DOKEZO Masaki: Anayedaiwa kuwa Afisa Usalama (TISS) afanya vurugu, amjeruhi mwananchi

Hili ni dokezo maalum toka kwa mwananchi mtumiaji wa JF mwenye nia ya kuusaidia umma kuwa na taarifa 'maalum'
Huyu Julian namjua kipindi alikuwa Msolwa ni kijana smart sana mara ya mwisho kuonana nae alikuwa anajiandaa kwenda London Kimasomo
 
Unagombanaje na mlevi bwana huyo derick tusimuone tena... Kwenye vilabu... Hata komoni asinywe hata gongo nachojua walevi na mapombe yao ingawa sinywi wanapendana sana

Kitu kingine usalama ni watu wa kawaida kama mimi na wewe tu kama. Mimi nmesomea udaktari yeye kasomea hivyo usalama

Ni kama mimi daktari nibake

Mambo mengine ni hulka binafsi na sio declaration kwamba Tiss wako hivi wote... Though i can't deny the fact that tiss have lots of problems with their workers and misconducts ni nyingi si kata mshahara tu
 
Eti wanagombania dem club
Dem akishakuwa club huyo ni biashara tu

Ova
 
Wote hapo ni wapumbv tu
Hata huyo mtu sjui wa kitengo naye ni mpmbv
Unagombania mwanamke club

Ova
Kwahiyo wote wawili,
wamekiuka miiko ya unywaji na ulevi wa kistaarabu na kupuuzia angalizo la unywaji pombe kupita kiasi ni hatari kwa afya ya akili right?🐒
 
Jamaa sijui alitema shit gani mpaka ashushiwe kipondo nusu achapwe shaba.
Ni kesi kubwa kwa kajamba nani, ila kama yupo karibu na wenye vyeo na anafanya kazi zao vyema basi hamna kesi hapo kibongobongo
TISS imejaa wehu wale wanaosema unanijua Mimi! Halafu huyo ni Malaya! Unataka mwanamke Kwa kutumia bastola! Halina aibu kabisa!
 
Nlkua nasoma hii riwaya mpaka nlipoishia hapa

Derick alitoa bastola akiwa na lengo la kumpiga risasi Julian lakini kwa bahati nzuri, bastola ya Derick iligoma kutoa risasi."

Vipi huko mbele wakuu derick atakufa au sinema limeisha
Kiliwaka, mkono kwa mkono, ngumi ngumii.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Kauli ya kipumbavu sana hii

kwahiyo mtu mmoja mpuuzi akifanya madudu basi nchi nzima inakua failed state? Seriously?
Wow wow
Umesoma sheria ya TISS iliyofanyiwa mabadiliko?

Unadhani huyo kijana wa Mafwele hajui kuwa ana mbeleko ya madon na sheria?

Ali Kibao hadi leo hakuna uchunguzi wala hatua zilizochukuliwa.

Failed State
Tunatawaliwa kigaidi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…