DOKEZO Masaki: Anayedaiwa kuwa Afisa Usalama (TISS) afanya vurugu, amjeruhi mwananchi

DOKEZO Masaki: Anayedaiwa kuwa Afisa Usalama (TISS) afanya vurugu, amjeruhi mwananchi

Hili ni dokezo maalum toka kwa mwananchi mtumiaji wa JF mwenye nia ya kuusaidia umma kuwa na taarifa 'maalum'
Ukiwa Club jiheshimu sana hasa dada zetu, haiwezekani huyo Derrick kuvamia meza ya kina Julian na kumtaka dada yake aondoke naye akapige hapana, kuna mambo yalifanyika background - yawezekana kasonda misosi na vinywaji vya ma laki afu kuondoka kwenda kukalia hataki- kaka mtu na yeye anaibuka kumsaidia dadake asiende wakati kashiba hela za wenyewe.

Sitetei huu ujinga ila dada zetu nao ndiyo vyanzo vya haya matukio.

Miaka ya nyuma kipindi ujana ndo upo moto niiishaenda ckub X nikiwa peke yang, kufika ndani pic ikanielewa - mwanaume nikaanza kumwaga misosi na vinywaji mziki na makiss kwa saana. Baada ya muda wakaja vijana wawili mbele ya yule demu wakaniambia wananipa dk 5 tu niwe nimepotea ndani ya ukumbi. Demu alipojaribu kunifuata exit door alipigwa kibao kitakatifu akaanguka chini - sikugeuka nyuma nikatokomea.
Hongera kwa busara
 
Hiyo clip ya pili huyo manager hakukumbuka kama kuna camera? ni mzembe, hapo namuhurumia tu huyo Dada Mfanyakazi sasa masikini ya Mungu anaanikwa kwenye ugomvi usiomuhusu.
Ndio raha ya kushirikiana na wachawi! Ni sawa na kuwa na bwana muuza madawa au mhalifu halafu udhani wewe au familia mnayoitengeneza itakuwa salama, ndoto.

Ulikuwa unaulizia dada amemsaidiaje kaka yake, umeona kingumi alichomrushia huyo Mr. bastola? 😀 She's so sweet nimempenda, yuko loyal sana.
 
Shati jeupe kaanza kurusha ngumi. Amemrushia ngumi shati la maua wakati wakiwa hawatazamani, shati jeupe akiwa nyuma ya shati la maua.

Akampiga ngumi ya kisogo.

Shati jeupe alipogeukiwa na shati la maua akakoki bastola. Shati la maua akarusha ngumi ya kilevi (kwakua alikua kalewa ndiyo maana hakuiona bastola au hakujali, mi nahisi hakuiona) shati jeupe easily akakwepa, akajibu kwa low kick ambayo ikampeleka jamaa chini.

Shati jeupe anakoki tena bastola. Anainyoosha kwa shati la maua, shati la maua anakinga mkono halafu anaudaka mguu (nafikiri hapa sasa ndiyo akajua jamaa katoa bastola) kisha shati la maua anaanza kutokwa damu.

Hapa najiuliza hajapigwa risasi? Mbona hayo mateke hayatoshi kukutoa damu kiasi hicho na ukawa disoriented mpaka ukalala chini kabisa. Ama tuseme mwili wako hauwezi kuchukua adhabu.

Huyu jamaa na porn yake, boss wa klabu. Anajua kua kamera zipo, kisha akaamua amle mtu humo humo?

Visa vya watu wenye hela vinafurahisha. Ila shati jeupe ndiye kaanzisha ugomvi kwa hapa, haiwezekani kusema alikua anajitetea.
Angalia vizuri, kilichomtoa damu ni kupigwa na bastola.
 
Jamani, tupate hata muda kidogo wa physical fitness, hata vingumi viwili vitatu basi...nmesikitika sana kuona mwanaume mwenzangu tena kijana akigaragara kama mtoto, jamaa huyo anayedaiwa ni usalama Yuko soft Sanaa Hana chochote zaidi ya kuringia chuma...kipindi Fulani nilishawahi kumfundisha mtu mmoja adabu eti naye ana vinasaba vya huko.

NB: Wahuni chungeni sana mienendo yenu, siku utaangukia Kwa wrong guy, choose wisely usije ukajuta.
 
Ukweli ni kwamba mwenye shati la maumaua kwa pigwa shaba. Rip in advance

Ugomvi wa kugombania mademu ni wakizamani sana.
Watu wanaopata vijisenti ukubwani Huwa Wana shida sana . Malimbukeni
 
Back
Top Bottom