babukijana
JF-Expert Member
- Jul 21, 2009
- 14,478
- 18,341
Swala ni Kwamba katumia vibaya.Uko sahihi sana
Ameingiaje na silaha?
Si wametungiwa sheria ya kutoguswa na Bunge letu! Au umesahau kama ni kweli naye yumo kwenye kundi lindwa!?Huyo Derrick huyo. Sema alikutana na mlevi. Angejua hajui.
Eti wanasema chuma kiligoma kufyatuka.Tokea mtoto familia in silaha kibao za hunting and 2009 i owned my first Glock 19 kali sana, but huyo kijana mpuuzi hajui masharti ya kumiliki silaha, sbb hana uwezo wa kupigana ndio maana katoa silaha kitu ambacho kitamletea kesi kubwa na kufungwa, yeye angepigana ngumi wala kusingekuwa na tatizoβ¦
Sbb alitoa silaha, sasa kuna namna ya kuchukua silaha hadi hatajua imechukuliwaje, na mafunzo hayo yapo. kisha unampa adabu
Kaka GWAMAKA USWEGE Mimi mbantu mwenzio Kama jina lako sielewi nini unasema rafiki ,nitafsirie nielewe maana huyu jamaa ametuboa wengi na Mimi nimeamua kufuatilia jinsi watu wengi tulivyochukia kabisa.Back in the days of sanity, it was rare to find a member of security establishment or political class embracing this form of decrepit hooliganism and thuggery. They were disciplined and closely monitored.
I remember instances were Government Ministers who, through brazen and collosal arrogance committed adultery with peoples' wives expecting nothing would happen to them. Unfortunately when the news reached Mzee Mchonga, it was over for them.
A nation with no collective moral conviction is no different from pack of cannibalistic savages. And yes, Tanzania is a potentially failed state, you just don't realize it.
Unauliza majibu au sarcasm.? Kama unauliza majibu Ndio ni Mtumishi wa idara ya usalama wa taifa na msaidizi wa msaidizi wa number 1
UmemalizaAisee, Wahuni wanapokuwa na nguvu wanyonge wapo mashakani. Pole kwa wote mnaoonewa haya yote yanamwisho. Mie sahivi mtu akijichanganya ni radi au namroga anapasuka moyo. Hii haina ushahidi kila mtu ashinde mechi zake
Wanaelewa basi π€£π€£ hapa utashangaa lawama anabebeshwa huyo mwanamke. Hawa ujasiri wao ni hapa jeiefu tuu πππ.Huyo Derrick na yeye apigwe spoku au aminywe na plies. Wanaume mnakuwaje siku hizi. Hizi mambo za kugombania wapenzi ni za kimama sana
Wote walikuwa wamelewa chakari ndo maana.Na tatizo ni pale alipotaka kutumia nguvu kwa mtu ambaye hamjui. Hilo ni tatizo kubwa, huwezi kupambana na mtu usiyefahamu strength na weakness zake, pengine angejifanya mjinga huenda hayo yaliyomtokea yasingekuwepo. Anyway pole nyingi kwake
Mna mikwara ya kisoro jamvini. Utakuta hapo ulipo una bonge la kitambi hadi unashindwa kufunga kamba za viatu huku umekaa.Kaka kwa aina ya ngumi ninazozijua Mimi hasa nilizopitia mpaka kupata medali kadhaa ,Derick asingetumia hata dakika moja baada ya kunigusa kichwani Kama alivyomgusa Julian .
Yaani ningepiga mpaka bastola angesahau Kama iko kiunoni .
Sema ndiyo vile tena old is Gold Sasa nguvu hizo Sina Tena nimekuwa mnyonge Sana kuona huyu bwana Julian anapigwa Kama mtoto mbaya zaidi mbele ya dada yake
Hahahaa Kisura mtaalamu wa Jiu-jitsu na Muay Thai.Hey Julian mambo...πππππ
I like your new name πππππππ€©
Julian bwana, ungeanza na kumtolea matusi ya kisukuma ππππ
Ungeanza na hili, "muone kwanza, bastola kama ikungulyabashashi... halafu ungemalizia mwadela gawiza weeh mashikamashilongo π€£π€£π€£π€£π€£
Ungenrushia ngumi kama alizokuwa anakurushia kisura? ππππ
Goodnight Julian Ikungulyabashashi ππππ.
Na kwa kukuthibitishia Hilo. Jioni ya Jana Muliro amewahi TBC jioni wakati ambao anaamini kwamba watu wote wamepumzika majumbani na kutumia chombo hicho kukanusha vikali uhusika wa jamaa na vyombo vya Dola. Kazi aliyokua anafanya Muliro Jana ni kuongea na media tu kuhusu Hilo tukio.Hichi ulichosema ndio kitakachofanyikaπ yani ni lazima jamaa a get out without attempted murder case.
Ndivyo ulivyokua? Majina yenyewe kama ya kwenye movies? Unaweza kupata picha ya moral upbringing ya Hawa watoto!Julian na dadaake wamekunywa Pombe kwa hela Derick sasa Derick anataka akamzagamue dadaake.. unakataaje??
Kubali pambano nitakufuata popote ulipoMna mikwara ya kisoro jamvini. Utakuta hapo ulipo una bonge la kitambi hadi anashindwa kufunga kamba za viatu huku umekaa.
Nyau de adriz maamaee
Fikiria zaidi ya hapa na kama unahudhuria mabaa au sehemu za starehe Kuna watu wana-missuse power.Halafu hiyo club pia ijiangalie. Mtu anaingia ndani hadi na bastola bila ukaguzi? Hii imekaaje kiusalama?
Zamani kumjua mtu ni wa idara Ile ilikua ni mchakato! Sasa hivi ni pride kwa Hawa watoto wa cerelax na isikauke saana uweke na mayonise huku piano likipiga kwa mbali!pale ni club, hata hakuwa na akili kwamba nyuma yake anaweza kutokea mlevi mmoja ameshika chupa nzitonzito akamtwanga nayo kisogoni, hiyo bastola ingemsaidia nini?