Mashabiki wa Urusi wanavyoswitch habari ziende wanavyotaka wao na wasikilize wanachotaka wao (walidharau Mwiba mguu waanza kuoza)

Putin alimpa rais wa Ukraine masaa 24 ajisalimishe, aweke silaha chini la sivyo atamuondolea mbali na kusimika utawala mpya Kiev, alichokutana nacho, amepoteza mara mia zaidi na amekunja mkia anageuza, na anafuatwa huko huko....
Hebu nukuu hayo .
La kujisalimisha ni sahihilkn lakusimika utawala ni uongo.
Nukuu
 
Ukraine wanalalamika kuna mauaji ya halaiki na mass grave huko karibu na kyivu lakini @butarica anatuambia waliouwawa wengi ni warusi.
 
Mtu uko mchamba wima ata bei ya mfuta hujui unkula kwenu harafu unatuletea tathimini ya vita huko Ukraine.
 
Mkuu ni
mecheka sana!
Na post yako nai-copy ili nitumie mbeleni.
 
Mnazunguruka tu ukweli mchungu Russia kamshindwa Ukraine
 
Kitendo cha wanajeshi wa urusi kuishia njiani bila kimchomoa Zelesky ndio kinachodhihirisha kufeli kwa operation yao.
Urusi nia yao kuu ni kuidhoofisha kijeshi Ukraine na wamefanikiwa kwa 90% sababu kwa sasa Ukraine anategemea support ya mabwana zake wa Nato Ulaya na Marekani kumpa silaha za kupambana.

Angekosa support kwa 100% angekuwa kamshamlamba viatu mrusi maana angekuwa kashatepeta. Russia hapigani vita in full scale ila ni operation ya kuharibu military bases za Ukraine na kumforce Zelensky aachane na mpango wake wa kujiunga na Nato.
 
Kitendo cha wanajeshi wa urusi kuishia njiani bila kimchomoa Zelesky ndio kinachodhihirisha kufeli kwa operation yao.
Mkuu chukulia mfano tu, mmezinguana mkaanza kutembezeana kichapo vijana wa std 7 na madogo wa std 4 mkono kavu kavu mnawatia displini madogo, ila kadri ugomvi unavyoendelea wanalialia kuwa wanaonewa wasaidiwe kisha machalii wengine wa std 3,2 na 1 wanaleta kokoto majambia,bisibisi, viwembe na kuwapa madogo wenzao wa std4 ila nyie still mabro mnapambana kavu kavu kiume lazma mtakuwa na majeraha mabaya licha kuwa mlianza mkiwazidi nguvu na mwisho mtaanza kuonekana mnazidiwa maana kuna ambao watatobolewa macho na kuumizwa vibaya na makundi ya 4,3,2,1 ambao wataongeza nguvu.

Hiki ndio mfano halisi wa kinachotokea Ukraine na Russia.
 
Unakiri ukraine kusaidiwa ktkt hii vita ila haukiri responce ya russia kuwa ni zero baada ya kufeli kuwashikisha adabu wanaomsaidia ukraine.
 
Unakiri ukraine kusaidiwa ktkt hii vita ila haukiri responce ya russia kuwa ni zero baada ya kufeli kuwashikisha adabu wanaomsaidia ukraine.
Kuwashikisha adabu ni direct confrontation. Hakuna ambaye anataka vita kwenye ardhi yake sio Urusi, Marekani wala Nato agents.

Kitendo cha Marekani kutupa hata jiwe urusi ni alert kuwa sasa mambo yameiva. Alipue jengo moja Moscow city tu kisha uone namna ambavyo Nuclear bomb inawezaje kuisambaratisha New York in seconds! Marekani hawezi jaribu sababu hawezi pigana bila msaada wa Nato agents.

Full scale war ya kimaangamizi inahusisha silaha zote iwe za nuclear, moto, laser au biological weapons. Nato wanajua kuwa Russia still anauwezo wa kupambana na boya yeyote yule. Hii ikitokea yaweza kuwa mwisho wa dunia kwa maana ya mataifa ya ulaya huko.

Janja ya Nato itasalia kwenye vikwazo tu na kumtumia silaha Ukraine kwa siri japo Urusi anaelewa hilo na anazibutua kila anapopata gap. Vile vile urusi ameamua kuwa vice kwa kuwashurutisha wanunue gas yake kwa russian ruble. Hivyo vikwazo vitasaidia kumpandishia hela yake thamani.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…