Wangekuua ohooooKuna siku nilienda kwa hawa ndugu zetu wachungaji feki enhee...we acha tuu aliimba nikaona watu wanaanguka sasa jamaa akanijia mm kila akiomba mh patupu akanitia ngumi ya chembe,nikawa nawaambia sina pepo akazidi kunitia mikofi nikaona ohooo nitulie nisije umia kwa maana walikuwa wanasemezana kuwa ninapepo mkolofi
Wakuu.
Ile picha inayosambaa kuna watu wameanguka mbele ya masanja inaonekana jamaa aliwapiga wakaanguka au ni maombi ya kawaida?
Vyombo vya dola vifanye uchunguzi maana hachelewi kuwasukuma watanzania wenzetu kwa mikono yake wakianguka chini anasingizia maombi.
Hahahaha teh tehe teh .Kuna siku nilienda kwa hawa ndugu zetu wachungaji feki enhee...we acha tuu aliimba nikaona watu wanaanguka sasa jamaa akanijia mm kila akiomba mh patupu akanitia ngumi ya chembe,nikawa nawaambia sina pepo akazidi kunitia mikofi nikaona ohooo nitulie nisije umia kwa maana walikuwa wanasemezana kuwa ninapepo mkolofi
Aliwapa hela kabla ya showWakuu.
Ile picha inayosambaa kuna watu wameanguka mbele ya masanja inaonekana jamaa aliwapiga wakaanguka au ni maombi ya kawaida?
Vyombo vya dola vifanye uchunguzi maana hachelewi kuwasukuma watanzania wenzetu kwa mikono yake wakianguka chini anasingizia maombi.
Umeandika unakunywa urojoManda mimi Nina amini kuwa Pepo Wa njaa hatoki kwa Maombi Kama alivyo wa kihoro au. Wa ugonjwa piga meno lako usiku kucha ukiomba upate suti na viatu na kwa imani bila Kufanya Nazi na kupata pesa yakununua kitamba na mashono hutopewa kamww
Mbavu zangu...! Eti pepo mkorofi!!!!! [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] hatareee..Kuna siku nilienda kwa hawa ndugu zetu wachungaji feki enhee...we acha tuu aliimba nikaona watu wanaanguka sasa jamaa akanijia mm kila akiomba mh patupu akanitia ngumi ya chembe,nikawa nawaambia sina pepo akazidi kunitia mikofi nikaona ohooo nitulie nisije umia kwa maana walikuwa wanasemezana kuwa ninapepo mkolofi
Duh! Nyie madogo, mtavunja mbavu za watu bureKuna siku nilienda kwa hawa ndugu zetu wachungaji feki enhee...we acha tuu aliimba nikaona watu wanaanguka sasa jamaa akanijia mm kila akiomba mh patupu akanitia ngumi ya chembe,nikawa nawaambia sina pepo akazidi kunitia mikofi nikaona ohooo nitulie nisije umia kwa maana walikuwa wanasemezana kuwa ninapepo mkolofi
Baada ya kusoma mara 20 hatimaye nimemuelewa....."Maana mimi nina amini pepo wa njaa hatoki kwa maombi kama alivyo pepo wa kiroho au wa ugonjwa.. piga neno lako usiku kucha ukiomba upate suti na viatu na kwa imani bila kufanya kazi na kupata pesa ya kununua kitambaa na mashono hutopewa kamwe"
Ndio mkuu, naamini hiki ndo alichokua ana maanisha ila aliandika akiwa na usingizi mwingi so msameheni bureMkuu umeandika alichotaka kuandika jamaa yetu huyu myao
Hawana lolote ni usanii tu, waangukaji wengi ni Wanawake, ikitokea dume basi ujue limejiendekeza tu.Mimi ni Muslim.. Kuna siku Yule sheikh sharifu majini. Alikuwa na mkutano pale diamond Jubilee. Nikaenda.
Mambo yakaanza. Akaanza kuita majiniiiii majiniiiii. Mara wamama wakaanza kuanguka ovyo ovyo. Hakuna mwanaume hata mmoja aliyeanguka. Akajipaka mafuta mkononi akawa anawasukumiza kwa kiganja cha mkono usoni.
Mimi nikashtuka.
Wale wanaoanguka hawaanguki kwa nguvu ya mafuta. Kuna mawili. Moja wameandaliwa au wanasukumizwa.
Sasa wengine wanakuwa wagonjwa kweli. Ukimsukumiza tu chali.
Wengine sio wagonjwa. Unamsukumiza MTU kasimama tu.
Kwa nini usipigwe mtama?
Ni uchawi toka west Africa! So may be Tayari nayeye ameshaupata.Mungu ayupo kama remoti ya TV. Hawa wachungaji wanataka waonekane wanamkontrol Mungu! Ayubu ata kama angeombewa na Yesu Kwa kuwa Mungu Baba alisha amua mabalaa yampate akuna anaeweza enda kinyume chake.ata Leo wapo wanaoteseka kwa mapenzi ya Mungu kwa hekima zake.so hawa fake pastors wanatakiwa kuwafundisha watu badala ya kufake na miujiza fakeWakuu.
Ile picha inayosambaa kuna watu wameanguka mbele ya masanja inaonekana jamaa aliwapiga wakaanguka au ni maombi ya kawaida?
Vyombo vya dola vifanye uchunguzi maana hachelewi kuwasukuma watanzania wenzetu kwa mikono yake wakianguka chini anasingizia maombi.
Hakuna uchawi wowote hapo, cha muhimu ni kuwajenga Watu kisaikolojia tu waamini una uwezo fulani basi umemaliza mchezo.Ni uchawi toka west Africa! So may be Tayari nayeye ameshaupata.Mungu ayupo kama remoti ya TV. Hawa wachungaji wanataka waonekane wanamkontrol Mungu! Ayubu ata kama angeombewa na Yesu Kwa kuwa Mungu Baba alisha amua mabalaa yampate akuna anaeweza enda kinyume chake.ata Leo wapo wanaoteseka kwa mapenzi ya Mungu kwa hekima zake.so hawa fake pastors wanatakiwa kuwafundisha watu badala ya kufake na miujiza fake
Pole mkuu ukutoka nundu[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1]Kuna siku nilienda kwa hawa ndugu zetu wachungaji feki enhee...we acha tuu aliimba nikaona watu wanaanguka sasa jamaa akanijia mm kila akiomba mh patupu akanitia ngumi ya chembe,nikawa nawaambia sina pepo akazidi kunitia mikofi nikaona ohooo nitulie nisije umia kwa maana walikuwa wanasemezana kuwa ninapepo mkolofi