Uzinzi ni moja ya sababu za kuvunja ndoa endapo upo ushahidi madhubuti ILA hakikisha wewe mwenyewe sio mzinzi vinginevyo endelea na ndoa yako kwani wafananao huruka pamoja.Amesha mwaga damu, Bora asingefanya kitendo hicho, akiachana nae haina maana tena
Masanja(Emmanuel mgaya) ni mbena au mpangwa.katokea njombe.Kama niko sahihi Masanja siyo Msukuma, ni Mnyakyusa. Hilo jina Masanja ni la "kazi"
Kuna dosi moja lilikuwaga pale Le grande Casino na huwa linagawa gawa USD dola 100, 100 kila likishikwa shikwa na Malaya zaidi ya 6.Huyo zoba jogoo hapandi mtungi. Ilikuwa dili lao watatu hao ila mwendazake akaanza kudai mtoto wake ndiyo jamaa akaamua kumtoa roho kidizaini.
Unamaanisha atakuwa yeye tokana na moto wa kanisa "FEEL FREE CHURCH" au [emoji848][emoji1]Hivi ile video anapakuliwa tope, alikua mke wa Masanja kweli?
Hawez muacha sababu ya kanisa, akimuacha tu hakuna kanisaMasanja atakuja kuachana na huyo dada huko mbeleni.
Kwa sasa haiwezekani maana inaonekana alikuwa anamuambia kila kitu so dada anajua mambo mengi (plus majibu ya utata wa kifo cha katibu) yanayoweza kumuharibia.
Atamtafutia tu sababu huko mbeleni.
Masanja ni mpangwa wa ludewa sio msukuma hataTatizo Mazanja (ashakum siyo matusi) kinachom-cost ni kabila,Msukuma na rangi nyeupe ni kama Mbwa kwa Chatu yaani anajipeleka mwenyewe na hii kwa experience yangu niliyowahi kushudia kwa watu ninaowajua litamyumbisha sana!
Sana yaaan mpaka naona aibu kuwasifia dada zetuDada yako(msukuma) kazingua sana
Nasikia kuna clip ya Mke wa katibu anafunguka mume wake kauliwa na kisa masanja,Masanja kwa huyo mwanamke amedandia mtumbwi wa vibwengo, Naona kila kona anakula spana tu.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]hii ilinitokea niko na wife kuna classmate wangu wa kike alikua swaiba sana alivo niona akaja kunipa kumbatio na tabasam loote wife kumbe kachukia ilikua bonge la ugomvi wakati yule dada hata sijawahi kuduu nae ni ile kunimiss tu km mshikaji wake.Hapana mkuu tulikuwa mahali na dear ghafla kuna jamaa nilisoma nae akanistua akaja karibu yangu kunisalimia tukawa tunazungumza shida ilianzia alipo omba namba[emoji16][emoji16][emoji16]
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji28][emoji28] We ni mmoja kati ya wale waathiriwa wa msemo wa TAFUTA HELA, unazisaka hela unasahau kufuatilia updates zinazoibuka humu duniani! Bila shaka hufahamu hata kuwa Mwezi Desemba uwanja wa Taifa unauzwa kwa wachina kufidia deni la taifa[emoji41][emoji41]
Hii point,hizi ndoa zina mambo mazito jamani.Monica ana siri nyingi sana za uchungaji wake na safari zake za marekani za mara kwa mara. Akimuacha ni kama anajivua nguo
[emoji23]Masanja kwa huyo mwanamke amedandia mtumbwi wa vibwengo, Naona kila kona anakula spana tu.
watanzania naona mumempumzisha MWIGULU MITOZO mumeamia kwa MASANJA SASAKama kuna watu wanamdaganya eti ooh wewe ni kioo cha jamii mara pasta
Huo ni uboya. Mtu yeyote anayejielewa hawezi kukubali upuuzi uliofanywa na Monica.
Kuendelea kuishi naye ni kujitakia maumivu ya moyo maisha yake yote.
Let it go. Waafrica tudanganyana Sana eti ndoa za maisha, Bill gate kavunja ndoa utakuwa we masanja.
Kwanza mtaishije humo ndani na watoto wasio wako. Au ndo tusubiri tusikie mmechinjana. Let it go continue with your hustles man.
Utampendaje mwanamke asiyekuheshimu umerogwa au yaani achepuke Hadi kukuletea watoto wote wa nje what the F**k dharau ya namna gani hiyo acha uboya piga chini akwende zake.
Nasikia yule hana ni dk. Moja chaliUnaweza ukawa na nguvu za kiume halafu unatoa manii tu.
Ukiwa unamuomba Mungu wewe omba tu kila kitu yeye ataamua kukupa nini hata kama ni pesa wewe muombe tuMaombi yako hayajapokelewa...Mungu aamini katka pesa..jaribu kuomba kwa njia nyingine
Sasa kwa nini maombi yako yawe ya upande mmoja...kwan nyie hamzitak hizo hela?....mpk mfanye kuomba Mungu ili mwanaume azipate....hata nyie mkiwa nazo inatusaidia kujiamin na nguvu za kiume znakuwamo za kutoshaUkiwa unamuomba Mungu wewe omba tu kila kitu yeye ataamua kukupa nini hata kama ni pesa wewe muombe tu
Kabisa,Isingekuwa hayo macho ningesema mtoto ni wa Masanja,pia isingekuwa komwe ningesema mtoto ni wa baba mchungaji,vilevile isingekuwa kicheko chao wanafanana ningesema mtoto ni..... lakini hii ndio maana ya Dunia uwanja wa fujo.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] masanja lazma atakuwa kampeleka DNA yule dogo.