baba-mwajuma
JF-Expert Member
- Feb 1, 2014
- 4,178
- 7,591
Adabu gani Sasa? Mauaji ama? Maana kama ni defense ya Ukraine Sasa hivi imechakazwa chakazwa. Urusi Kiev alikuwa ameizunguka, karudi tu nyuma Sababu ya mazungumzo.Unakiri ukraine kusaidiwa ktkt hii vita ila haukiri responce ya russia kuwa ni zero baada ya kufeli kuwashikisha adabu wanaomsaidia ukraine.
Haikutakiwa kuzidi wiki kama milango ya kuingiza mamluki na silaha kinyemela toka NaTo ingefungwa.Swali langu hii ni special operation au ni full scale War,nauliza hivi maana Pro Russia mnajificha kwa kichaka cha USA alitumia siku ngapi kule Iraq,lkn mnasahau pale mwanzo mlisema ni project ya 72hrs only[emoji846]
Hakuna kitu kama hicho si ajabu anaishi kwa mpalange lakini anajifanya anaishi nje. Mimi naishi scandinavia nafahamu propganda zilizopo.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Kumbe mataifa mengine yalishaingilia na Putin akaufyata? Kwa hiyo kumbe Ile kauli ya atakayeingilia naye atapigwa ulikuwa ni mkwala mbuzi tu[emoji38][emoji38]
Lengo la oparesheni lilikuwa nini na amefanikisha niniLabda huelewi maana ya operation ya kijeshi urusi hajaenda vitani
Balozi wa Urusi UN katika maongezi UN alikuwa anaongelea "VITA " inayoendelea Ukraine wewe uko Tz unasema ni operation. Hiyo Russia unayoiona kwenye hii vita ndio Russia yenyewe sasa, usifikiri wana cha zaidi ya hapo. Tena hapo ana usaidizi wa Belarus.Labda huelewi maana ya operation ya kijeshi urusi hajaenda vitani
Unaiabisha hiyo avatar.We mpuuzi kweli mwamba pekee yake katwangana na nchi zaidi ya 30 na kaibuka kidedea
Kumwondoa raisi hamtaki tena ?Ukiachana na kuharibiwa tu DOM BAS sio tena eneo la UKRAINE haribifu lakwanza hili
Na hapa walipofikia ODESA na uwanda mzima ule wapwani unaopakana na CRIMEA hautakua tena mali ya UKRAINE
Hii OP ilikua kimkakati zaidi kuharibiwa nchi kwenye mapigano nikawaida ila kumegwa sehemu zahio nchi nakuunganishwa ama nakufanywa kua kama taifa linalojitegemea ndio tatizo
Kiufupi yanayomtokea ama yatakayomtokea UKRAINE kwenye hii OP kama yalomkuta GEORGIA mwaka 2008 baada yakumalizwa mapigano watu wakasepa na OSETIA na ABKHAZIA kama sijakosea
Huyu nae kwenye hii OP kuanza wameanza na DONESTK na LUHANSK na bado wanaendelea na ODESSA wanaendelea na KHARKIV wanaendelea na MAURIOPOL
Kiufupi UKRAINE haitakua tena kwenye ile shape yake iliokua nayo miezi miwili ama mitatu kabla ya hii OP nahii ndio main target
Kwa kushindwa kunukuu ni wazi umeongeza maneno yako.Tatizo itakua umepofushwa na mahaba yako kwa Putin mpaka hujakaa ufuatilie hatua na taarifa zote za mgogoro.
Sidhani kama Urusi hakuyajua haya kabla hajaingia Ukraine.Mkuu chukulia mfano tu, mmezinguana mkaanza kutembezeana kichapo vijana wa std 7 na madogo wa std 4 mkono kavu kavu mnawatia displini madogo, ila kadri ugomvi unavyoendelea wanalialia kuwa wanaonewa wasaidiwe kisha machalii wengine wa std 3,2 na 1 wanaleta kokoto majambia,bisibisi, viwembe na kuwapa madogo wenzao wa std4 ila nyie still mabro mnapambana kavu kavu kiume lazma mtakuwa na majeraha mabaya licha kuwa mlianza mkiwazidi nguvu na mwisho mtaanza kuonekana mnazidiwa maana kuna ambao watatobolewa macho na kuumizwa vibaya na makundi ya 4,3,2,1 ambao wataongeza nguvu.
Hiki ndio mfano halisi wa kinachotokea Ukraine na Russia.
Aliyajua ndio maana katuliaSidhani kama Urusi hakuyajua haya kabla hajaingia Ukraine.
Kuna sehemu RUSSIA waliongelea kumuondoa KOMEDIANKumwondoa raisi hamtaki tena ?
Javelin ndio litakuwa jina maarufu zaidiBaada ya makombora kuwafurusha WARUSI Ukraine Sasa watoto wachanga waitwa majina ya makombora [emoji23]View attachment 2176214
Unadhani wangeweza kufika IkuluKitendo cha wanajeshi wa urusi kuishia njiani bila kimchomoa Zelesky ndio kinachodhihirisha kufeli kwa operation yao.
Hakuna VITA anayopigana PUT IN mbna mnakua sio waelewa!!!??Putin hakutumia common sense kabisa kwa hii vita
Na vipi Israel kuwa haikufika GazaKitendo cha wanajeshi wa urusi kuishia njiani bila kimchomoa Zelesky ndio kinachodhihirisha kufeli kwa operation yao.
Bali ni Military Operation cyo [emoji38][emoji38]Hakuna VITA anayopigana PUT IN mbna mnakua sio waelewa!!!??