Masanja ataonekana shujaa zaidi akiachana na Monica

Lkn sasa mwenye ndoa amesema hamuachi,wewe kinakuuma nini asipomuacha?,

Lkn sasa mwenye ndoa amesema hamuachi,wewe kinakuuma nini asipomuacha?,unataka aachwe yy ili aolewe nani?
 
Na ana upendo wa kweli kakubali kumzalia akiwa kwenye ndoa
Na wanawake wakikupenda hi michezo wanafanya Sana,

Nina ex Wangu kaolewa nae aliwahi nambia anataman anizalie mtoto akiwa kwny ndoa yake iwe Kama kumbukumbu.

Nilikwepa huo mtego maana matokeo yake najua hayawezi kua mazuri

Hii michezo wanawake hufanya sana
 
😁😁😁😁😁😁😁
watanzania naona mumempumzisha MWIGULU MITOZO mumeamia kwa MASANJA SASA
πŸ˜ƒπŸ˜‚πŸ˜ƒπŸ˜‚πŸ˜πŸ˜‚πŸ˜ƒπŸ˜πŸ˜‚πŸ˜ƒπŸ˜πŸ˜‚πŸ˜ƒ
 
Pasta wa dini gani, au wa vichekesho? Haijui biblia kama ni wa kikiristo.

Sent from my DRA-LX5 using JamiiForums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…