TISS imejaziwa wapumbavu wasio na akiliHuu ni ugaidi TU kama wa Hamas au Hezbollah, alshabab na upumbavu wa namna hiyo! Hata kama Yuko TISS ndio awe taahira namna hiyo unagombania wanawake baa, na hata hujaja nae umemkuta TU! Kama TISS Ina wapumbavu kama Hawa ndio maana nchi inaibiwa sana hii! Badala ya kulinda rasilimali zetu analala club kufanya umalaya, kenge kabisa!
Huyo hata hakumbuki miezi michache iliopita mwanajeshi alichomwa kisu kwenye ugomvi huko Kawe? Kesi ya kubaka mande mmoja wao ni nani?Wanajeshi wanapiga watu kila siku mitaani kwa ugomvi wa kugombea wanawake wabovu kwenye vilabu vya pombe za kienyeji,uliza Kigamboni huko watu wanavyopigwa ovyo wewe unasema wana nidhamu! Nidhamu gani!
Washatoka ndani ya club.Halafu hiyo club pia ijiangalie. Mtu anaingia ndani hadi na bastola bila ukaguzi? Hii imekaaje kiusalama?
Hoja za kikazi wakati video inaonesha walianza kugombea mwanamke?Ana familia...anaweza kujenga hoja za kikazi. Ila ile kazi ina laana zake. Ina miiko yake, hata uwe nani. Ina dos and donts kibao.
Ndivyo anavyo wafundishwa empty headed wamburaTaasisi ya Ulinzi wa Taarifa Binafsi iko wapi?? Askari anaskika akisema kabisaa hiii siiachi yaani Video ya ngono na hakuishia hapo akairusha mtandaoni. Aibu sana kwa jeshi letu. Aibu sana hii.
Nchi ikiongozwa na mlevi na mzururaji, hiyo ni failed stateNchi inakoelekea ni Mungu tu wa kuinusuru. Kwa sasa ni mwenye nguvu au pesa mpishe haki au utawala wa sheria haupo tena. Mungu inusuru Nchi yetu na genge la tamaa ya madaraka na mali.
Wakati ganii?Mabadiliko ya Sheria ya Usalama wa Taifa ya 2023 kazini. Watu wa usalama wa taifa Wana Kinga ya mashtaka ya jinai!
Pascal Mayalla
Derick namjua sana. Alishawahi kumng'oa mtu meno pale Elements Club.Huyo Derrick huyo. Sema alikutana na mlevi. Angejua hajui.
Julian is a lover, not a figher. I know him. Trust me!!Pole Julian ,ukipona jifunze ngumi Kaka .
Hii ni fedheha kubwa sana kwa TISS na Jeshi la Polisi.Na kwa kukuthibitishia Hilo. Jioni ya Jana Muliro amewahi TBC jioni wakati ambao anaamini kwamba watu wote wamepumzika majumbani na kutumia chombo hicho kukanusha vikali uhusika wa jamaa na vyombo vya Dola. Kazi aliyokua anafanya Muliro Jana ni kuongea na media tu kuhusu Hilo tukio.
Jiulize na matukio mangapi yanayofnana na Hilo ambayo polisi wametumia nguvu kubwa namna hiyo kuiaminisha media kuwa watuhumiwa hawahusiki na vyombo vyao?
Kuna jambo unashindwa kujiuliza. Kwani Hawa watu wanaishi kwenye space au Dunia tofauti? Sio kwamba tunaishi nao na tunajua whereabouts zao, kazi zao na familia zao? Wana marafiki na watu wanaowafahamu ambao tunaishi nao? Inakuaje unakataa kumhudisha na kazi anayofanya kwamba ndio pamoja na nyege zitokanazo na pombe, ulimbikeni na mambo mengine Ndio driving force ya kufanya huo uhalifu? Au mesahau ya Afande kwenda kung'ang'ania demu Boardroom sinza huku akiwa amelewa na akamsindikiza kuzimu mlinzi? Imeahahulika? Au pale ilishindikana kucover up sababu ya defender na uniform ya polisi?
Hii inakua ngumu Kwa sababu ya attachment ya dogo na msaidizi wa namba Moja, Ili kulinda hadhi na heshima ya ofisi namba Moja. Utungwaji wa Sheria zinalonge kuwapemdelea watu wa aina Fulani madhara yake ni makubwa kwa jamii ya watu wengi! Dogo akidefend alikua kazini na kwamba jamaa alikua anaingilia majukumu yake na alifanya vile Ili kumpunguza kasi ya kufuatilia nani atapinga wakati Sheria imeweka wazi kwamba hawana jinai?
Fallen State
Wengi wao (i.e. Field Officers and Surveillance Officers/Agents wa Idara hiyo) huwa wanapenda Sana kushinda kwenye maeneo yenye mikusanyiko ya Watu wengi Kama hayo. Kutwa kucha huwa wanapenda kuwepo kwenye maeneo ya starehe Kama vile Clubs, Restaurants, Bars or liquor stores, vijiwe vya kahawa au vijiwe vya kuuza magazeti, kwenye maeneo jirani na Mageti au malango ya kuingia kwenye maeneo maarufu Kama vile hospitalini, hotelini, guests houses and lodges, viwanja vya mipira, kwenye mabanda ya video, n.k. Hizi ndio Ofisi zao Kuu za kufanyia kazi zao, ingawaje wapo wanapatikana kwenye maeneo mengi Kama siyo yote.Hivi unawezaje kuwa na mke na watoto ukaishia club mpaka asubuhi na ukataka kubeba mwanamke uende naye na huyo mke nyumbani anafanya nini? anajuwa mume wake yuko club? najiuliza tu inawezekana vipi una family ukatoka usiku mpaka asubuhi na mke anakusubiri tu? tushukuru sisi wenye family zetu usiku ziko family mitihani kwa kweli.
KIchwa cha habari kingekuwa : KUTOKA KULA BATA CLUB 1245 MPAKA MAISHA JERA 😀Kuna ngumi halafu kuna mguu wa kuku🤣 na bahati haukuwa na risasi ila jamaa alikuwa marehemu leo
Changamoto ya mwanaume asiyejutambua alafu akamiliki pesaHivi unawezaje kuwa na mke na watoto ukaishia club mpaka asubuhi na ukataka kubeba mwanamke uende naye na huyo mke nyumbani anafanya nini? anajuwa mume wake yuko club? najiuliza tu inawezekana vipi una family ukatoka usiku mpaka asubuhi na mke anakusubiri tu? tushukuru sisi wenye family zetu usiku ziko family mitihani kwa kweli.
Ilikuwaje?Derick namjua sana. Alishawahi kumng'oa mtu meno pale Elements Club.
Alafu ana mke na watoto ila ni kubwa jinga fulani linaloendekeza malaya
MAMBO YA MADEMUIlikuwaje?
BORA KUWA SINGLE MOTHER MYHivi mke unajiskiaje mume wako anagombania demu tena Yuko radhi hata kuua na wewe upo nyumbani