DOKEZO Masaki: Anayedaiwa kuwa Afisa Usalama (TISS) afanya vurugu, amjeruhi mwananchi

DOKEZO Masaki: Anayedaiwa kuwa Afisa Usalama (TISS) afanya vurugu, amjeruhi mwananchi

Hili ni dokezo maalum toka kwa mwananchi mtumiaji wa JF mwenye nia ya kuusaidia umma kuwa na taarifa 'maalum'
Na tatizo ni pale alipotaka kutumia nguvu kwa mtu ambaye hamjui. Hilo ni tatizo kubwa, huwezi kupambana na mtu usiyefahamu strength na weakness zake, pengine angejifanya mjinga huenda hayo yaliyomtokea yasingekuwepo. Anyway pole nyingi kwake
Hakika Kaka ,lakini zaidi kwanini utake ugomvi sehemu uliyoenda kupata starehe?
Mimi nikienda hata kwenye vilabu vya ulanzi ikiwa nitaona viashiria vya ngumi kuanza uwa najipinda chapu kwa haraka niko zangu nyumbani nimetulia.
 
Na tatizo ni pale alipotaka kutumia nguvu kwa mtu ambaye hamjui. Hilo ni tatizo kubwa, huwezi kupambana na mtu usiyefahamu strength na weakness zake, pengine angejifanya mjinga huenda hayo yaliyomtokea yasingekuwepo. Anyway pole nyingi kwake
Kwaiyo Mkuu, wewe mtu akikufanyia dharau, utamuacha kwa sababu humjui?
 
Hii ndiyo Tanzania, ambayo CCM inaitaka. Kuteka, kuua, kutesa, na wenye cheo kuishi juu ya Sheria.

Kibaya zaidi majitu yapo hapo yanashuhudia kabsa ndugu yao anapigwa kiasi hicho.

Aisee... Inasikitisha saana.
Halafu kuna yule mbwa Tlaatlaah anakwambia Tanzania ni miongoni mwa nchi zenye kuthamini haki za binadamu😆 pamoja na huyo dogo Julian kuvujishwa damu ila hili litapita kama msiba wa shoga tu. Hutaskia lolote na huyo afisa usalama ataendelea kudunda tu mtaani.
 
Miaka mingi sana sikuwa najua PS wa Prezda kama ana nguvu kiasi hiki.
Kuna mambo ukiyaona/kuyasikia unajikuta unajawa na jazaba, Kuna haja ya serikali kuangalia namna na utaratibu wa raia wa kawaida kumiliki silaha!
 
Kwaiyo Mkuu, wewe mtu akikufanyia dharau, utamuacha kwa sababu humjui?
Kumuacha kunaweza kuwa na faida zaidi kuliko ku react au kujibu mashambulizi. Ukiangalia vizuri hata huyo mtu wa silaha hakutakunguliza nguvu katika hilo jambo la kumtaka huyo mwanamke.
Mwanamke alikuwa na uwezo wa kukataa yeye binafsi na bado naamini hizo fujo zisingetokea. Sema sisi kama wanaume hatupendi kuonekana wanyonge, lakini pamoja na kutotaka kuonekana wanyonge basi ni vyema sana kutanguliza busara huenda ika work out kuliko kuanzisha mapambano, sasa mapambano aliyoanzisha kaka mtu hayajasaidia na badala yake yamemletea yeye matatizo
 
Hii ndiyo Tanzania, ambayo CCM inaitaka. Kuteka, kuua, kutesa, na wenye cheo kuishi juu ya Sheria.

Kibaya zaidi majitu yapo hapo yanashuhudia kabsa ndugu yao anapigwa kiasi hicho.

Aisee... Inasikitisha saana.
Mjomba unaijua bastola au unaisikia tu. Kuna mwamba naona alitaka kuingilia hapo akaonyeshewa chuma naona akarud fasta na kuna dada hapo alikadhalika kuonyeshwa chuma tu kakimbia mwendo wa ngiri hapo.
 
Kauli ya kipumbavu sana hii

kwahiyo mtu mmoja mpuuzi akifanya madudu basi nchi nzima inakua failed state? Seriously?
Is it not one of the indicators of the failed state? If yes logically it is a failed state ukiassociate na yalomkuta Kibao na Yule mama kule kibiti! Na yanayoendelea katika elections sasa hivi! Absence of the rule of law ni signs of
 
Back
Top Bottom