Mashabiki wa Urusi wanavyoswitch habari ziende wanavyotaka wao na wasikilize wanachotaka wao (walidharau Mwiba mguu waanza kuoza)

Ha ha ha! Kiev imeshindikana, na Mrusi anaendelea kusukumwa na kusakamwa, timu Urusi mumeishiwa.
Nadhani hunijui mimi sina Timu..., hii sio Barcelona Vs AC Milan, au Game kwenye X-Box au Playstation ni some pawns (innocent citizens) loosing in a Greedy people's Chase Game..., and here the greedy ones includes NATO as well...

When Push comes to Shove zitakazoumia ni Nyasi...., and sadly in this scenario Nyasi hizo ni Earth as an habitable Planet.., So I can never be a Cheerleader of anyone shitting on the planet.., and NATO has been doing just that..., mind you Russia in no Angel as well.....
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Pro Russia mna nini...
So alienda Kiev kuharibu vifaru vyake na Askari wake kufa alafu akaamua kurudi Moscow?
Hao wanaojiita pro russia wamejitoa ufahamu kabisa, russia amekiri kupoteza askari 1,300. Putin mwenyewe amekiri hili, sasa jiulize kuna nini hapo? Na usikute wamepukutika 5,000.
 

Porojo umejaza hapo. Nafikiri ata elimu yako ilikua ya shida sana. Huna unachofahamu kuhusu vita au uvamizi wowote.
 

Wajinga sana pro russia yaan habari yeyote negative kwa russia wako ni utumbo kubalini mzee baba kachemsha wazee wa maseke wanamchora tuuu jins anavyotolewa kamasi
 

Ahaa wapi mnafiki, Warusi wa Mbagalla mnasomeka kwa machungu mnayopata kisa Putin amepata aibu kubwa kwenye hivi vita, keshashindwa kuiteka Kiev anafukuziwa kama mbwa koko.
 
🤣🤣
 
Dogo umjui britanicca ndo maana unaongea tu bila kujua whom you are talking to
Inaonesha unamkubali Sana britanicca? I'll kuepuka kulishwa tango pori nyingi fuatilia habari kutoka source za kizungu angalau Zina nafuu. Nenda BBC japo uongo mwingi, nenda Dw, nenda Fox, nenda Times, nenda RT, nenda CNN, Soma pia jarida mbalimbali Kama War Zone nk.
Kote huko uongo mwingi lakini kina nafuu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…