DOKEZO Masaki: Anayedaiwa kuwa Afisa Usalama (TISS) afanya vurugu, amjeruhi mwananchi

Hili ni dokezo maalum toka kwa mwananchi mtumiaji wa JF mwenye nia ya kuusaidia umma kuwa na taarifa 'maalum'
Mjomba unaijua bastola au unaisikia tu. Kuna mwamba naona alitaka kuingilia hapo akaonyeshewa chuma naona akarud fasta na kuna dada hapo alikadhalika kuonyeshwa chuma tu kakimbia mwendo wa ngiri hapo.
Ile kitu ni ya kukaa nayo mbali. Ikibweka tu hutoulizwa unakula saa ngapi tutajiuliza marehemu anazikwa lini! Fa mchezo nini
 
hakuna kesi hapo huyo Derrick atatoka na ataendelea na maisha yake,nchi hii sahv ilipokuwa iko vagarant

ova


 
Mwenzako Derick yuko Osterbay Police, sema hakuna case na kashikiliwa hapo bado

 

Imekaa vibaya...hii haijatulia
 
Jamaa fala kweli yani zama hizi unagombania utelezi tena club na usikute lina familia, alafu et n TISS💩💩
 
Huyo Derick kakutana na mrembo😆 kanuni yangu huwa siruhusu kunywa mpaka nipoteze balance au utambuzi.

Kimsingi pombe huwa ina boost confidence kidogo huyo fala lazma ningempa chai pamoja na kibastola chake uchwara.
kwahiyo tuhitimishe tu kwa kusema kwamba kaka wa mrembo aliepata kipigo cha mbwa koko hakuzingatia kanuni za ulevi na alisahau kabisa kwamba unywaji pombe kupita kiasi ni hatari kwa afya ya akili na utimamu wa mwili..

Inafaa siku zingine akiwa nzwii,
ni afadhalli awe anapiga biti tu kwa kurusha mikono na kujipiga kifua kwamba wewe huwezi kuifanya kitu, huku akitokomea kwa kufokafoka na kuondoka kabisa kwenye eneo la tukio. Vinginevyo yajayo yanasikitisha zaidi 🐒
 
Maafisa wa usalama wa Taifa wa bongo wanajikuta wajaanja sana.
Siku huwa tunasema hicho kitengo kimejaa watu washamba, malimbukeni
Sasa unapoamua kufanya kitendo kama hicho na kutowa bomba mbele ya watu wanauna hiyo ni akili au matope au ndivyo wanavyofundishwa huko
Hata kama huyo dem alimlia hela baada ya kumtongoza ilikuwa hakuna haja ya kufanya hivyo mbele za watu

Ova
 
Wote hapo ni wapumbv tu
Hata huyo mtu sjui wa kitengo naye ni mpmbv
Unagombania mwanamke club

Ova
 
Mkuu kwa lugha nyingine dau lako linaanzia 5m kwenda juu vijana tujaribu kujipiga piga

Joking
 
Jamaa sidhani kama alikuwa na nia ya kumpiga chuma maana kama ingekuwa aipo ktk safe basi chuma ingechomoka, ni hakutoasafè aliikokisha tu kimbwembwe ,au pengine hakuwa anajuwa kutumia silaha
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…