Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
AmenMchungaji Masanja nimekuelewa na Mungu wa mbinguni akutie Moyo nasi wapendwa katika Umoja wa Roho Mtakatifu na Ushirika wa Bwana wetu Yesu Kristo tunakuombea!, amen!
Johnthebaptist
Mchungaji Kaipinga biblia,Mathayo 19:9 "Lakini haikua hivyo tangu mwanzo.Basi nawaambieni,yeyote atakayemwacha mke wake isipokua kwa sababu ya uzinzi,akaoa mke mwingine,anazini"[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Sawa kabisa.
Alitakiwa atulie kidogo kabla ya kuongea...
Mpende tu hata aki naniliu umpende tu japo roho inauma penda tuuu!!........Masanja utakija penda visivyo pendeka kwa ajili ya meko!Mchungaji Masanja nimekuelewa na Mungu wa mbinguni akutie Moyo nasi wapendwa katika Umoja wa Roho Mtakatifu na Ushirika wa Bwana wetu Yesu Kristo tunakuombea!, amen!
Johnthebaptist
Inawezekana pia kamuwahisha jamaa.Masanja ni FAKE, Nabii wa Uongo,
Muda utaongea.
Katibu alikua ana real love kwa Monica,..Monica akaona huyu bwege ili kumuondoa relini apewe Mke.....akaliambia utaendelea kutafuna na huku,...alipo oa tu akabwagwa......Katibu akastuka kaingizwa cha kikeHakuna mtu anaweza akasema kwa uhakika kabisa kwamba hachapiwi...Ila kukoseana adabu ni pale unapochapiwa halafu ukajua...huyo marehemu kaacha tafrani kubwa kama alichoandika ni kweli.
😂😂😂Wanakuongezea stress tuWatanzania si watu wa kutegemea kukuliwaza.[emoji849][emoji849][emoji849]
MWAMBIE MASANJA ASOME KITABU CHA KUMBUKUMBU YA TORATI 22:22Mchungaji Masanja nimekuelewa na Mungu wa mbinguni akutie Moyo nasi wapendwa katika Umoja wa Roho Mtakatifu na Ushirika wa Bwana wetu Yesu Kristo tunakuombea!, amen!
Johnthebaptist
Kuteleza sio kuanguka, laiti na ya wanaume sisi yangewekwa hadharani ndio pasingekalika, amsamehe amejifunza wasonge mbele.Mpende tu hata aki naniliu umpende tu japo roho inauma penda tuuu!!........Masanja utakija penda visivyo pendeka kwa ajili ya meko!
Ayaaa!! kwa hiyo mkewe alinaliu kweli wajameni???Kuteleza sio kuanguka, laiti na ya wanaume sisi yangewekwa hadharani ndio pasingekalika, amsamehe amejifunza wasonge mbele.
Uzinzi hufanywa na aliye kwenye ndoa,je huyu anayo?View attachment 2375503
ila jamani uzinzi mbaya,sasa hapa bibie sijui atakuwa na maisha ya amani tena kama mwanzo!!!au ndio tusubiri baada ya miezi kadhaa kusikia bidada ajiondokea baada ya kukosa amani ya ndoa.
naunga mkono hoja.Masanja ni FAKE, Nabii wa Uongo,
Muda utaongea.
Na mkewe yule anabyopenda spotlight,sijui itakuajeSaaafiii mtumishiiiiii. MC Chilisosi mwenzio akinyolewa zako tia maaaajiiiii
Na mkewe yule anabyopenda spotlight,sijui itakuaje
Na chilisosi anavyopenda kulia jamani🤣🤣🤣
Bongo watu wanakufaga kindez sanaNimelisema hili kwenye uzi mwingine
Halafu utakuta linapita bila upelelezi bongo nyoso
Yule Mgogo MC Pili pili ndio alimt.........ombiooooeeeeaaaa. duh dunia wanja wa fujoSaaafiii mtumishiiiiii. MC Chilisosi mwenzio akinyolewa zako tia maaaajiiiii