Kennedy
JF-Expert Member
- Dec 28, 2011
- 54,894
- 64,043
Wajanja Tulijua MapemaTuombeeni, Nasi huku tunaomba.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wajanja Tulijua MapemaTuombeeni, Nasi huku tunaomba.
Subiri kidogo unaweza kutokea mwingineMsiba wa katibu uko wapi? Maziko Ni lini na wapi?
Bikira zilitoka wakati wa kukimbia mchakamchaka huko shule
Hapa kila mmoja ana maelezo yake, ni issue tu mkubaliane naoFafanua mama zilitokaje hizo bikra!
Ndy kapigwa pumbu.Kwamba mke wa Masanja kachapwa nje ya ndoa
Acha uongo🤣Bikira zilitoka wakati wa kukimbia mchakamchaka huko shule
Mambo ya wakristu waachie wakristuWakristo mna moyo sana!!
Mtume Muhammad (pbuh) anasema kuwa mwanamume asiye na wivu hatoonja hata harufu ya pepo (hatoingia peponi).
Biblia inasema kuwa moja ya kisababishi cha talaka ni pale mkeo anapozini!!
Mathayo 5:32 BH
Lakini mimi nawaambieni, anayempa mkewe talaka, isipokuwa kwa sababu ya uzinzi, anamfanya azini; na mwanamume akimwoa mwanamke aliyepewa talaka, anazini.
Hapo ili kuponya maumivu ya moyo ilitakiwa ni kutolewa talaka. Hakuna jambo linauma kama kujua kuwa unagongewa mkeo. Atajifanya kujisahaulisha hilo tukio ila hatosahau mpk anazama udongoni
Mbona kuna video imeonesha analiwa jichooSi ajabu hata [emoji872] kaliwa sana tu
Ova
[emoji23][emoji23][emoji23]Sasa kati yako wewe na masanja tumuamini nani?
Ila we Jamaa una vituko sana hadi nakufananisha na "Viatu vya samaki" naye alikuwa hivi hivi [emoji2]Wasenge Nyaji wakubwa wale [emoji23][emoji23][emoji23]
Hahaha alikuwaje mkuu 😂😂😂Ila we Jamaa una vituko sana hadi nakufananisha na "Viatu vya samaki" naye alikuwa hivi hivi [emoji2]
Wewe umeiweka kama amemsamehe. Mimi naiweka kama amegoma kuamini kama mkewe kam cheat. Yaan anaweza kua anaamini Marehemu Katibu alijiua sababu alimtaka Mke wa Boss wake akakataliwa.View attachment 2374942
Kayaandika haya
KILA KAZI INA GHARAMA YAKE!!
Acha tulipe gharama ya tulichoitiwa.
NAKUPENDA MPAKA PUMZI YANGU YA MWISHO MKE WANGU.
Hili nalo litapita🙏🏿
TUOMBEENI NASI TUNAOMBA.
MTETEZI WETU YU HAI🙏🏿