DOKEZO Masaki: Anayedaiwa kuwa Afisa Usalama (TISS) afanya vurugu, amjeruhi mwananchi

Hili ni dokezo maalum toka kwa mwananchi mtumiaji wa JF mwenye nia ya kuusaidia umma kuwa na taarifa 'maalum'
Ni mpumbavu kwakweli...
Na usikute Dada alishafanikiwa connection, na bia kala. Fala anamzuia dada.

Ameipata haki yake.

Naona hapa dada alimshika koo asiendelee kuongea. Huenda alitoa matusi makali kwa huyo mwamba.

Unamtukana mpumbavu kisa kapigwa na Usalama?. Jamaa katokea from nowhere anataka mwanamke ulitaka jamaa akubali tu. Kwanza mwanamke alikuwa hamtaki huyo shoga wa Usalama wa ya Taifa.
 
Unamtukana mpumbavu kisa kapigwa na Usalama?. Jamaa katokea from nowhere anataka mwanamke ulitaka jamaa akubali tu. Kwanza mwanamke alikuwa hamtaki huyo shoga wa Usalama wa ya Taifa.
Mkuu wote hatuna facts kamili. But polisi Muliro anasema tukio lilitokea saa kumi na mbili na nusu asubuhi. Huyo mpiga risasi sio mpuuzi tu ashuke kwenye lift kuchukua dem. Huenda dem alikula beer/ vinywaji the all night long sasa wakati wakwenda kwenye malipo yy na broda wake wakajifanya kuweka kizingiti. Lazima wale shaba tu.
 
Umekua too political…. Siwezi kujaji wanyakyusa wote because mmoja ni mshenzi au wamasai wote simply because mmoja ni muuaji

Sheria haisemi akapigane bar au atembee na binduki

The boy is just a bad apple
You are super blind.
Basi lililojaa abiria likiendeshwa na dereva wa hovyo asiyezingatia sheria za usalama barabarani, lina asilimia kubwa kupata matatizo yatokanayo na uz3mb3 huo.

Sasa jifanye wewe ndiye abiria unayesimama nankusema wreckness driving ya dereva ni tatizo lake na nyie abiria msijihusishe na uzembe wake. Endapo litapata ajali sidhani kama wahanga watakuwa ni dereva na kondakta pekee.

Tanzania failed state. Huo upuuzi wa kutetea dhambi ni code ya watu wa mfumo. Better use other approach maana hauna remorse hata kwa mhanga wa tukio, upo bize mishipa ya macho imekutoka kutetea mfumo uliohatibiwa na msifanye lolote kurekebisha
 
Wachache sana watakuelewa🙌ila point Yako ni sehem ya mafunzo ya ku retaliate pale Langley HQ za CIA
 
Malalamiko yamekuwa mengi sana.
Mkuu unakumbuka enzi za jakaya?

Unakumbuka za mkapa?

Unakumbuka za magu ilikua ni usikuma kwanza?

Naona tunarudi kulekule na no jambo baya sana

Lakini kuita a failed state siyo sawa…. Malafyale Msanii hapo juu anaitwa a failed state

The bottom line is… we don’t want to go back there and mamlaka lazima zichukue hatua kali sana na kwa haraka sana
 
Tunawapa wehu silaha jambo dogo tu anatoa silaha.Kila mtu akiamua kutumia nafasi yake vibaya tutaishije!!?Doctor naye akiamua kupiga wasiompenda sindano za malimao,itakuwaje!!?Hebu tutumie nafasi kwa umakini tuache upuuzi
 
Hajakutana na watemi,,,kinda tajiri mmoja Arusha alitoa pisto bar anamtisha jamaa,,,zikatolewa nne zikawekwa mexzani,,,,akaambiwa rudisha mfukoni au tukugawane vipande,,,,akarudisha afu akatandikwa kofi moja la kumpa wenge mpaka leo hafanyi tena huo upuuzi huo na huwa anasimulia mwenyewe na wenge alilipata hata alikopark gari hakupakumbuka kwa lile wenge
 
Hii nchi sheria ni kwa ajili yetu wanyonge tu. Sitaki comment yangu iguswe
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…