Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Bikira zilitoka wakati wa kukimbia mchakamchaka huko shuleInauma lakini ndoa katika hiki kizazi swala la kuchapiwa ni kawaida maana hata wanaoolewa wengi walishapoteza bikra
Kwamba mke wa Masanja kachapwa nje ya ndoaInauma lakini ndoa katika hiki kizazi swala la kuchapiwa ni kawaida maana hata wanaoolewa wengi walishapoteza bikra
Kwani umeelewa nini hapo?View attachment 2374942
Kayaandika haya
KILA KAZI INA GHARAMA YAKE!!
Acha tulipe gharama ya tulichoitiwa.
NAKUPENDA MPAKA PUMZI YANGU YA MWISHO MKE WANGU.
Hili nalo litapita🙏🏿
TUOMBEENI NASI TUNAOMBA.
MTETEZI WETU YU HAI🙏🏿
Wahuni wanakula yule mtoto.kama katibu wa kanisa la mme wake alikua akimkula kwanini wahuni wasimkule.[emoji125][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125]Aliliwa na nani kwani
Eti bhana🤣🤣🤣 Kumbe 😳🙄Wahuni wanakula yule mtoto.kama katibu wa kanisa la mme wake alikua akimkula kwanini wahuni wasimkule.[emoji125][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125]