Masanja Mkandamizaji: Watu ooh! Mama anasafiri sana. Ulitaka asafiri babaako?

kosa lao Ni kwamba kipindi Cha awamu ya 5 waliponda sana kwanini Magu hatoki nje Wala kusafiri na ndio hao hao wanahoji kwanin maza anasafiri sana.
Tanzania kuna free speech au hakuna free speech?
 
Alinishangaza kwa kauli ya kutest mitambo na nchi jirani kweli huyu jamaa na waliompa hiyo furusa ya kuropoka ni mafyatu si wangemhariri anachota kuongea kabla yani ameboa mpaka rais kakeleka
 
Tangu enzi na enzi, wasanii ni watu wa kutumika kuburudisha jamii na hawakutegemewa kwa jambo lolote la kiuongozi au busara. Ni watu wasio na maadili wanakata mauno mbele za watu na kufanya vitendo visivyo na staha.
Hata hivyo, wasanii wana nafasi yao na kosa kubwa sana lililofanywa na linaloendelea kufanywa na uongozi wa chama cha mapinduzi na hata nchi kwa ujumla ni kuwapa wasanii au kuwategemea kwenye nafasi au madaraka ambayo kiasili hayatakiwi.
 
Ange ongea Stive Nyerere mungeshika vichwa yule ndio bingwa wa mashudu
 
Jaman hao cndo wale wanaowatafutia kura au????
 
Mmojawapo wa watu wa hovyo sana nchi hii
 
Hahaaaa mm ni jiwe kwerkwer
 
Tatizo nchi haina rais wa kweli tangu 2015
 
Masanja atakula uteuzi kabla yako.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…