Masanja amsamehe mke wake, kakubali yaishe maisha ya ndoa yaendelee

Masanja amsamehe mke wake, kakubali yaishe maisha ya ndoa yaendelee

Wakuu mwenye picha na jina la katibu aweke hapa tumuone.
6B01E958-A036-472C-8794-78D83E21A94B.jpeg
 
Show off nyingi. Kila mahali picha na foto as if sisi wengine hatuna wanawake.
Sasa kakandamiziwa kwenye kumi na nane zake.
Angetumia siku ya kesho kupima DNA za watoto wa huyo mwanamke.
Watu wenye kujionyesha saana hawana shoo za maana ndani
🤣🤣🤣🤣Unakuta watoto wote wa Mlinzi au Katibu wa Kanisa🤣🤣🤣
 
View attachment 2374942

Kayaandika haya

KILA KAZI INA GHARAMA YAKE!!
Acha tulipe gharama ya tulichoitiwa.
NAKUPENDA MPAKA PUMZI YANGU YA MWISHO MKE WANGU.
Hili nalo litapita🙏🏿
TUOMBEENI NASI TUNAOMBA.
MTETEZI WETU YU HAI🙏🏿
Cha msingi aombe Mungu tu asiwe chama la wana manake unaweza ukakuta kuna mwengine naye anapiga kimya kimya aka Wazee wa Minyato.
 
Y
Show off nyingi. Kila mahali picha na foto as if sisi wengine hatuna wanawake.
Sasa kakandamiziwa kwenye kumi na nane zake.
Angetumia siku ya kesho kupima DNA za watoto wa huyo mwanamke.
Watu wenye kujionyesha saana hawana shoo za maana ndani
Yethuu na Marie ina maana hata watoto sio wa baba mchungaji?

Mama mchungaji apewe ulinzi wa ziada asije mfuata katibu huko alikoenda.
 
Wakristo mna moyo sana!!

Mtume Muhammad (pbuh) anasema kuwa mwanamume asiye na wivu hatoonja hata harufu ya pepo (hatoingia peponi).

Biblia inasema kuwa moja ya kisababishi cha talaka ni pale mkeo anapozini!!

Mathayo 5:32 BH​

Lakini mimi nawaambieni, anayempa mkewe talaka, isipokuwa kwa sababu ya uzinzi, anamfanya azini; na mwanamume akimwoa mwanamke aliyepewa talaka, anazini.


Hapo ili kuponya maumivu ya moyo ilitakiwa ni kutolewa talaka. Hakuna jambo linauma kama kujua kuwa unagongewa mkeo. Atajifanya kujisahaulisha hilo tukio ila hatosahau mpk anazama udongoni
 
Itakuwa kamu assassinate kitaalamu kwa kutumia nguvu za asili za mababu/ulimwengu huu yaani unamuondoa ili ubaki na mke kwa amani wengi hamjawaza hilo
Umewaza kama mimi...sema umetangulia ku reply...kuna mchezo.umechezwa hapa
 
Mitihani mingineo isikie kwa wenzio coz maumiv yake hayaelezekag kirahisi ukomav mkubw huu kwa mtumishi ila sio wote tuna moyo huu yapaswa tujifunze kitu
 
Show off nyingi. Kila mahali picha na foto as if sisi wengine hatuna wanawake.
Sasa kakandamiziwa kwenye kumi na nane zake.
Angetumia siku ya kesho kupima DNA za watoto wa huyo mwanamke.
Watu wenye kujionyesha saana hawana shoo za maana ndani
Wale wapumbavu wa "TAFUTA HELA" wamepotelea wapi leo hii kwa hii mada?
 
Back
Top Bottom