Masanja ataonekana shujaa zaidi akiachana na Monica

Amesha mwaga damu, Bora asingefanya kitendo hicho, akiachana nae haina maana tena
Uzinzi ni moja ya sababu za kuvunja ndoa endapo upo ushahidi madhubuti ILA hakikisha wewe mwenyewe sio mzinzi vinginevyo endelea na ndoa yako kwani wafananao huruka pamoja.
Kama Masanja hajawahi kupewa jamaa alichokula na labda alikuwa anapenda lakini anaogopa kuomba huu ni wakati muafaka kwake nae kujihudumia.Kuhusu mtoto asipate shida sbb katibu yupo na Yuda tayari .Ajitahidi tu amzalishe mkewe kila baada ya miaka 2 na ajitahidi awe na watoto sio chini ya 10.Masanja atakuja kunishukuru
 
Huyo zoba jogoo hapandi mtungi. Ilikuwa dili lao watatu hao ila mwendazake akaanza kudai mtoto wake ndiyo jamaa akaamua kumtoa roho kidizaini.
Kuna dosi moja lilikuwaga pale Le grande Casino na huwa linagawa gawa USD dola 100, 100 kila likishikwa shikwa na Malaya zaidi ya 6.

Nyuma ya pazia wale Malaya wanadai Jamaa halisimamishi mashine na inaonekana ni miongoni mwa masharti ya utajiri wake, Malaya hutoka na kilo 6 au 1 M kila siku.
 
Masanja atakuja kuachana na huyo dada huko mbeleni.
Kwa sasa haiwezekani maana inaonekana alikuwa anamuambia kila kitu so dada anajua mambo mengi (plus majibu ya utata wa kifo cha katibu) yanayoweza kumuharibia.
Atamtafutia tu sababu huko mbeleni.
Hawez muacha sababu ya kanisa, akimuacha tu hakuna kanisa
 
Hapana mkuu tulikuwa mahali na dear ghafla kuna jamaa nilisoma nae akanistua akaja karibu yangu kunisalimia tukawa tunazungumza shida ilianzia alipo omba namba[emoji16][emoji16][emoji16]
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]hii ilinitokea niko na wife kuna classmate wangu wa kike alikua swaiba sana alivo niona akaja kunipa kumbatio na tabasam loote wife kumbe kachukia ilikua bonge la ugomvi wakati yule dada hata sijawahi kuduu nae ni ile kunimiss tu km mshikaji wake.
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Monica ana siri nyingi sana za uchungaji wake na safari zake za marekani za mara kwa mara. Akimuacha ni kama anajivua nguo
Hii point,hizi ndoa zina mambo mazito jamani.
Hapo ndipo unakuja ule msemo mwaga mboga nimwage ugali hapo mwanaume unanywea.
 
watanzania naona mumempumzisha MWIGULU MITOZO mumeamia kwa MASANJA SASA
 
Ukiwa unamuomba Mungu wewe omba tu kila kitu yeye ataamua kukupa nini hata kama ni pesa wewe muombe tu
Sasa kwa nini maombi yako yawe ya upande mmoja...kwan nyie hamzitak hizo hela?....mpk mfanye kuomba Mungu ili mwanaume azipate....hata nyie mkiwa nazo inatusaidia kujiamin na nguvu za kiume znakuwamo za kutosha
 
Isingekuwa hayo macho ningesema mtoto ni wa Masanja,pia isingekuwa komwe ningesema mtoto ni wa baba mchungaji,vilevile isingekuwa kicheko chao wanafanana ningesema mtoto ni..... lakini hii ndio maana ya Dunia uwanja wa fujo.
Kabisa,
Macho kachukua ya katibu,
Tabasamu la katibu
Komwe la katibu

Kiukwel Hii kitu itamuumiza Sana masanja kisaikolojia, pia mwanamke maana sidhan Kama atakuja kuaminika vizazi vyote vinavyofata
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…