Nadhani hunijui mimi sina Timu..., hii sio Barcelona Vs AC Milan, au Game kwenye X-Box au Playstation ni some pawns (innocent citizens) loosing in a Greedy people's Chase Game..., and here the greedy ones includes NATO as well...Ha ha ha! Kiev imeshindikana, na Mrusi anaendelea kusukumwa na kusakamwa, timu Urusi mumeishiwa.
🤣🤣🤣🤣Labda huelewi maana ya operation ya kijeshi urusi hajaenda vitani
Imeenda clinicLabda huelewi maana ya operation ya kijeshi urusi hajaenda vitani
Hao wanaojiita pro russia wamejitoa ufahamu kabisa, russia amekiri kupoteza askari 1,300. Putin mwenyewe amekiri hili, sasa jiulize kuna nini hapo? Na usikute wamepukutika 5,000.[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Pro Russia mna nini...
So alienda Kiev kuharibu vifaru vyake na Askari wake kufa alafu akaamua kurudi Moscow?
Buku 5 ya bia labdaHao wanaojiita pro russia wamejitoa ufahamu kabisa, russia amekiri kupoteza askari 1,300. Putin mwenyewe amekiri hili, sasa jiulize kuna nini hapo? Na usikute wamepukutika 5,000.
hao wabakaji wezi wa masufuria na washing mashine mbona kila siku vilio kila kona wakipokea marehem zao huko urusiKati ya Ukraine anayetembezewa kichapo mwanzo mwisho na Urusi ambaye hajapoteza raia hata mmoja nani analia kama mama mwenye uchungu? 😁
Wewe mzee wa maripoti kila thread mtu akiandika against russia unasema ulishawahi kuandika ripoti, hemu wewe anzisha thread halafu uweke ripoti za vita uvijuavyo.,
Unaambiwa Russia aliwambia ukraine wekeni silaha chini kwa hiyari yenu au tunawaangamiza lakini Ukraine wakakataa kuweka silaha chini sasa badala yake hatukuona impact yoyote ya kukataa kwao kuweka silaha chini kumbe Russia alikuwa ashabanwa na kashafikishwa ukingoni, hatimae sasa miji yoote ya Kyiv imegombolewa watoto wanaaza kwenda shule.
Mulitishwa na kuaminishwa Mrusi hashikiki hashikiki, sasa unachokishuhudia kwa macho yako Ukraine kilichompata mrusi umebaki unataka ripoti ya vita, lete wewe kwanza hizo ripoti hapa tuzichambue.
Zelensky bado ni Rais wa Ukraine na anatamba kila siku mikutano hii na hii anafanya akiwa katika majengo ya kifahari ndani ya Ukraine hakuna Mrusi aliyethubutu hata kumkaribia alipo, huu ni udhaifu mkubwa wa Putini ambaye alikuwa na lengo la kumtoa madarakani na kumsimamisha wakala wake ambaye atafuata mila za urusi.,
Alichofanya mrusi kubwa ambacho tunakiona ni kuua raia ambao hawana hatia, na sasa hii ni weakness kubwa mtu ajigambaye kama huyu kenge Putini.
Marekani saiv wanajuta kuiaminisha dunia kwamba Ukitoa Marekani wenyewe basi Russia anafuatia kwa nchi ambazo zimeendelea katika technologia ya kivita na kwamba ni mataifa hatari, kumbe ni afadhali ya Ukraine taifa ambalo ukienda kwenye ramani za kivita kidunia ata alikuwa hatajwi.
Wewe unajua nini? Huwezi kusema mwenzio hajui wakati wewe hujaeleza chochote
Wanaogopa kuingia officially. Aingie yeyote aone.
Ili habari ya CCN na BBC iwe ya kweli kwao iandike Drone ya Ukraine yadunguliwa na Askri wa Urusi", hapo meno 34 yote nje kwa KICHEKO na watajaza katika hiyo thread kama kumbikumbi[emoji23][emoji23].
ila ikiandika", vifaru vya Urusi vime-towed kwa KUKOSA mafuta!!!, wewe ulieleta habari utashambuliwa na chanzo chako habari.
Nadhani hunijui mimi sina Timu..., hii sio Barcelona Vs AC Milan, au Game kwenye X-Box au Playstation ni some pawns (innocent citizens) loosing in a Greedy people's Chase Game..., and here the greedy ones includes NATO as well...
When Push comes to Shove zitakazoumia ni Nyasi...., and sadly in this scenario Nyasi hizo ni Earth as an habitable Planet.., So I can never be a Cheerleader of anyone shitting on the planet.., and NATO has been doing just that..., mind you Russia in no Angel as well.....
🤣🤣Habari za wanandugu hapa!
Wakiwa wamekufa wanajeshi zaidi ya 10,000 wa Urusi na 2600 wa Ukraine na raia 5200 wa Ukraine, Hakuna aliyeamini Kama Kuna Kifaru cha Urusi kitaguswa wala hakuna aliyeamini kama Urusi ataruhusu hata majeshi wake mmoja kuuwawa huko vitani, maana wengi walilibeka kiushabiki na kujipa scale ya 72 hours kufika Kiev na kuangusha Serikali, wakati tunaongea Hapa kuna watu walisema bwana mkubwa Putin kashaweza zana on high alert na mbaya zaidi yeyote atakayeingilia vita ataona cha mtema kuni Hahaha sasa hakuna cha mtema kuni wala nyasi, Leo hii hata Poland anaingilia vita anatoa msaada UKRAINE , hata Estonia kanchi kadogo kanatia msaada wa vifaa na majeshi, sasa Mbona hasemi tena
Okay ndo maana tunasema
Maisha yapo katika kasi yake inayotuacha kila siku.
Wakati vita inaanza tulikua tunasikia Russia hivi, Russia vile. Yaani ilikuwa kama vile wameenda Ukraine kwenye matembezi ya Mshikamano au mbio za mwenge au kwenye Goba Marathon...ilikuwa kama vile Ukraine wote wameikumbia nchi baada ya kusikia Russia wanakuja.
Baada ya wiki moja kupita na kibao kugeuka, taarifa zikabadilika, mara Russia anashinikiza kufanyika kwa mazungumzo ya kumaliza vita, mara wameanza kufa, mara kile.
Watu walewale waliokua wakiwacheka Ukraine, wakaanza kuzishambulia medias zilezile kuwa zinapotosha.
Sasa hivi hawataki tena kusikia habari za vita hadi iwahakikishia kwanza habari hiyo itaelezea mafanikio ya Russia
Britanicca
Lete habari kutoka jikoni mkuu..Basi Ngoja ni focus Kwa kuwahabarisha kinachojiri,
Tulia wewe MAKOLO dawa ikuingie na propaganda zako uchwara za USA na EU [emoji38]Oneni hili topolo linajiabisha kiasi hiki sasa umeandika nini hapa?
Inaonesha unamkubali Sana britanicca? I'll kuepuka kulishwa tango pori nyingi fuatilia habari kutoka source za kizungu angalau Zina nafuu. Nenda BBC japo uongo mwingi, nenda Dw, nenda Fox, nenda Times, nenda RT, nenda CNN, Soma pia jarida mbalimbali Kama War Zone nk.Dogo umjui britanicca ndo maana unaongea tu bila kujua whom you are talking to
Unacheza kama Ronaldo..........watu wameshatoka huko sahivi ni mwendo wa kusikilizia vishindo baada ya uvamiziAkina Naby Keita hawa wamepigwa na kitu kizito [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Mrusi mwenzangu huyuFamilia yangu haipo huko Nangurukuru ipo huku katika mikono salama usinilinganishe nawe kukaa kujadili mambo ya harmonize na kajala Au stive NYERERE na usemaji, ninaizungumzia hii vita Nina maslahi pana nayo