi na kuingilia kati ugomvi wa walevi kwamba moja wao kadhulumiwa haki zake, right?🤣
 
Mbombo ngafu, ila vijana wa Dar laini sana, yaani huyo jamaa unampiga kumbo la horse power milioni Mia, mnaenda chini wote, halafu yanayofuata ni balaa tupu.

Ila huyo msaidizi wa rais mimi huwa namuangalia halafu simuamini
Mtu Mrefu ametumia sana mtego wa wanawake wazuri kutoka nchini mwake. Ma anajua tabia za vijana wa uvccm
 
Mtu na dada yako mnaenda kulewa kwa pamoja. Waoooow Lord have mercy on this generation. Anyways
Hiyo cctv footage tunaamini polisi watatenda haki.
CCTV-camera-ya-Sirro.jpg
 
Uliwahi kusikia au kusoma popote afisa wa Jeshi anamtolea mtu bastola? Usifananishe Jeshi na hizo taasisi zilizojaa watumishi wasio na maadili wala nidhamu.

Tanzania watu wanaotakiwa kuogopwa ni wanajeshi maana hakuna chombo chenye nguvu zaidi ya Jeshi lakini ni kwa sababu ya nidhamu na utu walionao wanajeshi kwenye jamii ndio maana huwezi kusikia habari za hovyo kama hivyo vyombo vingine ambavyo huona sifa kufanya uharifu.
Police Wana nguvu sana
 
Uliwahi kusikia au kusoma popote afisa wa Jeshi anamtolea mtu bastola? Usifananishe Jeshi na hizo taasisi zilizojaa watumishi wasio na maadili wala nidhamu.

Tanzania watu wanaotakiwa kuogopwa ni wanajeshi maana hakuna chombo chenye nguvu zaidi ya Jeshi lakini ni kwa sababu ya nidhamu na utu walionao wanajeshi kwenye jamii ndio maana huwezi kusikia habari za hovyo kama hivyo vyombo vingine ambavyo huona sifa kufanya uharifu.
Hapo kwenye chombo chenye nguvu sijakuelewa vizuri.
 
Wabongo nyie sijui mkoje. Husu stokeholm, mtu unatoka zako kazini unarudi straight nyumbani. Ikitokea unaenda kulewa clubs na bar zote kuna metal detectors hauingii na silaha yoyote na pia kuna security ya hali ya juu sana wale security guards tu ukiwaona unaogopa. Starehe yangu weekend ni kutembea usiku na mbwa wangu, narudi kulala.
Acheni starehe za kulewa mapombe watu wazima over 30 years bado mnaenda club. Shame on you to the moon and back.
 
Wote hapo wamelewa, wanywa pombe tunajielewa; kinachoonekana hicho kiwanja hakina walinzi wakutosha ambao kazi yao ni kuangalia usalama wa wanywa pombe wote.
Kwa ujumla hicho kiwanja si salama, kama mtu anapigwa pale na wao hakuna ata mlinzi au ata baunsa mmoja kwenda kusuluhisha, kuna tatizo.

Kutokana na pombe, wote wako kwenye tatizo la magonjwa ya akili; kinachotakiwa kufanyika ni mtuhumiwa kulipa fidia na fedheha alizomfanyia muhusika.
Kumiliki silaa ni kitu cha kawaida, ila kutembea na silaa eneo la starehe pia ni tatizo; kwa kawaida huwa kuna kukaguliwa na kifaa maalumu uingiapo eneo la namna hilo, vinginevyo labda iwe ni club ndogo; lakini mmiliki alitakiwa kuweka huo mfumo.​
Hapo ni nje, chini kwenye ngazi lazima ingechukua dadika kadhaa walinzi kufika.

Kikawaida 12 ni kiwanja cha amani, ajabu huyu Derrick guy alipotokea na fujo zake (ushamba)
 
Polisi wamechukua mashine za CCTV katika Club hiyo na katika kuhakikisha mmiliki wa Club hiyo anaminywa na asitoe ushirikiano, wameachia makusudi video inayomuonyesha mmiliki huyo akifanya mapenzi na mmoja wa aliekuwa mfanyakazi wake katika moja ya ofisi za Club hiyo.
Damage control.....boss hakujua au alisahau office yake ina cctv?
 
Wabongo nyie sijui mkoje. Husu stokeholm, mtu unatoka zako kazini unarudi straight nyumbani. Ikitokea unaenda kulewa clubs na bar zote kuna metal detectors hauingii na silaha yoyote na pia kuna security ya hali ya juu sana wale security guards tu ukiwaona unaogopa. Starehe yangu weekend ni kutembea usiku na mbwa wangu, narudi kulala.
Acheni starehe za kulewa mapombe watu wazima over 30 years bado mnaenda club. Shame on you to the moon and back.
Mimi ni mtumishi lakini siku moja nilikuwa na kiu na samaki na juice nikaingia Bar/Club kula na kunywa cha ajabu pale kuna metal detector na unakaguliwa hakuna kuingia na pistol wala kisu na ni kijijinj maana matukio kama hayo yamewahi kutokea.
Sasa dar salamu watu wanajiishia kama somalia.

Afisa anatakiwa ajue ngumi, bastola hadi huyo mpinzani awe agressive atishie uhai wake au wa jirani yake. Afisa ameniangusha sana. I 😆😆
 
Back
Top Bottom