DOKEZO Masaki: Anayedaiwa kuwa Afisa Usalama (TISS) afanya vurugu, amjeruhi mwananchi

Hili ni dokezo maalum toka kwa mwananchi mtumiaji wa JF mwenye nia ya kuusaidia umma kuwa na taarifa 'maalum'
Ehe kisa K ya huyo dem dangaji
😄

Ova
 
Tunawapa wehu silaha jambo dogo tu anatoa silaha.Kila mtu akiamua kutumia nafasi yake vibaya tutaishije!!?Doctor naye akiamua kupiga wasiompenda sindano za malimao,itakuwaje!!?Hebu tutumie nafasi kwa umakini tuache upuuzi
Ndy jamaa yetu yule wa sinza wambura naona polisi ilibidi wamnyanganye...mpaka leo hawajamrudishia 😄
Ilikuwa kdg kaitoa visa vyenyewe vya kipumbav kabisa
Nawaqmbiaga nyie wenye silaha nendeni hata porini huko mkapige ngiri na digidigi

Ova
 
4
Nikiangalia CIA, FSB, na MOSSAD alafu nikilinganisha na hawa the so called TISS napata jibu kwanini Tanzania ni maskini.
 
Ndy jamaa yetu yule wa sinza wambura naona polisi ilibidi wamnyanganye...mpaka leo hawajamrudishia 😄
Ilikuwa kdg kaitoa visa vyenyewe vya kipumbav kabisa
Nawaqmbiaga nyie wenye silaha nendeni hata porini huko mkapige ngiri na digidigi

Ova
Kwa kweli bora hata wangeua ngiri,maana wanawehuka kwa vitu vya kijinga haswa
 
Hizo siku ndio tunazihitaji

Baada yake hatujawahi kukosa hizo drama
 
Video Iko very clear

Hujitaji kumaliza juzuu kuona uvunjifu wa sheria

usijitoe fahamu
Video ipo clear ka bisa, nimreitazama sana, nimetumiwa hata whatsapp.

Naona wanawake ,wa kichina sijui wale, na anaedai kuporwa dadake, kama ndiyo aliyepigwa, ni Mwafrika.

Na maelezo ni ya upande mmoja, tutaamini vipi huyo ni mtu wa usalama wa taifa?
 
Ni habari ngapi umewahi kukutana nazo kuhusu wanajeshi ukaona mojawapo ikimhusisha mwanajeshi akimtishia mtu silaha?
 
Kwanza kabisa kutumia silaha ni kosa

Mengine yote secondary

Kamanda wa polisi dar kaiweka vizuri sana

Saaa sijui unatetea nini?
 
Hata kama maelezo ni upande mmoja bado tukio alilofanya ni la kipuz, in short hapo wote ni wapuz
Na wako kwenye maeneo ya kipuzzz

Ova
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…