Masaki, Dar: Adam Malima atishiwa kwa Bunduki, Risasi zarindima kama Njugu

Masaki, Dar: Adam Malima atishiwa kwa Bunduki, Risasi zarindima kama Njugu

Hujui lolote katika ulinzi, ganda la risasi ni muhimu kuokotwa likitumika vibaya litaleta madhara pengine mtu kupoteza kazi.

Vyovyote. Lakini aliyekumbuka kuokota ganda si aliyefyatua. Na hata hivyo, risasi imetumika vibaya pamoja na ganda kuokotwa. What do you think?
 
Wanabodi.
Askari yule katika tukio la Adam Malima afutwe kazi kwa utovu wa nidham alioufanya, ametia dosari jeshi letu pendwa hivyo aubebe mzigo wake.
We unadhani watu wanafutwa kazi kwa maelekezo ya bavicha! Bangi za chooni hizo zinakusunbua, huoni alikuwa anajihami na ana fedha za umma.
 
Ishu ni hv, huyu ndugu malima jr alienda IOM akamuacha dereva wake kwenye gari, dereva akaegesha gari upande ambao kuna maduka na migahawa na ni upande ambao huwa hawakamati labda wakubabatishe mjinga mjinga, sasa mabwana wakubwa (Majembe) wakaja akawa anataka kukamata gari, dereva anamuuliza kitambulisho jamaa akagoma, sasa dereva akaanza kumfokea ndo wananchi wakajaa kwenye tukio, walipomuomba tena atoe kitambulisho akagoma ndo wakataka kumpiga, bahati walikuja na polisi ambao walikuwa kwenye gari, baada ya kelele polisi wakatoka kutuliza presha za wananchi. Mwenye gari (Malima) alipokuja akauliza kwa nn wanataka kukamata gari na kwa nn hawataki kutoa vitambulisho majibu hayakupatikana, Polisi wakapanda kwenye gari wakawa wanaondoka, sasa cha ajabu baanda ya mwendo waa sekunde 30 wakapaki gari pembeni wakaanza kujibizana upya ndo hapo dereva akapaniki na askari akapaniki jamaa akaamua kufyatua risasi juu watu hawakukimbia. Ikabidi Polisi wamchukue Malima Jr waende nae Kituoni.
Asante kwa ufafanuzi mkuu.
 
hivi mnapoona wamezibeba huwa mnadhani ni kwaajili ya wanyama?....safi sana askari wetu unajua matumizi sahihi ya silaha
 
Huyo Askari apelekwe Kibiti akapambane na wanaume aache ujinga...

Hawa askari ndiyo wanaotengeneza uhasama baina yao na raia.......
Kwani huyo Malima ndio nani hata asiheshimu sheria za nchi?
 
Kinachosikitisha ni kwamba RAIA WA TANZANIA sasa hivi HAWAOGOPI tena bunduki, kwa enzi za zamani hapo watu walishatoka mbio na taharuki, lakini sasa hivi wanamuangalia na kumwambia HANA MAMLAKA ya kutoa bunduki! HII INAASHIRIA NINI?
Wamejifunza kutoka kwa Harmorapa...
 
An fedha gani za umma alikuwa anajiami na nimi hapo ww?hacheni uninga huyu alistaili kufukuzwa kazi na kunyongwa kabsa
 
Wanabodi.
Askari yule katika tukio la Adam Malima afutwe kazi kwa utovu wa nidham alioufanya, ametia dosari jeshi letu pendwa hivyo aubebe mzigo wake.
Nani analipenda to be specific?
 
Askari wetu wengi wakitoka depo wanahisi wamemaliza kila kitu hasa. Wengi hasa vijana huwa hawana mudwa kufuatilia hata habari, nakumbuka nilipo kuwa nachukua shahada ya ualimu tuliambiwa mwalimu unatakiwa uendane na muda, yaani uendelee kutafuta ujuzi zaidi sio kusoma vitabu vya kiada au ziada tu. Hapa ndipo unakutana na walimu ambao kwenye habari ya jana hawajakosa, jamiiforums hawakosi, facebook,tweetter na kwingineko hapa utaona wanafunzi wanasema yule bonge la ticha hii ni kwasababu kila kona anagusia haachi kitu。 sasa kwa hawa askari wetu nahisi kuna hili tatizo. Wengi wao ni kidato cha nne ambao wanakuwa na uwezo afifu wa kukabilia na kuchanganua mambo ya kihisia kwa muda mchache na kuweza kutatua tatizo. Pili ni kwamba wengi wa askari baada ya kuingia katika ajira wanahisi wamemaliza kila kitu na jukumu lao ni kushika mtutu kwa mbwembwe kumbe si hivyo. Kwa hali hii ningependa kuona serikali yetu ianze kuchukua vijana ambao IQ zipo vizuri lkn pia ianze kuchukua vijana ambao ni wasomi na wenye uwezo wa kiubunifu katika kukaboliana na changamoto za kihisia na mapambano ya siraha. Inawezekama huyo kijana askari hata alikuwa hamfajamu Malima wa watu au ni kibuli toka kwa Bashite.
Umeongea meeengi lakini pumba, mbona IQ ya huyo mhe Malima hukuiongelea? Watu wako kazini escort, anaambiwa atoe gari anablock gari la escort, anaamriwa kuondoka anasogeza tumbo lake, warning shot inapigwa anajifanya mgambo Sugu haondoki, what if the soldiers could've loose their temple?
 
Back
Top Bottom