smaki
JF-Expert Member
- Jan 23, 2019
- 4,976
- 3,098
Basi km ni uzushi kweli!! wataishi kwa amani sana! make couple wengi wanao zushiwaga daaaa! .......utawaonea wivu yaani ni km wanawaimarisha flani hivi!...amani, furaha, mafanikio km yote!Uzushi tu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Basi km ni uzushi kweli!! wataishi kwa amani sana! make couple wengi wanao zushiwaga daaaa! .......utawaonea wivu yaani ni km wanawaimarisha flani hivi!...amani, furaha, mafanikio km yote!Uzushi tu
weye semaga ukweli wako bana yule nae si mchungaji yule?? alijaribiwaje kondoo wa Mungu?? unajuaje labda alitubu??Yule Mgogo MC Pili pili ndio alimt.........ombiooooeeeeaaaa. duh dunia wanja wa fujo
Wanawake wengi, wanaishi na sisi wanaume kimaslahi na wala sio mapenziKama Alifanya Siri basi Alienda Kwa Masanja Kimaslahi ..
Mm!!mm!!..... Mazee issue km hizi??? nadra sana, nakuona kwa mbaaali!! njoo! hapa tukupe ubuyu banaaa!!Kwanini
mu-mbili wa wa-mbili! hii nato kaliZAMA ZIMEBADIRIKA MMMNO, KWENYE NDOA HIZI HAKUNA ASIYE TOKA.
KUNA MAMA KANISA MMOJA, TUNAFANYA MATUSI NAYE WEEEE. NA MIKONO ANAWEKEA WAUMINI.
HahahahahahAnakula mjane 😀😀😀
Wasenge Nyaji wakubwa wale 😂😂😂Wale wapumbavu wa "TAFUTA HELA" wamepotelea wapi leo hii kwa hii mada?
Hizo nguvu za asili zisingempata kama angekuwa ajalamba asaliItakuwa kamu assassinate kitaalamu kwa kutumia nguvu za asili za mababu/ulimwengu huu yaani unamuondoa ili ubaki na mke kwa amani wengi hamjawaza hilo
Hakuna mtu anaweza akasema kwa uhakika kabisa kwamba hachapiwi...Ila kukoseana adabu ni pale unapochapiwa halafu ukajua...huyo marehemu kaacha tafrani kubwa kama alichoandika ni kweli.
Polisi hawajitesi. Wataishi humo humo marehemu kajinyonga.Bongo watu wanakufaga kindez sana
No upelelezi wala nini unaofanyika
Ova
Picha iko wapiKuna post moja ya siku za nyuma kule Insta Masanja aliupost msambwanda wa mke wake alafu akaandika,"mke mwema hutoka kwa bwana",sasa ndo nimejua huyo bwana kumbe ni katibu wa kanisa,,,!
Ndio busara iliyobaki, maisha ya ndoa sio mchezo na hayahitaji hasira vinginevyo kila siku utaacha au kuachwa na kuoa au kuolewa.Maamuzi sahihi Mch. MasanjaView attachment 2374942
Kayaandika haya
KILA KAZI INA GHARAMA YAKE!!
Acha tulipe gharama ya tulichoitiwa.
NAKUPENDA MPAKA PUMZI YANGU YA MWISHO MKE WANGU.
Hili nalo litapita🙏🏿
TUOMBEENI NASI TUNAOMBA.
MTETEZI WETU YU HAI🙏🏿