DOKEZO Masaki: Anayedaiwa kuwa Afisa Usalama (TISS) afanya vurugu, amjeruhi mwananchi

Hili ni dokezo maalum toka kwa mwananchi mtumiaji wa JF mwenye nia ya kuusaidia umma kuwa na taarifa 'maalum'
Nikipata uthibitisho wa kutosha kuwa huyo sijui Derrick ni Usalama wa Taifa 100% naweza nami GENTAMYCINE kama Raia Tukuka wa Afrika Mashariki na Kati naweza kutoa Maoni yangu. Tatizo la Tanzania Siku hizi hata tu Mwendawazimu akiwa na Bastola Feki Kiunoni haraka sana ataitwa ni Usalama wa Taifa.

Ila siwezi kumahitisha Kuandika hii Post bila ya Kuuliza hili Swali hivi kama kweli Wewe unajua una Dada yako tena ni Mrembo na Watu huwa Wanaruka nae (Wanambandua) na Mpenda Starehe unaenda nae wa nini katika hizo Kumbi Kubwa za Starehe zenye Watu wenye Pesa zao zisizo na Kazi na wana Mamlaka au Network kwa Wakubwa Serikalini na tena Serikali yenyewe hii hii ya CCM iliyo ICU sasa?

Matatizo mengine huwa mnajitakia wenyewe.
 
Hivi rais Samia atakuwa anajua haya, kwamba anakumbatia vibaka, wahalifu?!!!
Anajua .

Tangu alipowakingia kifua , wauaji na watekaji kwa hotuba kali ya kuwatisha wale wanaolaani vitendo vya utekaji na uuaji.

Kifupi CCM na watu wake ni genge la wauaji .
Rejea Marehemu Ditopile alivyompiga risasi dereva wa boda boda mchana kweupe na hakuna hatua iliyochukuliwa .

Hata huyo ni wale wanaoua watu halafu Polisi wanalazimishwa kuwabeba kwa lazima na kutoa taarifa za uongo huku wakiwatisha watoa taarifa kwa kutumia sheria ya mitandao .

Mzanzibari hakwepi kabisa vitendo vyote vya uvunjifu wa Sheria vinavyofanywa na machawa wake na wahuni wanaotumia ukatili kuwatia hofu Watanganyika .
Uchaguzi anauharibu makusudi kabisa maana anajua hakuna wa kumfanya chochote yeye ni kama mungu na wetu wake ndio maisrael wa kutoa roho za wetu .

Rais hakemei vitendo vya hivyo kuanzia rushwa ufisadi ,utekaji,wizi ,huduma mbovu kwenye ofisi za umma ,uhuni kwenye uandikishwaji wa wapiga kura na kila aina ya ujinga ,yeye anawaza kushinda tu kwa hila na rushwa .
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…