Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji16] uko sahihiSimba Sc Ni Kikundi Cha Wacheza Ngoma.
🐸Pangu pakavu tia mchuzi mpo kama 🐸Yaah Mkuu.... haiwezekani horoya apigwe na kolo ambaye ni tia maji tia maji
Harudiii tena, amekomaaa [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Sema upigwe block simba akipita si una uhakika[emoji23][emoji23][emoji23]
Mtoa mada hajaelewa,hapa Tanzania simba ndio inayotambulika zaidi kimataifa.Kwa maoni inaonekana wanasikitika kwasababu hawatapata upizani wa kutosha kwa yanga,unajua ukijua mpinzani wako ni mdhaifu sana hauwezi kuwa na furaha kwasababu hatakupa changamoto..tukbuke yanga ndio timu iliyoingia robo final kwa point ndogo sana point 8,pia ndio timu iliyoingia robo final kwa kufungwa sana..ndio maana hawa washabaiki wa MAMELODY hawana furaha kukutana na timu dhaifu
MAMELODI "TULIITAKA SIMBA SIO YANGA"
Mashabiki wa Mamelodi huko SOUTH AFRICA wamesema waliomba sana wakutane na SIMBA sio YANGA
Baadhi ya mashabiki wamesema hawana furaha kupangiwa Yanga.
Mamelodi watakula mnara ✋
View attachment 2934099
Ulozi ungekuwa unalipa Gambushi Kungekuwa kama New York 🤣Tunajua mnawaza kuloga tu
Waulizw wao wanawaza nini? Sisi tunaloga mchana wao wanaloga usiku au kwny vitu visivyoonekana kama kupita milango isiyoruhusiwa...Ulozi ungekuwa unalipa Gambushi Kungekuwa kama New York 🤣
Hako kanyau kanashangaa Yanga ndo nini...hahaahView attachment 2937177
Eti mtani Shadeeya ya kweli hayo?
Kalpana et al njoo uone wanavyosema
View attachment 2937177
Siku zote nyani halionagi kundu lake, 🐸🐸wamakazana eti Simba ni walogaji 😂😂Waulizw wao wanawaza nini? Sisi tunaloga mchana wao wanaloga usiku au kwny vitu visivyoonekana kama kupita milango isiyoruhusiwa...
"pointi ndogo"Kwa maoni inaonekana wanasikitika kwasababu hawatapata upizani wa kutosha kwa yanga,unajua ukijua mpinzani wako ni mdhaifu sana hauwezi kuwa na furaha kwasababu hatakupa changamoto..tukbuke yanga ndio timu iliyoingia robo final kwa point ndogo sana point 8,pia ndio timu iliyoingia robo final kwa kufungwa sana..ndio maana hawa washabaiki wa MAMELODY hawana furaha kukutana na timu dhaifu
Hahahaaa. Nakusalimia Mtani.View attachment 2937177
Eti mtani Shadeeya ya kweli hayo?
Kalpana et al njoo uone wanavyosema
View attachment 2937177
Hahahah😃🤣😃Hahahaaa. Nakusalimia Mtani.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] wakaingia kwanza kwa wana lamba lamba.Jichanganyeni muingie kwenye mfumo