Mashabiki wa Yanga SC walioenda Rwanda: Kutokujua kwetu Kiingereza kunatupa wakati mgumu hapa Kigali

Mashabiki wa Yanga SC walioenda Rwanda: Kutokujua kwetu Kiingereza kunatupa wakati mgumu hapa Kigali

"Alex Luambano kiukweli nchi ni nzuri na tumefika Salama hapa Kigali Rwanda, ila tatizo Kubwa tunalolipata ni wengi wetu kurokujua Lugha ya Kiingereza kiasi kwamba tunalanguliwa mno Bei ya Taxi" amesema Mtangazaji Mkazuzu wa Kipindi cha Michezo cha Sports Extra cha Clouds FM dakika chache tu zilizopita.

Kwahiyo mlidhani huko Rwanda wanaongea Kiswahili chenu cha Kariakoo na mkajazana kwa Uwingi kama Magunia ya Mahindi ya MUYAMA ONE katika Mabasi yenu 30 na kwenda wakati Wenzenu wanaongea Kifaransa msichokijua kabisa na Kiingereza ambacho Kinawatesa sasa huko Ugenini Israeli ya Afrika Rwanda?

Mashabiki wa Simba SC wanakubalika na wanaheshimika nchi zote wanazoenda kwakuwa kuanzia Wachezaji, Mashabiki na Viongozi wote wanaongea vyema kabisa Lugha ya Kiingereza tofauti na Wapuuzi Waliofurika Kigali Rwanda kumbe Kiingereza kinawapa shida na sasa Madereva wa Taxi wanawapiga tu kwa Kuwatoza Gharama ya Juu kwa safari fupi fupi tu za Viunga vya Jiji la Kigali.

Kudadadeki......!!
Kuna tofauti ya Basi na Coaster
 
Hata kiha tu Rwanda UNAISHI vizuri kabisa. Halafu asicho kijua mtoa mada ni kwamba Rwanda kiswahili kinaongelewa vizuri sana. Kuna mitaa kwa mfano ya warundi na wacongo kiswahili kinazungumzwa. Ukienda kwenye msikiti wowote ule huwezi kosa wanao zungumza kiswahili. Plus mataxi driver karibu wote wanazungumza kiswahili.

Mtoa mada yupo zake kwao huko bunda Kigali anafanya kuisikia tu. Hata Dar yenyewe hajawahi fika ndio maana hajaenda na wenzake zambia
Kweli kiha mtelezo tu na kiswahili ule utani wa jadi tu
 
"Alex Luambano kiukweli nchi ni nzuri na tumefika Salama hapa Kigali Rwanda, ila tatizo Kubwa tunalolipata ni wengi wetu kurokujua Lugha ya Kiingereza kiasi kwamba tunalanguliwa mno Bei ya Taxi" amesema Mtangazaji Mkazuzu wa Kipindi cha Michezo cha Sports Extra cha Clouds FM dakika chache tu zilizopita.

Kwahiyo mlidhani huko Rwanda wanaongea Kiswahili chenu cha Kariakoo na mkajazana kwa Uwingi kama Magunia ya Mahindi ya MUYAMA ONE katika Mabasi yenu 30 na kwenda wakati Wenzenu wanaongea Kifaransa msichokijua kabisa na Kiingereza ambacho Kinawatesa sasa huko Ugenini Israeli ya Afrika Rwanda?

Mashabiki wa Simba SC wanakubalika na wanaheshimika nchi zote wanazoenda kwakuwa kuanzia Wachezaji, Mashabiki na Viongozi wote wanaongea vyema kabisa Lugha ya Kiingereza tofauti na Wapuuzi Waliofurika Kigali Rwanda kumbe Kiingereza kinawapa shida na sasa Madereva wa Taxi wanawapiga tu kwa Kuwatoza Gharama ya Juu kwa safari fupi fupi tu za Viunga vya Jiji la Kigali.

Kudadadeki......!!
Pumba , Pumba kabisa kiaz ww.
 
Bro samahani naomba nkuulize

Ni kwanini umjibupo mtu lazima umtukane hata kama yeye hakukutukana?
Sijajua inawezekana ana shida ya akili. Binafsi huwa namshangaa sana. Alileta uzi wowote mtu akichangia kwa kutokubali kile alichoandika ni lazima amtukane. Pia sijui kwanini mods wanamuendekeza. Sijui huko mtaani ana ishi vipi na jamii maana hii ndio tabia yake halisi. Yaani anataka kile aandikacho humu tukiafiki na kukiamini hata kama sio sahihi. Hataki apigwe na mtu. Ukitoa maoni tofauti unatukanwa. Mungu amsaidie kwa kweli.
 
Kiukweli Alex wa clouds ajasema hvo kasema tatizo wenyeji wao yaani wanyarwanda kwa kiasi kikubwa wanaongea kifaransa na kinyarwanda awaongei kingereza hiyo ndio changamoto wewe umemuekea maneno yako
Wanayarwanda wengi ni wazuri sana kwa kiingereza mm mwenyewe kuna mchepuko wangu unauza nyaya tu unaongea Kiingereza safi kabisa
 
Sijajua inawezekana ana shida ya akili. Binafsi huwa namshangaa sana. Alileta uzi wowote mtu akichangia kwa kutokubali kile alichoandika ni lazima amtukane. Pia sijui kwanini mods wanamuendekeza. Sijui huko mtaani ana ishi vipi na jamii maana hii ndio tabia yake halisi. Yaani anataka kile aandikacho humu tukiafiki na kukiamini hata kama sio sahihi. Hataki apigwe na mtu. Ukitoa maoni tofauti unatukanwa. Mungu amsaidie kwa kweli.

Mungu hasaidii wajinga
Jamaa anamatatizo
 
Sijajua inawezekana ana shida ya akili. Binafsi huwa namshangaa sana. Alileta uzi wowote mtu akichangia kwa kutokubali kile alichoandika ni lazima amtukane. Pia sijui kwanini mods wanamuendekeza. Sijui huko mtaani ana ishi vipi na jamii maana hii ndio tabia yake halisi. Yaani anataka kile aandikacho humu tukiafiki na kukiamini hata kama sio sahihi. Hataki apigwe na mtu. Ukitoa maoni tofauti unatukanwa. Mungu amsaidie kwa kweli.
Nadhani Mungu anatakiwa aanze Kukusaidia Wewe Fool Kwanza kisha ndipo arejee Kwangu Brainiac wa Kizanaki na Kimakuwa GENTAMYCINE sawa?
 
Matusi ya nini, tunataka hoja na uzalendo wazee, yanga Simba ni watani wa jadi tu matusi sio mwake.
Mzee Rukhsa aliwahi kusema mtu huwa anatoa kile alichonacho, ukiwa una busara utatoa busara, ikiwa una hekima utatoa hekima na ukiwa una matusi basi utatoa matusi.
 
Wee kiazi matusi unayatafuta mwenyewe
Wasilisha Kwa lugha ya staha na heshima,heshima watu nao watakuheshimu

Usijipe umuhimu ambao hauna
Anza Kwanza Kumshauri Mumeo akikamilika na Kubadilika ndipo uhamie Kwangu Mimi Hawara yako sawa?
 
Back
Top Bottom