Masanja awachana 'live' wambea wa ndoa yake

sio mie hili ni lenu na vichechede vyenu vya kuvaa shanga shingomi n hereni 😎😂
Wewe ndo unawaona vicheche lakini ukweli ni kwamba wanaume wengi wanapenda slut chicks mnajishaua tu hapa.
Huko mlipo wake zenu hawawezi tena mambo wapo wapo tu wameshakosa ladha au wamewachoka na hao vicheche ndo pona yenu.
 



Ila kugongewa uisikie tu kwa mwenzio. Huyu mwamba is doing what we call ‘damage control’ ili kanisa lisiumie ila ndani ya nyumba pamoto.

Naamini mpaka sasa toka amerudi, hajachakata ngozi kwa hasira. Wivu wa mwanaume ni mbaya kuliko wa mwanamke asikuambie mtu, tena hawa kila siku wanakesha mitandaoni!

Give them TIME!
 
Wewe ndo unawaona vicheche lakini ukweli ni kwamba wanaume wengi wanapenda slut chicks mnajishaua tu hapa.
Huko mlipo wake zenu hawawezi tena mambo wapo wapo tu wameshakosa ladha au wamewachoka na hao vicheche ndo pona yenu.
afu wewe 😂😂😂
sikuelewwi ujuee mboni kama upo unaingia afu unatoka.. hukai sawa kwenye mstar👌😎
 
Tatizo ukweli unaujua lakini ubishi tu umekujaa, ili mradi tu ubishe...tuongee uhalisia
ukweli upi unaoujua weyee nisoujua mie mkongwe👌😎
DM please😎😙
 
Mimi kwa video hii NIMEHITIMISHA kitu kibaya zaidi ya mke kuwa mchepukaji
Which ni scary zaidi.
Enewei
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…