Daah Bora hata ingekua kama Mexico, nyau kama huyu unaenda kumtafutia sicario,unaletewa kichwa chake huku mwili ukiwa umetundikwa darajani na kuandikwa onyo kutumia kisuhakuna kesi hapo huyo jamaa atatoka polisi na maisha yataendelea,hii nchi sahvi imekuwa kama Mexico tu
ova
Jamaa katuangusha sana wanaume,anapigania dem kwa bastola 😄Daah Bora hata ingekua kama Mexico, nyau kama huyu unaenda kumtafutia sicario,unaletewa kichwa chake huku mwili ukiwa umetundikwa darajani na kuandikwa onyo kutumia kisu
Ni mpumbavu kwakweli...
Na usikute Dada alishafanikiwa connection, na bia kala. Fala anamzuia dada.
Ameipata haki yake.
Naona hapa dada alimshika koo asiendelee kuongea. Huenda alitoa matusi makali kwa huyo mwamba.
Wanaenda kuabishwa tenaKibatala aitaka hii case kwa hudi na uvumba.
View attachment 3137076
Ushamba huuHujapewa utamu wewe, kuna kitu hujapata mpaka ukaskia nywele zinasimama!
WAulize wanaohonga magari, nyumba na kazi, unacheza na tunda la mti wakatikati?
Mkuu wote hatuna facts kamili. But polisi Muliro anasema tukio lilitokea saa kumi na mbili na nusu asubuhi. Huyo mpiga risasi sio mpuuzi tu ashuke kwenye lift kuchukua dem. Huenda dem alikula beer/ vinywaji the all night long sasa wakati wakwenda kwenye malipo yy na broda wake wakajifanya kuweka kizingiti. Lazima wale shaba tu.Unamtukana mpumbavu kisa kapigwa na Usalama?. Jamaa katokea from nowhere anataka mwanamke ulitaka jamaa akubali tu. Kwanza mwanamke alikuwa hamtaki huyo shoga wa Usalama wa ya Taifa.
You are super blind.Umekua too political…. Siwezi kujaji wanyakyusa wote because mmoja ni mshenzi au wamasai wote simply because mmoja ni muuaji
Sheria haisemi akapigane bar au atembee na binduki
The boy is just a bad apple
KujeruhiWatu wanaotoa chuma mbele za watu namna ile huwa wanakuwa washamba,akili ndogo au limbukeni,ngoja tuone sheria itakayochukuliwa dhidi yake...
Malalamiko yamekuwa mengi sana.Umekua too political…. Siwezi kujaji wanyakyusa wote because mmoja ni mshenzi au wamasai wote simply because mmoja ni muuaji
Sheria haisemi akapigane bar au atembee na binduki
The boy is just a bad apple
Wachache sana watakuelewa🙌ila point Yako ni sehem ya mafunzo ya ku retaliate pale Langley HQ za CIAKumuacha kunaweza kuwa na faida zaidi kuliko ku react au kujibu mashambulizi. Ukiangalia vizuri hata huyo mtu wa silaha hakutakunguliza nguvu katika hilo jambo la kumtaka huyo mwanamke.
Mwanamke alikuwa na uwezo wa kukataa yeye binafsi na bado naamini hizo fujo zisingetokea. Sema sisi kama wanaume hatupendi kuonekana wanyonge, lakini pamoja na kutotaka kuonekana wanyonge basi ni vyema sana kutanguliza busara huenda ika work out kuliko kuanzisha mapambano, sasa mapambano aliyoanzisha kaka mtu hayajasaidia na badala yake yamemletea yeye matatizo
Hakuna tatizo, ila inategemea unaangalia Jambo lenyewe ukiwa upande gani,Tatizo nini?
Mkuu unakumbuka enzi za jakaya?Malalamiko yamekuwa mengi sana.
Tatizo ni kuvunja sheriaTatizo nini?
Niko mtaani tu ndugu natombanisha mijusi tu.Hata malaya wa kununua hawataki kunipa Kambale.Mbona hata sisi tunaokaa majichunvi huwa tunasusiwa. Au ww unakaa parokiani nini!!
Tumesikia upande mmoja tu, tusihukumu kwanza.Tatizo ni kuvunja sheria
Huyo kijana kakosea
Anachafua taswira ya serikali
Oh hapo sawa,maana ni hatari kuingia na chuma kwenye starehe.Kuna room juu kule pakusurender hizo vitu, Kwahiyo atakuwa wakati wa kuondoka alipewa/alienda kuchukua.
Naangalia upoande mmoja tu kwa sasa kwa sababu habari ni ya upande mmoja tu.Hakuna tatizo, ila inategemea unaangalia Jambo lenyewe ukiwa upande gani,
Hii nchi sheria ni kwa ajili yetu wanyonge tu. Sitaki comment yangu igusweAnayedaiwa kuwa Afisa Usalama (TISS) afanya vurugu, amjeruhi mwananchi.
Tukio la kutisha lilitokea jana usiku (26.10.2024) katika klabu maarufu inayojulikana kama 1245 Lounge, Bar and Restaurant iliyopo Masaki, ambapo Afisa Usalama wa Taifa anayefahamika kwa jina la Derick Junior Lima (maarufu kama Chief Abayomi) alianzisha fujo na kujaribu kumpiga risasi Julian Bujulu baada ya kutokea sintofahamu kati ya Derick na Julian iliyosababishwa na Derick kujaribu kulazimisha kuondoka na mwanamke aliekuwa ameenda kustarehe katika Club hiyo akiambatana na Julian. Taarifa zinaeleza zaidi kwamba Derick ni mtu mwenye mke na watoto na kwamba mwanamke anayehusishwa na ugomvi huo ni Dada yake Julian ambapo walikuwa wametoka pamoja kwenda kwenye starehe.
Kwa mujibu wa mashuhuda, ghasia zilianza baada ya Derick kutaka kuondoka na mwanamke huyo kwa nguvu bila kujali yupo na kina nani, jambo lililopelekea Kaka mtu kuingilia kati akizuia Dada yake kuondoka na Derick. Mzozo huo ulipopamba moto, Derick alitoa bastola akiwa na lengo la kumpiga risasi Julian lakini kwa bahati nzuri, bastola ya Derick iligoma kutoa risasi. Baada ya kushindwa kupiga risasi, kwa hasira Derick aliamua kumpiga Julian kichwani kwa kutumia kitako cha bunduki hiyo na kumsababishia majeraha makubwa.
Kamera za CCTV katika klabu hiyo zimenasa tukio zima jinsi Derick alivyotenda na kusababisha majeruhi makubwa kichwani yaliyopelekea kuwahishwa hospitali na baadae kuhamishiwa Hospitali ya Muhimbili ambapo amelazwa kwa matibabu zaidi.
Mpaka wakati huu, Derick Lima anashikiliwa na Polisi katika kituo cha Oysterbay huku uchunguzi ukiendelea. Kuna wasiwasi mkubwa kwamba haki haitatendeka kutokana na uhusiano wake wa karibu na wakubwa. Mpaka sasa kuna baadhi ya “Matajiri” wa mjini ambao wamekuwa wakimtumia Derick katika kukwepa kodi na kutekeleza mambo yao haramu wamekuwa wanaendelea na jitihada kuhakikisha anatoka mikononi mwa polisi bila kuwa na kesi.
Polisi wamechukua mashine za CCTV katika Club hiyo na katika kuhakikisha mmiliki wa Club hiyo anaminywa na asitoe ushirikiano, wameachia makusudi video inayomuonyesha mmiliki huyo akifanya mapenzi na mmoja wa aliekuwa mfanyakazi wake katika moja ya ofisi za Club hiyo.
UPDATE: Polisi wamemkamata Polisi wamtia mbaroni anayedaiwa kuwa "Afisa Usalama" aliyemjeruhi raia kwa 'kitako cha bunduki'