ras jeff kapita
JF-Expert Member
- Jan 4, 2015
- 22,152
- 33,899
Ukimuuliza mama yangu na baba yangu wanajua kwamba ww ni Baba yangu mzazi, nakuheshimu sana mkubwa shkamoo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ukimuuliza mama yangu na baba yangu wanajua kwamba ww ni Baba yangu mzazi, nakuheshimu sana mkubwa shkamoo
Hii movie watu walitegemea kuwa Masanja atamuacha mke wake sasa matarajio yamekua tofauti hapo ndio wanahamasisha uchunguzi uendelee...Masanja kumtoa hapo labda mtumie Bulldozer linalovuta vitu visito sana...
Labda anamchanganya na yule wa Haji Manara[emoji3]Huyo mke wake ni wa kushtua mtu kweli?..
It seems like kila mtu ana namna yake ya kuuona uzuri wa mdada.
Lkn Yusufu alikonda/alisononeka kuishia gerezani, yaani utumwani km haitoshi then Grezani!! ila mke wa potifaa alifurahi nini, kapenzi kake kuwa gerezani??!.......make ndo alimkosa mazimaaa.....Tuko kwenye dunia ya ajabu sana
Bila kuthibitisha yanayoongelewa inakua ngumu kidogo kutoa hukumu
Hata Yusufu mwana wa YAKOBO alituhumiwa kumbaka mke wa mtu kumbe uongo mtupu
Aisee kweli kbsa kumbe katibu angetaka hata kumla masanja angemla tu. Masanja is a BAN, You cant toss your wife to the dogs like that....Katibu amejiua bure kumbe Masanja hana noma na MTU.
tushajua masanja hana show na mkewe katoa mbwa nje. mengine haya anazugaHakuna kitu kibaya kama maneno ya watu na hapo si kweli kama anavyoonekana kutojali ila deep in side anapitia kipindi kigumu kuliko chote iwe ni kweli aliliwa au hajaliwa,tayari maneno tuu yameshabadilisha mustakabali na peace of his or her mind. Mfano Jackline wolper alipoambiwa na Mange ananuka K hivi unafikiri hilo neno mpk leo limemtoka Jack?.kila akikumbuka lazima aumie iwe ni kweli au uongo. So nachotaka kusema ni hiki maneno yana distruct moyo wa mtu kuliko hata ugonjwa. Ngoja tuendelee kuona
Wanemba newala.....Dj Naomba kibao Cha kijana wa Tandahimba kinachoitwa anajikosha.
Ndo tatizo la vibamia yaani utawajua tu!! ...........;;sizitaki mbichi hizi'', kwanza sikia... mdada maji ya kunde si mnene kiviile si mwembamba, pua yake ndefu isiyoonyesha kamasi, inaonyesha ana kina kizuri!! Lips zake sisemi sana!Huyo mke wake ni wa kushtua mtu kweli?..
It seems like kila mtu ana namna yake ya kuuona uzuri wa mdada.
Kwanini asipate nguvu na nyie wenyewe mnakiri kuwa Mungu anasamehe dhambi yoyote ile?
Kama ni mjasiri ataweza na siku si nyingi mtamsahau midomoni mwenu.
Halafu mnawapa kick bila kujua...watu wanapenda mambo ya kipuuzi kama haya utashangaa kanisa lake likafurika kama la mwamposa halafu mrudi hapa mseme alitoa kafara.
Nyie wanawake Monica inabidi awatafute awashukuru. Mmesimaa naye katika kipindi hiki kigumu.Umeelewa ulichosoma??
Basi weka ushahidi wa Hakika uwasaidie familia na police
Tujifunze kutokuingilia mapenzi ya watu. Watu wakisema wanapendana haijalishi wanafanya nini tuwaache. Hayo ndo aina ya malenzi waliyochagua. Sio lazima tufananeNyie wanawake Monica inabidi awatafute awashukuru. Mmesimaa naye katika kipindi hiki kigumu.
Figisu tu hizo 😅😅
Hilo jambo alikiwea mzee Madiba peke yake hakujali wasifu wake bali alipiga chini Winnie.
Nyie wanawake Monica inabidi awatafute awashukuru. Mmesimaa naye katika kipindi hiki kigumu.
Masanja amewakata kauli😷😷😷😷hahahaha
HYa uanze sasa kuhudhuria ibada zakeHahaha mwacheni Monica apumue
Kama mume wake amemuelewa sisi ni nani tumhukumu!?
Masanja amewakata kauli[emoji40][emoji40][emoji40][emoji40]hahahaha
Njoo Telegram tukupe connection akiliwa mt@oUbaya au uzuri hakuna ushahidi wa utambi kupachikwa
Wewe una uthibitisho gani?Haibadilishi ukweli kuwa mke wake ni malaya tuu anapigwa nje ya ndoa, angekuwa ni girlfriend sawa ila mke...mama mchungaji kupachikwa utambi nje ya ndoa ni fedhea kweli kweli
Hivi kanisa la Masanja liko wapi? Nataka niwe naenda maana ni kama umehudhuria stand up comedy.HYa uanze sasa kuhudhuria ibada zake
Ova