magombe junior
JF-Expert Member
- Sep 13, 2012
- 2,018
- 1,042
tatizo sio kusamehe,tatizo nimaisha baada yakusamehe....kuipata amani ni ngum sana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Du nomaWakristo mna moyo sana!!
Mtume Muhammad (pbuh) anasema kuwa mwanamume asiye na wivu hatoonja hata harufu ya pepo (hatoingia peponi).
Biblia inasema kuwa moja ya kisababishi cha talaka ni pale mkeo anapozini!!
Mathayo 5:32 BH
Lakini mimi nawaambieni, anayempa mkewe talaka, isipokuwa kwa sababu ya uzinzi, anamfanya azini; na mwanamume akimwoa mwanamke aliyepewa talaka, anazini.
Hapo ili kuponya maumivu ya moyo ilitakiwa ni kutolewa talaka. Hakuna jambo linauma kama kujua kuwa unagongewa mkeo. Atajifanya kujisahaulisha hilo tukio ila hatosahau mpk anazama udongoni
Wewe mwenyewe umeelewa nini , niandikie pm ulivyoelewa😁😁😁😁Kwani umeelewa nini hapo?
Haina haja ya pmWewe mwenyewe umeelewa nini , niandikie pm ulivyoelewa😁😁😁😁
Ahsante Kulola Jr😇Haina haja ya pm
Jamaa anajua fika anashambuliwa kwa ajili ya alicho nacho...kuvumilia ndiko kulipa gharama ya huduma
Kama ni kweli, huyo mama hatakiwi/hana sifa za kuwa mke wa mchungaji!mchungaji au mkewe hatakiwi hata kuhusishwa tu na tuhuma zozote!though siukubali uchungaji wa huyu jamaa(usanii mwingi)View attachment 2374942
Kayaandika haya
KILA KAZI INA GHARAMA YAKE!!
Acha tulipe gharama ya tulichoitiwa.
NAKUPENDA MPAKA PUMZI YANGU YA MWISHO MKE WANGU.
Hili nalo litapita🙏🏿
TUOMBEENI NASI TUNAOMBA.
MTETEZI WETU YU HAI🙏🏿
Kwahiyo gharama ya kazi yake ya kanisa la kuigiza kimchongo ni kuchapiwa?View attachment 2374942
Kayaandika haya
KILA KAZI INA GHARAMA YAKE!!
Acha tulipe gharama ya tulichoitiwa.
NAKUPENDA MPAKA PUMZI YANGU YA MWISHO MKE WANGU.
Hili nalo litapita[emoji1545]
TUOMBEENI NASI TUNAOMBA.
MTETEZI WETU YU HAI[emoji1545]
Inauma lakini ndoa katika hiki kizazi swala la kuchapiwa ni kawaida maana hata wanaoolewa wengi walishapoteza bikra
Huyu Masanja yawezekana kamdedisha jamaa. Sipati picha mume wa mtu ajiue kwa ajili ya penzi la mke wa mtu.... tena mtu wa karibu kabisaNo way out.
Hakuna mtu anaweza akasema kwa uhakika kabisa kwamba hachapiwi...Ila kukoseana adabu ni pale unapochapiwa halafu ukajua...huyo marehemu kaacha tafrani kubwa kama alichoandika ni kweli.Acha kuhalalisha u-simp. Kuoa asiye na bikira na kuchapiwa havikaribiani kabisa. Kuchapiwa ni kukosewa adabu. Kusamehe baada ya kuchapiwa ni kujikosea adabu. Na kuleta mambo yenu hadharani ni kukosa akili.
Nimelisema hili kwenye uzi mwingine
Halafu utakuta linapita bila upelelezi bongo nyoso
.Masanja ni FAKE, Nabii wa Uongo,Kama ni kweli, huyo mama hatakiwi/hana sifa za kuwa mke wa mchungaji!mchungaji au mkewe hatakiwi hata kuhusishwa tu na tuhuma zozote!though siukubali uchungaji wa huyu jamaa(usanii mwingi)
Watanzania si watu wa kutegemea kukuliwaza.[emoji849][emoji849][emoji849][emoji23][emoji23]Dah