DOKEZO Masaki: Anayedaiwa kuwa Afisa Usalama (TISS) afanya vurugu, amjeruhi mwananchi

Hili ni dokezo maalum toka kwa mwananchi mtumiaji wa JF mwenye nia ya kuusaidia umma kuwa na taarifa 'maalum'
Hakuna haja ya kusumbua waganga wote hao mmoja tu lazima oashwe na kuzikwa.

Ukhanithi wake akafanyie kwa wangese wenzake.
 
Ile mamlaka ya maadili mtandaoni nayo itawekwa mfukoni mwa Deriki
 
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣hiko kitendo kinaweza kumponza kabisa. Bora akaushe tu.
 
Kulimaliza hili kunatakiwa busara itumike, waombane msamaha na kulipana fidia; kisheria hao wote kwa kuwa wamekunywa pombe na wapo mazingira ya pombe, watatambulika walikuwa na magonjwa ya akili.
We unajielewa h
Tukio hili linaonyesha changamoto kubwa katika usimamizi wa nidhamu, maadili, na uwajibikaji kwa watumishi wa umma, hasa wale wanaofanya kazi katika vyombo vya usalama. Kwanza, kwa mujibu wa maelezo, matumizi ya silaha na vitisho kutoka kwa mtu anayetarajiwa kulinda usalama wa raia ni kinyume na maadili ya kitaaluma na sheria.

Mifumo ya kiusalama inahitaji kuwajibika zaidi kwa matukio yanayohusisha watumishi wake, hasa pale wanapotumia mamlaka vibaya na kujihusisha katika vitendo vya vurugu au uonevu. Tukio kama hili linaweza kupunguza imani ya wananchi kwa vyombo vya usalama ikiwa hatua stahiki hazitachukuliwa. Ili kulinda imani ya umma na kuimarisha uwajibikaji, ni muhimu hatua za wazi na za haraka zichukuliwe.
 
We unaongea upuuzi gani ? , Wote ni wale wale tu washenzi , kuna visa kibao vya wanajeshi kugombea malaya bar nà kupigana na raia mitaani na kwenye kumbi za starehe ,kuna tukio la mwaka huu mwanajeshi kamchoma mtu kisu bar kisa kugombania Barmaid kwenda kufanya naye ngono ,kuna tukio la mwaka jana luteni wa jeshi aliuawa na bodaboda kwa kuchomwa kisu kisa ubabe tu wa huyo mjeda , polisi pia , hawa washenzi TIsS ndio kila siku wananyooshea watu bastola bar wakijiita usalama wa Taifa , hili tukio si mara ya kwanza , hata tangia kipindi cha magufoool walikuwa wanafanya hivi na huu ni mwendelezo ,
Kiufupi Tanzania hawa watu wa vyombo vya ulinzi na usalama wao huwa wanajiweka first class .
Upuuzi sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…