Masanja wale watu aliwapiga wakaanguka au ni maombi?

Masanja wale watu aliwapiga wakaanguka au ni maombi?

Kuna siku nilienda kwa hawa ndugu zetu wachungaji feki enhee...we acha tuu aliimba nikaona watu wanaanguka sasa jamaa akanijia mm kila akiomba mh patupu akanitia ngumi ya chembe,nikawa nawaambia sina pepo akazidi kunitia mikofi nikaona ohooo nitulie nisije umia kwa maana walikuwa wanasemezana kuwa ninapepo mkolofi
Wangekuua ohoooo
 
Wakuu.
Ile picha inayosambaa kuna watu wameanguka mbele ya masanja inaonekana jamaa aliwapiga wakaanguka au ni maombi ya kawaida?

Vyombo vya dola vifanye uchunguzi maana hachelewi kuwasukuma watanzania wenzetu kwa mikono yake wakianguka chini anasingizia maombi.


Kwani wewe hujui ya kuwa huyu jamaa ni MSANII
 
Kuna siku nilienda kwa hawa ndugu zetu wachungaji feki enhee...we acha tuu aliimba nikaona watu wanaanguka sasa jamaa akanijia mm kila akiomba mh patupu akanitia ngumi ya chembe,nikawa nawaambia sina pepo akazidi kunitia mikofi nikaona ohooo nitulie nisije umia kwa maana walikuwa wanasemezana kuwa ninapepo mkolofi
Hahahaha teh tehe teh .

Mtakuja kufa, siku ingine anguka mwenyewe tu mkubwa.
 
Wakuu.
Ile picha inayosambaa kuna watu wameanguka mbele ya masanja inaonekana jamaa aliwapiga wakaanguka au ni maombi ya kawaida?

Vyombo vya dola vifanye uchunguzi maana hachelewi kuwasukuma watanzania wenzetu kwa mikono yake wakianguka chini anasingizia maombi.

Aliwapa hela kabla ya show
 
Manda mimi Nina amini kuwa Pepo Wa njaa hatoki kwa Maombi Kama alivyo wa kihoro au. Wa ugonjwa piga meno lako usiku kucha ukiomba upate suti na viatu na kwa imani bila Kufanya Nazi na kupata pesa yakununua kitamba na mashono hutopewa kamww
Umeandika unakunywa urojo
 
Kuna siku nilienda kwa hawa ndugu zetu wachungaji feki enhee...we acha tuu aliimba nikaona watu wanaanguka sasa jamaa akanijia mm kila akiomba mh patupu akanitia ngumi ya chembe,nikawa nawaambia sina pepo akazidi kunitia mikofi nikaona ohooo nitulie nisije umia kwa maana walikuwa wanasemezana kuwa ninapepo mkolofi
Mbavu zangu...! Eti pepo mkorofi!!!!! [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] hatareee..
 
Kuna siku nilienda kwa hawa ndugu zetu wachungaji feki enhee...we acha tuu aliimba nikaona watu wanaanguka sasa jamaa akanijia mm kila akiomba mh patupu akanitia ngumi ya chembe,nikawa nawaambia sina pepo akazidi kunitia mikofi nikaona ohooo nitulie nisije umia kwa maana walikuwa wanasemezana kuwa ninapepo mkolofi
Duh! Nyie madogo, mtavunja mbavu za watu bure
 
Baada ya kusoma mara 20 hatimaye nimemuelewa....."Maana mimi nina amini pepo wa njaa hatoki kwa maombi kama alivyo pepo wa kiroho au wa ugonjwa.. piga neno lako usiku kucha ukiomba upate suti na viatu na kwa imani bila kufanya kazi na kupata pesa ya kununua kitambaa na mashono hutopewa kamwe"

Mkuu umeandika alichotaka kuandika jamaa yetu huyu myao
 
Kwahiyo umati wote ule hakuna aliyeona kama ni kipigo kimetumika na sio maombi?

Alafu hivi hii issue ya kunguka mbona wanaangukaga wanawake tu? Wanaume hawaanguki kwanini?
 
Mimi ni Muslim.. Kuna siku Yule sheikh sharifu majini. Alikuwa na mkutano pale diamond Jubilee. Nikaenda.

Mambo yakaanza. Akaanza kuita majiniiiii majiniiiii. Mara wamama wakaanza kuanguka ovyo ovyo. Hakuna mwanaume hata mmoja aliyeanguka. Akajipaka mafuta mkononi akawa anawasukumiza kwa kiganja cha mkono usoni.
Mimi nikashtuka.

Wale wanaoanguka hawaanguki kwa nguvu ya mafuta. Kuna mawili. Moja wameandaliwa au wanasukumizwa.

Sasa wengine wanakuwa wagonjwa kweli. Ukimsukumiza tu chali.
Wengine sio wagonjwa. Unamsukumiza MTU kasimama tu.
Kwa nini usipigwe mtama?
Hawana lolote ni usanii tu, waangukaji wengi ni Wanawake, ikitokea dume basi ujue limejiendekeza tu.

Wanawake wana matatizo sana, wewe leo kusanya Wanawake pale Diamond jubelee, mtafute Manifongo, mpe "mboga" za kutosha (zikitokea Arusha itapendeza zaidi), avurumishe singeli la nguvu hapo, utashuhudia nusu kama sio wote ya Wanawake hapo watavua nguo wakisingizia kupandwa na mzuka.

Ni hisia zao tu wanaziendekeza na kuambukizana, hata wale Watoto wa kike wa shule wanaoangukaga hovyo na kusingizia mapepo sijui, hamna lolote...huenda mwenye tatizo ni mmoja hao wengine wanajipagawisha tu.

Mtoto ukishampa mastori ya mapepo utegemee tu hayo matatizo, na ukimlea bila asijue hayo mambo wala hatosikia hizo ishu.

Hakuna cha Mchungaji, sijui nabii wala hao wanaojiita mashehe majini, ni watumia fursa tu ya ujinga wa wenzao na wao kujineemesha.
 
Wakuu.
Ile picha inayosambaa kuna watu wameanguka mbele ya masanja inaonekana jamaa aliwapiga wakaanguka au ni maombi ya kawaida?

Vyombo vya dola vifanye uchunguzi maana hachelewi kuwasukuma watanzania wenzetu kwa mikono yake wakianguka chini anasingizia maombi.

Ni uchawi toka west Africa! So may be Tayari nayeye ameshaupata.Mungu ayupo kama remoti ya TV. Hawa wachungaji wanataka waonekane wanamkontrol Mungu! Ayubu ata kama angeombewa na Yesu Kwa kuwa Mungu Baba alisha amua mabalaa yampate akuna anaeweza enda kinyume chake.ata Leo wapo wanaoteseka kwa mapenzi ya Mungu kwa hekima zake.so hawa fake pastors wanatakiwa kuwafundisha watu badala ya kufake na miujiza fake
 
Wala huhitaji kuandaa watu, hao Wanawake walio wengi huenda wakiwa wameshaathirika kisaikolojia, na matumaini yao mengi wameshaweka kwa huyo anayeongoza hapo, hivyo chochote watakachoamriwa watafanya tu.
 
Ni uchawi toka west Africa! So may be Tayari nayeye ameshaupata.Mungu ayupo kama remoti ya TV. Hawa wachungaji wanataka waonekane wanamkontrol Mungu! Ayubu ata kama angeombewa na Yesu Kwa kuwa Mungu Baba alisha amua mabalaa yampate akuna anaeweza enda kinyume chake.ata Leo wapo wanaoteseka kwa mapenzi ya Mungu kwa hekima zake.so hawa fake pastors wanatakiwa kuwafundisha watu badala ya kufake na miujiza fake
Hakuna uchawi wowote hapo, cha muhimu ni kuwajenga Watu kisaikolojia tu waamini una uwezo fulani basi umemaliza mchezo.
 
Masanja is from Congo is illegal immigrants contribute so much to society, WHY do their own countries NOT want to take them back? Their own countries actively oppose their repatriation!
 
Dah!hizi dini hizi..... hata Yesu aliombea watu lkn hawakuanguka namna hii....Haya Mambo yao Na Wanaijeria yameleta shida sana
 
Kuna siku nilienda kwa hawa ndugu zetu wachungaji feki enhee...we acha tuu aliimba nikaona watu wanaanguka sasa jamaa akanijia mm kila akiomba mh patupu akanitia ngumi ya chembe,nikawa nawaambia sina pepo akazidi kunitia mikofi nikaona ohooo nitulie nisije umia kwa maana walikuwa wanasemezana kuwa ninapepo mkolofi
Pole mkuu ukutoka nundu[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1]
 
Back
Top Bottom