Huu mjadala umeuzidi umri, huwezi elewa mambo ya vijana. Walio kwenye umri husika wameelewa mtiririko wa tukio hata kama huyo kijana atapata nafuu ya sheria kwa sababu ya nafasi yake ama ya wazazi wakeNaangalia upoande mmpoja tu kwa sasa kwa sababu habari ni ya upande mmpja tu.
Inaweza kuwa ni movie ya kuigiza. Kwani naona wanawake wa kichina sijuwi wakorea wale?
Au ndiyo wasanii wetu mbinu walizopata Korea?
Wapuz wengi siku hizi wanamiliki silaha na kuzitumia kwenye hawajui silaha inaoneshwa ovyoovyo kama sm ya mkononiWanajeshi wengi hawamiliki silaha mzee.Kada za serikali wengi wanaomiliki silaha ni wale wenye mipunga mirefu.
A man has enough blood for one head, and he has two heads.One that is controlled by sexual desire, he has no power over himself 🤕 mbususu zina nguvu ndani yake! Tena kubwa!
Bado ni mpuz kafanya tukio la kipuz sana na Angeua jeHuu mjadala umeuzidi umri, huwezi elewa mambo ya vijana. Walio kwenye umri husika wameelewa mtiririko wa tukio hata kama huyo kijana atapata nafuu ya sheria kwa sababu ya nafasi yake ama ya wazazi wake
CrapA man has enough blood for one head, and he has two heads.
Unafikiri watu wanazaliwa wakiwa wazee?Huu mjadala umeuzidi umri, huwezi elewa mambo ya vijana. Walio kwenye umri husika wameelewa mtiririko wa tukio hata kama huyo kijana atapata nafuu ya sheria kwa sababu ya nafasi yake ama ya wazazi wake
Nchi yoyote ikiwa inaongozwa na wapumbavu dalili zake ni matukio ya kipumbavu ya watumishi wa umma kuongezekaAisee,zama za unanijua Mimi ni nani?zimerudi kwa Kasi.
Na hiyo night club mtu anaingia vipi na chuma
Hapana, hata mimi sasa hivi kuna mambo ya vijana wa 20s na 30s siyaelewi hadi wanifafanulie. wakati nilikuwa najua ujanja wote naujua, kumbe umri ni kiboko bwana, umenitupa bila kujuaUnafikiri watu wanazaliwa wakiwa wazee?
Hakuna kijana wa 20s na 30s asiyeeleweka.Hapana, hata mimi sasa hivi kuna mambo ya vijana wa 20s na 30s siyaelewi hadi wanifafanulie wakati nilikuwa najua ujanja wote naujua kumbe umri ni kiboko bwana umenitupa bila kujua
Tena baada ya kugundua bastola yake haifyatui risasi!!Unapigwaje kiboya hivyo hujitetei
📌📌Bila kujali wadhifa wake huyu ame attempt to shoot another person with a gun, haitajalisha anaitwa junior derrick mkila inavyodaiwa ni mtoto wa mstaafu naibu gavana wa benki kuu na mwajiriwa wa Mamlaka ya mapato tanzania kitengo cha customs bandarini kwenye kutoa mizigo.
haki ionekane ikitendeka pasipo kujali uwezo wake wa kifedha, kibiashara za vipodozi kariakoo au kimamlaka hii halihitaji wala kuzungushwa sana kama la afande
Wanajeshi wanapiga watu kila siku mitaani kwa ugomvi wa kugombea wanawake wabovu kwenye vilabu vya pombe za kienyeji,uliza Kigamboni huko watu wanavyopigwa ovyo wewe unasema wana nidhamu! Nidhamu gani!Uliwahi kusikia au kusoma popote afisa wa Jeshi anamtolea mtu bastola? Usifananishe Jeshi na hizo taasisi zilizojaa watumishi wasio na maadili wala nidhamu.
Tanzania watu wanaotakiwa kuogopwa ni wanajeshi maana hakuna chombo chenye nguvu zaidi ya Jeshi lakini ni kwa sababu ya nidhamu na utu walionao wanajeshi kwenye jamii ndio maana huwezi kusikia habari za hovyo kama hivyo vyombo vingine ambavyo huona sifa kufanya uharifu.
Si kweli mkuu..hao walikuwa wote ndani..jamaa akataka kumtorosha binti wakati kala vya watu..Unamtukana mpumbavu kisa kapigwa na Usalama?. Jamaa katokea from nowhere anataka mwanamke ulitaka jamaa akubali tu. Kwanza mwanamke alikuwa hamtaki huyo shoga wa Usalama wa ya Taifa.
Huyu kijana marafiki zake wakubwa ni wauza unga, ni kijana mwenye tamaa ya pesa sana. Baadhi ya mapapa waliokuwa nae karibu washafariki na wengi wao walikuwa wakiimbwa kwenye miziki ya sebeneMtoa post upo sahihi huyu jamaa na wale mapapa wana ukaribu sana ,rip magufuli